Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Gadi za pwani za Iran zafanya mazoezi makubwa ya kijeshi fukwe za kusini

    Gadi za pwani za Iran zafanya mazoezi makubwa ya kijeshi fukwe za kusini

    Oct 11, 2023 09:15

    Gadi za Pwani za Iran zimeanza mazoezi makubwa ya kijeshi katika fukwe za Ghuba ya Uajemi, Bahari ya Oman na kaskazini ya Bahari Hindi.

  • Iran: Tuko tayari kuongoza mkutano wa nchi za Kiislamu kujadili Palestina

    Iran: Tuko tayari kuongoza mkutano wa nchi za Kiislamu kujadili Palestina

    Oct 10, 2023 10:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kuwa mwenyeji wa mkutano wa dharura wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC), kwa ajili ya kuzungumzia kadhia ya Palestina.

  • "Operesheni ya al-Aqsa imegeuza ndoto ya kuporomoka Israel kuwa uhalisia"

    Oct 09, 2023 03:50

    Mkuu wa Komandi Kuu ya Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ndoto na jinamizi la kuangamia na kupomoka kwa utawala wa Kizayuni wa Israel sasa imegeuka kuwa hali halisi kutokana na Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa.

  • Kan'ani: Tuzo ya Amani ya Nobel inatolewa kisiasa

    Kan'ani: Tuzo ya Amani ya Nobel inatolewa kisiasa

    Oct 07, 2023 03:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa hatua ya waandaaji wa Tuzo ya Amani ya Nobel kumpa tuzo hiyo mwanamke wa Kiirani ambaye ameshitakiwa mara kadhaa kwa kufanya vitendo vya jinai hapa nchini.

  • Rais Ebrahim Raisi: Madola yanayowaunga mkono magaidi yanabeba dhima ya shambulizi la Damascus

    Rais Ebrahim Raisi: Madola yanayowaunga mkono magaidi yanabeba dhima ya shambulizi la Damascus

    Oct 06, 2023 23:53

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulio la kigaidi lililotokea Syria akisema waungaji mkono wa kigeni wa magaidi, wakiwemo wale wanaokalia kwa mabavu ardhi za nchi hiyo, ndio wanaobeba dhima ya hujuma hiyo.

  • Qalibaf aendelea na mashauriano huko Abu Dhabi; akutana na Rais wa Imarati

    Qalibaf aendelea na mashauriano huko Abu Dhabi; akutana na Rais wa Imarati

    Oct 06, 2023 04:20

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) kuhusu kustawisha uhusiano wa pande mbili.

  • Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Oct 05, 2023 09:40

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema uhusiano wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mzuri na wa kuridhisha.

  • Tehran yalaani kauli 'ya kuingilia kati' ya Uingereza kuhusu satalaiti ya Nour 3

    Tehran yalaani kauli 'ya kuingilia kati' ya Uingereza kuhusu satalaiti ya Nour 3

    Oct 05, 2023 04:33

    Iran imelaani vikali kauli ya "kiuingiliaji kati" ya serikali ya Uingereza kuhusu kurusha angani satalaiti mpya ya Nour 3 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kitendo cha al-Ittihad mjini Isfahan; kuchanganywa mechi ya mpira wa miguu na masuala ya kisiasa

    Kitendo cha al-Ittihad mjini Isfahan; kuchanganywa mechi ya mpira wa miguu na masuala ya kisiasa

    Oct 04, 2023 02:41

    Katika kitendo kisicho cha uanamichezo siku ya Jumatatu, timu ya mpira wa miguu ya Saudi Arabia iliamua kutoingia kwenye uwanja wa Naqshe Jahan kwa ajili ya kuchuana na timu ya Sepahan ya mjini Isfahan.

  • Jeshi la Iran lafanya 'Luteka ya Pamoja ya Droni 1402'

    Jeshi la Iran lafanya 'Luteka ya Pamoja ya Droni 1402'

    Oct 03, 2023 23:39

    Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza mazoezi makubwa ya pamoja ya kijeshi ya droni (ndege zisizo na rubani) katika eneo la kistratajia la Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS