-
Licha ya hukumu ya mahakama, mwandishi Muislamu mkosoaji wa serikali ya India aendelea kusota rumande
Jul 16, 2022 21:44Mohammed Zubair, mwandishi wa habari Muislamu raia wa India, ambaye ni mkosoaji wa waziri mkuu wa nchi hiyo Narendra Modi, ameendelea kuwekwa kizuizini licha ya kutolewa hukumu na mahakama ya kuamuru aachiliwe huru.
-
Kukataa India ombi la Marekani
Jul 16, 2022 04:04India imekataa ombi la Marekani ambayo iliitaka nchi hiyo iziwekee vikwazo meli za Russia.
-
Rais Raisi: Kuna udharura wa kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India
Jul 10, 2022 22:06Rais Ebrahim Raisi amesema, kuna udharura wa kulindwa na kudumishwa sifa maalumu za kihistoria za India, ambayo ni ardhi inayosifika kwa kuheshimu dini mbalimbali.
-
Mahakama ya Juu ya India yamtaka msemaji wa zamani wa chama tawala kuomba radhi kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw)
Jul 02, 2022 03:26Mahakama ya Juu ya India imemtaka msemaji wa zamani wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata kinachoongozwa na Waziri Mkuu, Narendra Modi, Nupur Sharma, kujitokeza kwenye televisheni na kuomba radhi kwa taifa zima la India, baada ya matamshi yake ya kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw) ambayo yameisababisha maandamano makubwa na kuchochea hali ya mvutano nchini humo.
-
Twitter yaungana na serikali ya India kuwakandamiza Waislamu, yafunga akaunti za watetezi wao
Jun 28, 2022 09:00Waandishi wa habari na wanaharakati wamepinga ongezeko la hatua za serikali ya India ikishirikiana na mtandao wa kijamii wa Twitter za kuwabana watu mashuhuri wanaowatetea Waislamu na kuunga mkono harakati za maandamano yanayopinga ukandamiza wa serikali ya New Delhi dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.
-
Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu yalaani kuvunjiwa heshima Mtume SAW nchini India
Jun 10, 2022 05:57Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa wa Kiislamu amelaani vikali kitendo cha wanasiasa wa India cha kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW.
-
Lebanon: Kitendo cha kiongozi wa India cha kuvunjia heshima matukufu ya Kiislamu lazima kilaaniwe
Jun 08, 2022 22:33Waziri Mkuu wa Lebanon amelaani kitendo cha kiongozi mmoja wa India cha kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu na kusisitiza kuwa, uhalifu huo lazima ulaaniwe.
-
Radiamali mbalimbali kuhusiana na hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Mtume SAW
Jun 07, 2022 06:18Matamshi ya utovu wa adabu ya viongozi wawili wa chama tawala nchini India cha Bharatiya Janata (BJP) dhidi ya Bwana Mtume (SAW) yamekabiliwa na wimbi la malalamiko ya mataifa ya Kiislamu na Waislamu kwa ujumla ulimwenguni.
-
Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili
Jun 06, 2022 05:43Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW ni ishara ya wazi ya kufilisika kimaadili.
-
Iran yamuita balozi wa India kulalamikia kauli za kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW
Jun 05, 2022 23:06Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuita balozi wa India mjini Tehran kulalamikia vikali matamshi dhidi ya Mtume Mutukufu wa Uislamu, Muhammad SAW ambayo yalitolewa katika mdahalo wa televisheni huko India na kuibua hasira miongoni mwa Waislamu duniani.