Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jeshi la Iran lafanya 'Luteka ya Pamoja ya Droni 1402'

    Jeshi la Iran lafanya 'Luteka ya Pamoja ya Droni 1402'

    Oct 03, 2023 23:39

    Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza mazoezi makubwa ya pamoja ya kijeshi ya droni (ndege zisizo na rubani) katika eneo la kistratajia la Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman.

  • Mkuu wa AEOI: Iran haina nia ya kuunda silaha za nyuklia

    Mkuu wa AEOI: Iran haina nia ya kuunda silaha za nyuklia

    Oct 03, 2023 04:08

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema: Iran haina nia ya kuunda silaha za nyuklia na inachofuatilia siku zote ni nishati ya nyuklia kwa matumizi ya amani.

  • Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria

    Uturuki bado inatafuta fursa kwa kuendelea kukalia ardhi ya Syria

    Oct 02, 2023 07:35

    Ankara imetangaza kwa mara nyingine kuwa serikali ya Uturuki itaanzisha tena mazungumzo yake na Iran na Russia kwa lengo la kuboresha uhusiano na Syria.

  • Shahriari: Uhusiano wa Iran na Saudia unaimarisha umma wa Kiislamu

    Shahriari: Uhusiano wa Iran na Saudia unaimarisha umma wa Kiislamu

    Oct 02, 2023 03:12

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kurejeshwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia kumesaidia kuboreka umoja na matumaini katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Iran kujiunga na mfumo wa BRICS PAY ili kukwepa vikwazo vya Marekani

    Iran kujiunga na mfumo wa BRICS PAY ili kukwepa vikwazo vya Marekani

    Oct 01, 2023 03:52

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Qalibaf amesema Iran itajiunga na BRICS PAY, mfumo wa kibenki wa kielektroniki unaotumiwa na muungano wa BRICS wa mataifa yanayoinukia kiuchumi, ili kukwepa vizuizi vya kibenki vilivyosababishwa na vikwazo vya Marekani.

  • Rais wa Iran alaani mashambulizi pacha ya kigaidi Pakistan

    Rais wa Iran alaani mashambulizi pacha ya kigaidi Pakistan

    Sep 30, 2023 01:16

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran amelaani mashambulizi mawili ya kigaidi yaliuoua makumi ya watu katika jimbo la kusini magharibi la Balochistan nchini Pakistan.

  • Jumamosi, 30 Septemba, 2023

    Jumamosi, 30 Septemba, 2023

    Sep 29, 2023 22:56

    Leo ni Jumamosi tarehe 14 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1445 Hijria mwafaka na tarehe 30 Septemba 2023 Miladia.

  • Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni

    Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni

    Sep 29, 2023 00:29

    Amir Saeid Iravani Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amewaandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la UN na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu matamshi ya vitisho ya karibuni ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.

  • Raisi: Kurushwa kwa mafanikio satalaiti

    Raisi: Kurushwa kwa mafanikio satalaiti "Nour 3" ni ishara nyingine ya kushindwa mradi wa vikwazo vya adui

    Sep 28, 2023 04:22

    Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amepongeza kurushwa kwa mafanikio satalaiti Nour-3 katika obiti akikutaja kuwa ni ushindi wa taifa na ushahidi wa kushindwa mradi wa vikwazo na vitisho vya adui.

  • Jerusalem Post: Satalaiti ya

    Jerusalem Post: Satalaiti ya "Nour 3" inaimarisha uwezo wa anga wa Iran

    Sep 27, 2023 23:30

    Gazeti la Jerusalem Post la Israel limeandika kuwa, kurushwa angani Satalaiti Nour 3 ni sehemu ya mafanikio mapya ya kiteknolojia ambayo Iran inatumia kudhihirisha uwezo wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS