Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Moto waua 18 katika hospitali ya wagonjwa wa Corona India

    Moto waua 18 katika hospitali ya wagonjwa wa Corona India

    May 01, 2021 08:19

    Kwa akali watu 18 wamepoteza maisha katika ajali ya moto iliyotokea katika hospitali moja ya wagonjwa wa Corona nchini India, huku nchi hiyo ya Asia leo Jumamosi ikiweka rekodi mpya ya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19.

  • Hali yazidi kuwa tete India, vifo vya Corona vyapindukia laki 2

    Hali yazidi kuwa tete India, vifo vya Corona vyapindukia laki 2

    Apr 28, 2021 21:53

    India inaendelea kusumbuliwa na wimbi kubwa la maambukizi ya virusi vya Corona, huku idadi ya watu walioaga dunia kwa maradhi ya Covid-19 nchini humo ikipindukia laki mbili.

  • WHO: Hali ya corona nchini India inasikitisha

    WHO: Hali ya corona nchini India inasikitisha

    Apr 27, 2021 01:16

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Dunia (WHO) amezungumzia mgogoro wa maambukizi ya virusi vya corona nchini India na kusema kuwa, hali ya maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 nchini humo inaumiza sana.

  • Kwa muda wa siku tatu, watu zaidi ya milioni moja wameambukizwa corona nchini India

    Kwa muda wa siku tatu, watu zaidi ya milioni moja wameambukizwa corona nchini India

    Apr 26, 2021 03:08

    Watu zaidi ya milioni moja wameambukizwa virusi vya corona katika kipindi cha siku tatu nchini India.

  • Iran yatangaza iko tayari kuisaidia India kupambana na wimbi kubwa la COVID-19

    Iran yatangaza iko tayari kuisaidia India kupambana na wimbi kubwa la COVID-19

    Apr 25, 2021 22:00

    Waziri wa Afya wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuisaidia India kupambana na wimbi kubwa la ugonjwa wa corona au COVID-19.

  • Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Mamia ya wanaharakati wa Kiislamu wakamatwa Bangladesh kwa kupinga safari ya Modi

    Apr 19, 2021 09:00

    Polisi ya Bangladesh imewatia nguvuni mamia ya wanaharakati wa Kiislamu baada ya mandamano yaliyoandamana na umwagaji damu ya kupinga safari ya Waziri Mkuu wa India nchini humo mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.

  • Kwa mara ya kwanza India yavunja rekodi kwa kusajili kesi 200,000 za maambukizi ya corona kwa siku

    Kwa mara ya kwanza India yavunja rekodi kwa kusajili kesi 200,000 za maambukizi ya corona kwa siku

    Apr 15, 2021 08:28

    India imetangaza kuwa, watu 200,739 wameambukizwa virusi vya corona vinavyosababisha maradhi ya COVID-19 katika kipindi cha saa 24 zilizopita, huku hospitali nyingi za nchi hiyo zinazotibu wagonjwa wa maradhi hayo zikikabiliwa na uhaba mkubwa wa vitanda na mitungi ya oksijini.

  • Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini

    Mahakama Kuu ya India yatengua sheria ya marufuku ya kubadili dini

    Apr 13, 2021 22:05

    Mahakama ya Juu ya India imetengua sheria inayowapiga marufuku raia wa nchi hiyo kubadili dini kutoka kwenye imanii ya Kihindu na kuingia kwenye Uislamu au ukristo. Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo imesema kuwa, sheria hiyo inapingana na katiba ya nchi.

  • India yaendelea kuongoza kwa maambukizi mengi ya corona kwa siku duniani

    India yaendelea kuongoza kwa maambukizi mengi ya corona kwa siku duniani

    Apr 08, 2021 22:10

    India imeendelea kwa muda wa siku kadhaa mtawalia kuwa nchi yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioambukizwa virusi vya corona kwa siku duniani.

  • Kwa mara ya kwanza maambukizi ya corona nchini India yapindukia watu laki moja kwa siku

    Kwa mara ya kwanza maambukizi ya corona nchini India yapindukia watu laki moja kwa siku

    Apr 05, 2021 02:20

    India imeripoti ongezeko kubwa la maambukizo ya virusi vya corona na kuwa nchi ya pili duniani baada ya Marekani kusajili kesi mpya zaidi ya laki moja za watu walioambukizwa virusi hivyo katika muda wa siku moja, huku hospitali katika jimbo lililoathiriwa vibaya zaidi la Maharashtra zikizidiwa na idadi ya wagonjwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS