-
Wairan waghariki katika kumbukizi ya kuuawa shahidi Imam Ridha AS
Sep 04, 2024 03:32Wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tokea jana usiku wamezama katika maombolezo ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Ali Ridha (AS), mjukuu wa Mtume Mtukufu (SAW) miaka 1242 iliyopita.
-
Jumanne tarehe 22 Juni 2021
Jun 21, 2021 22:02Leo ni Jumanne tarehe 11 Dhulqaada 1442 Hijria sawa na tarehe 22 Juni mwaka 2021.
-
Alkhamisi tarehe 16 Julai mwaka 2020
Jul 16, 2020 13:24Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Mfunguo Pili Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Julai 16 mwaka 2020.
-
Video: Waislamu wa Kisuni Iran waungana na ndugu zao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha
Nov 06, 2018 08:11Wanavuoni, vijana na Waislamu wa matabaka mbalimbali wa Iran wameungana na ndugu zao wa Kishia kufanya ziara katika Haram ya Imam Ridha AS, mmoja wa wajukuu wa Bwana Mtume Muhammad SAW ambaye pia ni Imam wa Nane wa Waislamu wa Kishia.
-
Siri ya kukubali Imam Ridha AS kuwa mrithi wa mtawala wa zama zake + Sauti
Nov 06, 2018 05:54Siku ya mwisho ya Mfunguo Tano Safar ndiyo siku aliyouawa shahidi Imam Ridha AS mmoja wa Maimamu watoharifu wa Waislamu wa Kishia.
-
Imam Ridha AS na risala yake iliyojaa siri za afya
Nov 18, 2017 13:18Leo mji mtakatifu wa Mashhad umetanda huzuni na majonzi katika haram ya Ali bin Musa Ridha AS. Idadi kubwa ya waombolezaji wamefika katika haram hiyo kwa ajili ya kuombleza. Leo ni siku ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Ali bin Musa Ridha AS ambaye ni kutoka katika kizazi kilichotakasika cha Mtume Muhammad SAW.
-
Kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa ar Ridha (AS)
Nov 18, 2017 13:11Assalaam Alaykum. Tuko katika siku ya mwisho ya mwezi wa Safar, siku ambayo ni kumbukumbu ya kukumbuka siku ya kuuawa shahidi Imam Ali bin Mussa Ridha (as) mmoja kati ya watu wa Nyumba tukufu ya Mtume Mtukufu Muhammad (saw).