-
Iran yakosoa taarifa ya Arab League kuhusu Gaza
Oct 14, 2023 03:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taarifa mpya ya Jumuiya ya Nchi za Kiarabu juu ya matukio ya Ukanda wa Gaza inakera na kufedhehesha.
-
Abdollahian na Nasrullah wazungumzia matukio ya karibuni kuhusu vita vya Gaza
Oct 13, 2023 23:58Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Sayyed Hassan Nasrallah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah Sayyed katika ziara yake nchini Lebanon.
-
Meja Jenerali Salami: Kimbunga cha Al-Aqswa ni ushindi mkubwa zaidi wa harakati ya Palestina
Oct 13, 2023 23:32Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kipigo kikubwa zaidi katika historia ya uwepo wa utawala bandia wa Kizayuni tangu mwaka 1948 kwa utawala huo na ushindi mkubwa zaidi wa harakati ya Palestina ulitokea katika operesheni ya kimbunga ya Al-Aqswa.
-
Azimio la mwisho katika maandamano ya Iran ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni
Oct 13, 2023 08:30Washiriki wa maandamano ya leo hapa nchini ya kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wamewasilisha azimio mwishoni mwa maandamano hayo na kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi madhlumu wa Palestina.
-
Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza
Oct 13, 2023 08:07Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.
-
Iran yakanusha madai ya kuendelea kuzuiliwa fedha zake zilizoachiwa
Oct 13, 2023 03:44Ofisi ya Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imekadhibisha ripoti iliyochapishwa na gazeti la Washington Post kuwa, Marekani na Qatar zimeafikiana kuzuia fedha za Iran zilizoachiwa hivi karibuni, ambazo zilikuwa zinashikiliwa nchini Korea Kusini kutokana na vikwazo.
-
Iran: Mapambano dhidi ya Israel yanaweza kuchukua mkondo mpana
Oct 13, 2023 00:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel ambayo yameutumbukiza Ukanda wa Gaza katika vita haribifu na vya kuogofya, huenda yakachukua mikondo mipya na mipana zaidi.
-
Spika wa Iran azungumza na maspika wa nchi 7 za Kiislamu kuhusu jinai za Wazayuni Palestina
Oct 12, 2023 10:00Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran) amefanya mazungumzo ya simu kwa nyakati tofauti na maspika wa mabunge ya nchi za Kiislamu za Uturuki, Algeria, Syria, Imarati, Lebanon, Oman na Kuwait na kuwahimiza wajibu wa kuchukuliwa hatua za haraka za kukomesha jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Ghaza huko Palesitna.
-
Raisi: Kinachotokea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu
Oct 12, 2023 08:38Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Kile kinachotokea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Ukanda wa Ghaza dhidi ya raia wa Palestina ni kielelezo cha jinai dhidi ya binadamu.
-
Katika mazungumzo yao ya kwanza: Rais wa Iran na Mwanamfalme wa Saudia wajadili hali ya Gaza
Oct 12, 2023 05:55Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia wamezungumza kwa njia ya simu kuhusu matukio ya Palestina na ulazima wa kusitishwa jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.