Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019

    Dec 18, 2021 04:11

    Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameionya India kuwa, endapo itajaribu kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Pakistan, nchi hiyo itajibu mapigo kama ilivyofanya mwaka 2019.

  • Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India na mke wake waaga dunia katika ajali ya helikopta

    Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India na mke wake waaga dunia katika ajali ya helikopta

    Dec 08, 2021 10:51

    Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India Jenerali Bipin Rawat, mkewe, na watu wengine 11 wameufariki dunia baada ya helikopta ya kijeshi waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika jimbo la kusini la Tamil Nadu.

  • Shule zafungwa Delhi, India kutokana na uchafuzi wa hali ya hewa

    Shule zafungwa Delhi, India kutokana na uchafuzi wa hali ya hewa

    Nov 17, 2021 23:26

    Shule zote katika mji mkuu wa India, New Delhi zimefungwa kutokana na hali chafu ya hewa.

  • Waliofariki dunia kwa mafuriko na maporomoko ya ardhi India na Nepal wapindukia watu 100

    Waliofariki dunia kwa mafuriko na maporomoko ya ardhi India na Nepal wapindukia watu 100

    Oct 20, 2021 09:41

    Zaidi ya watu 100 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini India na Nepal.

  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia (30) +SAUTI

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia (30) +SAUTI

    Oct 16, 2021 04:12

    Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir

    Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir

    Aug 05, 2021 21:51

    Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa kuiwajibisha na kuibebesha dhima New Delhi, kwa kukanyaga haki za binadamu katika eneo linalodhibitiwa na India huko Jammu na Kashmir.

  • WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya virusi vya corona nchini India

    WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya virusi vya corona nchini India

    Jun 02, 2021 08:17

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu hatari ya aina mpya tatu za virusi vya corona viliyoibuka nchini India na kutangaza kuwa, mojawapo ya aina hizo tatu ndiyo inayotia wasiwasi zaidi.

  • Jumanne tarehe 18 Mei 2021

    Jumanne tarehe 18 Mei 2021

    May 17, 2021 22:26

    Leo ni Jumanne tarehe 6 Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 18 Mei mwaka 2021.

  • Maiti za wagonjwa wa corona zatoswa kwenye Mto Ganga nchini India

    Maiti za wagonjwa wa corona zatoswa kwenye Mto Ganga nchini India

    May 11, 2021 08:40

    Baadhi ya vyombo vya habari vya India vimeripoti kuwa viwiliwili vya watu waliofariki kwa ugonjwa wa Covid-19 nchini humo vimeonekana vikielea kwenye Mto mkubwa wa Ganga wa nchi hiyo.

  • Misikiti India yageuzwa kuwa vituo vya wagonjwa wa Covid-19

    Misikiti India yageuzwa kuwa vituo vya wagonjwa wa Covid-19

    May 10, 2021 22:20

    Aghalabu ya misikiti nchini India imegeuzwa na kuwa vituo vya kuwapokea wagonjwa wa Covid-19, huku mfumo wa afya wa nchi hiyo ukiendelea kulemewa kupita kiasi, vitanda kufurika mahospitalini, sambamba na kushuhudia uhaba mkubwa wa dawa na hewa ya oksijeni katika wimbi la pili la Corona nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS