-
Watu 141 wameaga dunia hadi sasa baada ya daraja kuporomoka huko India
Oct 31, 2022 08:32Shughuli za uokoaji zinaendelea katika mji wa Morbi katika jimbo la Gujarat nchini India ambako watu wasiopungua 141 wameaga dunia hadi sasa baada ya daraja la enzi za ukoloni kuporomoka jana jioni.
-
Wahindi wamwomba Sunak airejeshe India almasi ya Koh-i-Nur iliyoko kwenye taji la malkia wa Uingereza
Oct 26, 2022 09:13Maoni ya kwanza kutolewa na Wahindi watumiaji wa mitandao ya kijamii kwa kuchaguliwa Rishi Sunak kuwa waziri mkuu wa Uingereza ni kumwomba kiongozi huyo mwenye asili ya India airejeshe nchini humo almasi ya Koh-i-Nur iliyoko kwenye taji la malkia wa Uingereza.
-
Safari 10 za ndege za Israel kuelekea India zafutwa baada ya Oman kukataa kutumiwa anga yake
Oct 22, 2022 08:55Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimeripoti kuwa, safari zisizopungua 10 za ndege za utawala huo haramu kuelekea India zimefutwa baada ya Oman kukataa kuzipatia ndege hizo kibali cha kupita katika anga yake.
-
Maulamaa wa India wakosoa hatua za serikali ya Modi dhidi ya Waislamu
Oct 15, 2022 22:55Jumuiya ya maulamaa wa Kiislamu wa India imewataka viongozi wa nchi hiyo katika jimbo la Utta Pradesh wakomeshe kile ilichokiita "hatua ya upande mmoja" dhidi ya Waislamu.
-
India yaipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo
Sep 29, 2022 08:39India imeipiga marufuku harakati mashuhuri ya Kiislamu nchini humo ya PFI, ikiwa ni muendelezo wa serikali ya New Delhi ya kufuata sera ya kukanyaga na kupuuza haki za Waislamu walio wachache katika nchi hiyo.
-
Ukosoaji wa Waziri Mkuu wa Pakistan kuhusu kuenezwa chuki dhidi ya Waislamu
Sep 25, 2022 23:35Waziri Mkuu wa Pakistan ametaka kukomeshwa mara moja chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, hasa nchini India.
-
Mahakama ya India yakataa ombi la Waislamu, ubaguzi unaendelea
Sep 14, 2022 21:59Mahakama ya India imekataa ombi la Waislamu la kutupilia mbali shauuri la wanawake wa Kihindu la kutwaa msikiti wao katika mji wa Banaras.
-
Mazoezi makubwa ya kijeshi ya Russia, China, India; ishara ya kufeli Magharibi kuitenga Russia
Sep 02, 2022 23:56Licha ya shinikizo la Marekani kwa nchi nyingine kwa ajili ya kuitenga Russia kutokana na vita vya Ukraine, Moscow imeandaa mazoezi makubwa ya kijeshi ya nchi kavu, anga na baharini kwa kuzishirikisha nchi nyingine 13.
-
Askari wanne wa India wauawa Kashmir inayokaliwa na India
Aug 12, 2022 07:44Askari wanne wa India wameuawa katika eneo la Kashmir linalokaliwa na kudhibitiwa na nchi hiyo.
-
Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi
Jul 26, 2022 06:48Wizara ya mambo ya nje ya Pakistan imesema kauli aliyotoa waziri wa ulinzi wa India, kwamba eneo la Kashmir ni milki ya nchi hiyo ni ya kichochezi.