Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Jeshi la Yemen latungua droni ya US, laua makumi ya mamluki wa Imarati

    Jeshi la Yemen latungua droni ya US, laua makumi ya mamluki wa Imarati

    Jan 30, 2022 07:44

    Makumi ya mamluki wa Imarati wameangamizwa na jeshi la Yemen linaloshirikiana na wapiganaji wa harakati ya Ansarullah katika mkoa wa Shabwah, mashariki mwa Yemen.

  • Mamluki zaidi ya 90 wa Imarati wauawa kusini mwa Yemen

    Mamluki zaidi ya 90 wa Imarati wauawa kusini mwa Yemen

    Jan 28, 2022 07:18

    Duru za Yemen zinaarifu kuwa mamluki zaidi ya 90 wa Imarati wameuawa wakati wa kukabiliana na hujuma ya mamluki hao katika mkoa wa Shibwah.

  • Israel yatiwa hofu na onyo la Yemen la kushambulia Expo Dubai sambamba na safari ya Herzog UAE

    Israel yatiwa hofu na onyo la Yemen la kushambulia Expo Dubai sambamba na safari ya Herzog UAE

    Jan 27, 2022 02:36

    Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimeripoti kuwa, utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umeingiwa na wasiwasi mkubwa kutokana na onyo lililotolewa na vikosi vya ulinzi vya Yemen la kushambulia maonyesho ya Expo Dubai, sambamba na kukaribia safari ya rais wa utawala huo nchini Imarati.

  • Rais wa utawala haramu wa Israel kuitembelea Imarati

    Rais wa utawala haramu wa Israel kuitembelea Imarati

    Jan 26, 2022 12:15

    Rais wa utawala haramu wa Israel anatazamiwa kufanya safari ya kwanza ya kuutembelea Umoja wa Falme za Kiarabu wiki ijayo.

  • Askari wa Marekani walijificha Abu Dhabi baada ya shambulio la jeshi la Yemen dhidi ya Imarati

    Askari wa Marekani walijificha Abu Dhabi baada ya shambulio la jeshi la Yemen dhidi ya Imarati

    Jan 23, 2022 07:57

    Msemaji wa kamandi kuu ya jeshi la kigaidi la Marekani CENTCOM amekiri kuwa, askari wa jeshi hilo walikimbilia mafichoni kwa kuhofia uwezekano wa jeshi la Yemen kuishambulia tena Imarati, kufuatia shambulio la makombora na ndege zisizo na rubani za jeshi hilo katika mji wa Abu Dhabi.

  • Brigedia Yahya Saree: Makampuni ya kigeni yanashauriwa kuondoka Imarati

    Brigedia Yahya Saree: Makampuni ya kigeni yanashauriwa kuondoka Imarati

    Jan 22, 2022 08:04

    Msemaji wa Jeshi la Yemen ameyashauri makampuni ya kigeni ya uwekezaji kuondoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • Imarati; kujitanua kwenye madhara makubwa

    Imarati; kujitanua kwenye madhara makubwa

    Jan 21, 2022 09:57

    Umoja wa Falme za Kiarabu au kwa jina jingeni Imarati inatekeleza siasa za kujitanua katika eneo la Asia Magharibi, siasa ambazo huenda zikawa na madhara makubwa kwa nchi hiyo.

  • Mashambulio ya Wayamen dhidi ya Imarati; malengo na umuhimu wake

    Mashambulio ya Wayamen dhidi ya Imarati; malengo na umuhimu wake

    Jan 18, 2022 11:09

    Jumatatu ya jana tarehe 17 Januari, ndege 20 zisizo na rubani pamoja na makombora 10 ya balestiki ya Jeshi na Kamati za Kujitolea za Wananchi wa Yemen zilishambulia maeneo muhimu na nyeti ndani ya ardhi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Watu 9 wauawa na kujeruhiwa nchini Imarati baada ya mashambulizi ya Wayemen

    Watu 9 wauawa na kujeruhiwa nchini Imarati baada ya mashambulizi ya Wayemen

    Jan 17, 2022 17:05

    Ndege 20 zisizo na rubani pamoja na makombora 10 ya balestiki ya Jeshi na Kamati za Kujitolea za Wananchi wa Yemen yameshambulia maeneo muhimu na nyeti ndani ya ardhi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).

  • Kenya yajibu mapigo, yasimamisha safari za ndege kutoka Imarati

    Kenya yajibu mapigo, yasimamisha safari za ndege kutoka Imarati

    Jan 11, 2022 07:52

    Kenya imesimamisha safari zote za ndege za abiria kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu, kujibu hatua ya Imarati ya kuzuia kwa muda usiojulikana ndege zote za kutoka nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutua nchini humo, kwa madai ya vyeti bandia vya Corona.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS