-
Italia pia yasitisha mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati
Jan 30, 2021 04:22Serikali ya Italia imesimamisha uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, baada ya wanaharakati na wabunge wa nchi hiyo ya Ulaya kuonya kuwa, silaha hizo zinatumika kukanyaga haki za binadamu nchini Yemen.
-
Kufunguliwa ubalozi; Imarati katika mkondo wa kupanua uhusiano na Israel
Jan 26, 2021 23:11Ubalozi wa utawala haramu wa Israel ulifunguliwa rasmi huko Abu Dhabi mji mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) tarehe 21 ya mwezi huu wa Januari.
-
Palestina yaishtaki rasmi Imarati Umoja wa Mataifa
Jan 24, 2021 01:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina Riyadh al Maliki amewasilisha rasmi mashtaka dhidi ya Imarati kwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet.
-
Madola vamizi yazidi kuiba mafuta ya wananchi maskini wa Yemen
Jan 16, 2021 22:50Duru za usalama za Yemen zimetangaza kuwa, madola vamizi yanayoongozwa na Saudi Arabia na Imarati yanaendelea kuiba mafuta ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Pompeo ashitakiwa juu ya mauzo ya haraka ya silaha kwa Imarati
Jan 01, 2021 00:45Kesi imewasilishwa katika Mahakama ya Federali ya Marekani kuzuia hatua ya Waziri wa Mambo ya Nje ya nchi hiyo, Mike Pompeo, ya kuuzia silha aUmoja wa Falme za Kiarabu bila kufuata taratibu zinazotakiwa, katika wiki za mwisho za urais wa Donald Trump.
-
Kutangaza msimamo wa wazi Pakistan wa kupinga kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni
Dec 23, 2020 09:31Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amepinga aina yoyote ya mashinikizo ya nje dhidi ya nchi hiyo kwa ajili ya kujiunga na safau ya nchi zinazoanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni na kueleza kuwa: Islamabad katu haitaitambua rasmi Israel.
-
Pakistan yaiambia UAE: Katu hatutaitambua Israel
Dec 22, 2020 03:53Kwa mara nyingine tena, serikali ya Pakistan imesisitiza kuwa, kamwe haitoutambua utawala wa Kizayuni wa Israel licha ya mashinikizo ya nchi ajinabi.
-
Hamas yaikosoa Imarati kwa kuunga mkono sera za Israel
Dec 21, 2020 04:46Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Umoja wa Falme za Kiarabu unaunga mkono sera za utawala wa Kizayuni wa Israel kwa madhara na ukiukaji wa haki za Wapalestina.
-
Bin Salman na Bin Zayed wafanya kikao cha faragha kuijadili Qatar
Dec 20, 2020 10:28Baadhi ya duru za kuaminika zimeripoti kuwa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na mwenzake wa Imarati (UAE) wamefanya kikao cha faragha cha kuzungumzia kadhia ya Qatar.
-
Utata mwingi kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mzozo wa mataifa ya Kiarabu
Dec 18, 2020 23:30Katika kipindi cha mwezi mmoja wa hivi karibuni kumekuwa kukiripotiwa habari kuhusiana na kupatiwa ufumbuzi mgogoro baina ya Qatar na mataifa manne ya Kiarabu ya Saudi Arabia, Imarati, Misri na Bahrain.