Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Askari wanne wa India wauawa Kashmir inayokaliwa na India

    Askari wanne wa India wauawa Kashmir inayokaliwa na India

    Aug 12, 2022 12:14

    Askari wanne wa India wameuawa katika eneo la Kashmir linalokaliwa na kudhibitiwa na nchi hiyo.

  • Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi

    Pakistan: Kauli ya waziri wa ulinzi wa India kuhusu Kashmir ni ya kichochezi

    Jul 26, 2022 11:18

    Wizara ya mambo ya nje ya Pakistan imesema kauli aliyotoa waziri wa ulinzi wa India, kwamba eneo la Kashmir ni milki ya nchi hiyo ni ya kichochezi.

  • Licha ya hukumu ya mahakama, mwandishi Muislamu mkosoaji wa serikali ya India aendelea kusota rumande

    Licha ya hukumu ya mahakama, mwandishi Muislamu mkosoaji wa serikali ya India aendelea kusota rumande

    Jul 17, 2022 02:14

    Mohammed Zubair, mwandishi wa habari Muislamu raia wa India, ambaye ni mkosoaji wa waziri mkuu wa nchi hiyo Narendra Modi, ameendelea kuwekwa kizuizini licha ya kutolewa hukumu na mahakama ya kuamuru aachiliwe huru.

  • Kukataa India ombi la Marekani

    Kukataa India ombi la Marekani

    Jul 16, 2022 08:34

    India imekataa ombi la Marekani ambayo iliitaka nchi hiyo iziwekee vikwazo meli za Russia.

  • Rais Raisi: Kuna udharura wa kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India

    Rais Raisi: Kuna udharura wa kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India

    Jul 11, 2022 02:36

    Rais Ebrahim Raisi amesema, kuna udharura wa kulindwa na kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India, ambayo ni ardhi inayosifika kwa kuheshimu dini mbalimbali.

  • Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)

    Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)

    Jul 02, 2022 07:56

    Mahakama ya Juu ya India imemtaka msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata kinachoongozwa na Waziri Mkuu, Narendra Modi, Nupur Sharma, kujitokeza kwenye televisheni na kuomba radhi kwa taifa zima la India, baada ya matamshi yake ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) ambayo yameisababisha maandamano makubwa na kuchochea hali ya mvutano nchini humo.

  • Twitter yaungana na serikali ya India kuwakandamiza Waislamu, yafunga akaunti za watetezi wao

    Twitter yaungana na serikali ya India kuwakandamiza Waislamu, yafunga akaunti za watetezi wao

    Jun 28, 2022 13:30

    Waandishi wa habari na wanaharakati wamepinga ongezeko la hatua za serikali ya India ikishirikiana na mtandao wa kijamii wa Twitter za kuwabana watu mashuhuri wanaowatetea Waislamu na kuunga mkono harakati za maandamano yanayopinga ukandamiza wa serikali ya New Delhi dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.

  • Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu yalaani kuvunjiwa heshima Mtume SAW nchini India

    Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu yalaani kuvunjiwa heshima Mtume SAW nchini India

    Jun 10, 2022 10:27

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu amelaani vikali kitendo cha wanasiasa wa India cha kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW.

  • Lebanon: Kitendo cha kiongozi wa India cha kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu lazima kilaaniwe

    Lebanon: Kitendo cha kiongozi wa India cha kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu lazima kilaaniwe

    Jun 09, 2022 03:03

    Waziri Mkuu wa Lebanon amelaani kitendo cha kiongozi mmoja wa India cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, uhalifu huo lazima ulaaniwe.

  • Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW

    Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW

    Jun 07, 2022 10:48

    Matamshi ya utovu wa adabu ya viongozi wawili wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata (BJP) dhidi ya Bwana Mtume (SAW) yamekabiliwa na wimbi la malalamiko ya mataifa ya Kiislamu na Waislamu kwa ujumla ulimwenguni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS