Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakosoa taarifa ya Arab League kuhusu Gaza

    Iran yakosoa taarifa ya Arab League kuhusu Gaza

    Oct 14, 2023 03:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taarifa mpya ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu juu ya matukio ya Ukanda wa Gaza inakera na kufedhehesha.

  • Abdollahian na Nasrullah wazungumzia matukio ya karibuni kuhusu vita vya Gaza

    Abdollahian na Nasrullah wazungumzia matukio ya karibuni kuhusu vita vya Gaza

    Oct 13, 2023 23:58

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Sayyed Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyed katika ziara yake nchini Lebanon.

  • Meja Jenerali Salami: Kimbunga cha Al-Aqswa ni ushindi mkubwa zaidi wa harakati ya Palestina

    Meja Jenerali Salami: Kimbunga cha Al-Aqswa ni ushindi mkubwa zaidi wa harakati ya Palestina

    Oct 13, 2023 23:32

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kipigo kikubwa zaidi katika historia ya uwepo wa utawala bandia wa Kizayuni tangu mwaka 1948 kwa utawala huo na ushindi mkubwa zaidi wa harakati ya Palestina ulitokea katika operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa.

  • Azimio la mwisho katika maandamano ya Iran ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Azimio la mwisho katika maandamano ya Iran ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni

    Oct 13, 2023 08:30

    Washiriki wa maandamano ya leo hapa nchini ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wamewasilisha azimio mwishoni mwa maandamano hayo na kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhlumu wa Palestina.

  • Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza

    Oct 13, 2023 08:07

    Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.

  • Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa

    Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa

    Oct 13, 2023 03:44

    Ofisi ya Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la Washington Post kuwa, Marekani na Qatar zimeafikiana kuzuia fedha za Iran zilizoachiwa hivi karibuni, ambazo zilikuwa zinashikiliwa nchini Korea Kusini kutokana na vikwazo.

  • Iran: Mapambano dhidi ya Israel yanaweza kuchukua mkondo mpana

    Iran: Mapambano dhidi ya Israel yanaweza kuchukua mkondo mpana

    Oct 13, 2023 00:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambayo yameutumbukiza Ukanda wa Gaza katika vita haribifu na vya kuogofya, huenda yakachukua mikondo mipya na mipana zaidi.

  • Spika wa Iran azungumza na maspika wa nchi 7 za Kiislamu kuhusu jinai za Wazayuni Palestina

    Spika wa Iran azungumza na maspika wa nchi 7 za Kiislamu kuhusu jinai za Wazayuni Palestina

    Oct 12, 2023 10:00

    Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti na maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu za Uturuki, Algeria, Syria, Imarati, Lebanon, Oman na Kuwait na kuwahimiza wajibu wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukomesha jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza huko Palesitna.

  • Raisi: Kinachotokea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni kielelezo cha  jinai dhidi ya binadamu

    Raisi: Kinachotokea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu

    Oct 12, 2023 08:38

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Kile kinachotokea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Ghaza dhidi ya raia wa Palestina ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu.

  • Katika mazungumzo yao ya kwanza: Rais wa Iran na Mwanamfalme wa Saudia wajadili hali ya Gaza

    Katika mazungumzo yao ya kwanza: Rais wa Iran na Mwanamfalme wa Saudia wajadili hali ya Gaza

    Oct 12, 2023 05:55

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamezungumza kwa njia ya simu kuhusu matukio ya Palestina na ulazima wa kusitishwa jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS