Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

India

  • Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili

    Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili

    Jun 06, 2022 10:13

    Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW ni ishara ya wazi ya kufilisika kimaadili.

  • Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Jun 06, 2022 03:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.

  • Wahindu wenye misimamo mikali wateketeza moto msikiti India

    Wahindu wenye misimamo mikali wateketeza moto msikiti India

    May 20, 2022 01:20

    Wahindu wenye misimamo mikali nchini India wameteteketeza moto msikiti kati mwa nchi hiyo.

  • Jumatano tarehe 18 Mei mwaka 2022

    Jumatano tarehe 18 Mei mwaka 2022

    May 18, 2022 03:02

    Leo ni Jumatano tarehe 16 Mfunguo Mosi Shawwal 1443 Hijria inayodifiana na tarehe 18 Mei mwaka 2022.

  • Singapore yapiga marufuku kuonyeshwa filamu ya Kihindi inayoeneza chuki dhidi ya Uislamu

    Singapore yapiga marufuku kuonyeshwa filamu ya Kihindi inayoeneza chuki dhidi ya Uislamu

    May 11, 2022 02:40

    Serikali ya Singapore imepiga marufuku kuonyeshwa nchini humo filamu ya sinema ya Kihindi inayoeneza chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).

  • Waislamu wa India wapeleka mahakamani mabuldoza hatari ya kisiasa

    Waislamu wa India wapeleka mahakamani mabuldoza hatari ya kisiasa

    Apr 18, 2022 13:07

    Jumuiya mashuhuri ya Kiislamu imewasilisha ombi katika Mahakama Kuu ya India, ikiitaka kuingilia kati baada ya matingatinga na serikali kuharibu mali na milki za Waislamu wanaotuhumiwa kuhusika na ghasia katika majimbo yanayoongozwa na chama cha Waziri Mkuu, Narendra Modi cha Bharatiya Janata Party (BJP).

  • Safari ya Lavrov nchini India na sisitizo la kutumiwa sarafu ya Ruble katika biashara

    Safari ya Lavrov nchini India na sisitizo la kutumiwa sarafu ya Ruble katika biashara

    Apr 03, 2022 07:03

    Sergey Viktorovich Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amefanya ziara ya siku mbili ya kuitembelea kikazi India na kuonana na waziri mwenzake wa nchi hiyo Subrah Jaishankar na waziri mkuu wa India Narendra Modi.

  • Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki

    Waislamu India wakasirishwa na uamuzi wa mahakama ulioidhinisha matamshi ya chuki

    Mar 30, 2022 11:48

    Wimbi la kejeli na hasira limetanda katika mitandao ya kijamii nchini India baada ya mahakama kufunga kesi dhidi ya wanasiasa wawili waliotoa matamshi ya kichochezi dhidi ya Waislamu, ikisema kuwa uchochezi si kauli za chuki ukiambatana na tabasamu.

  • Waislamu wapinga mahakamani marufuku ya vazi la hijabu shuleni India

    Waislamu wapinga mahakamani marufuku ya vazi la hijabu shuleni India

    Mar 30, 2022 07:05

    Wanaharakati wa mawakili wa Kiislamu nchini India wameenda katika Mahakama ya Kilele ya jimbo la Kusini mwa India la Karnataka, kuukatia rufaa uamuzi wa Mahakama ya Juu kuidhinisha marufuku ya vazi la hijabu katika shule na vyuo vikuu vya jimbo hilo.

  • Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Hizi ndizo nchi zilizopinga Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 20, 2022 02:43

    Katika hatua muhimu, Umoja wa Mataifa wiki hii uliitambua rasmi Machi 15 kama Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu, lakini baadhi ya nchi zilichagua kutounga mkono azimio hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS