Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran

    Mchambuzi wa Marekani: Wananchi wa Marekani wanachukizwa na vita vya Trump dhidi ya Iran

    Mar 16, 2026 14:00

    Mchambuzi wa Marekani ameeleza kuwa wapiga kura wa nchi hiyo wamekasirishwa na hatua ya rais wa nchi hiyo ya kuiburuta Washington katika vita na Iran.

  • Araqchi: Kushambulia maghala ya mafuta ni kuangamiza mazingira

    Araqchi: Kushambulia maghala ya mafuta ni kuangamiza mazingira

    Mar 16, 2026 13:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa kitendo cha kushambulia maghala ya kuhifadhia mafuta katika mji wa Tehran ni sawa na kuangamiza mazingira.

  • Rais wa Iran amwambia Macron: US, Israel ndio mzizi wa ukosefu wa usalama katika eneo

    Rais wa Iran amwambia Macron: US, Israel ndio mzizi wa ukosefu wa usalama katika eneo

    Mar 16, 2026 09:34

    Rais wa Iran amesema Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo chimbuko la ukosefu wa usalama na uthabiti katika eneo la Asia Magharibi, akisisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitasita kukabiliana na wavamizi.

  • Iran yawakamata 'mamluki na majasusi' 36 wa Marekani, Israel

    Iran yawakamata 'mamluki na majasusi' 36 wa Marekani, Israel

    Mar 16, 2026 08:48

    Jeshi la Polisi la Iran limefanikiwa kutambua na kuvunja mtandao wa mamluki na majasusi uliokuwa ukiongozwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na utawala haramu wa Israel ndani ya Iran.

  • Dkt Tedros: Kushambulia kwa mabomu hospitali na shule ni jinai ya kivita

    Dkt Tedros: Kushambulia kwa mabomu hospitali na shule ni jinai ya kivita

    Mar 15, 2026 08:42

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Duniani (WHO) amelaani vikali kitendo cha kushambuliwa kwa mabomu hospitali na shule, akisisitiza kuwa hujuma hizo si kitu kingine ghairi ya jinai za kivita.

  • Jenerali Shekarchi: Tumeharibu kambi zote za US katika eneo, meli ya Abraham Lincoln imetimka

    Jenerali Shekarchi: Tumeharibu kambi zote za US katika eneo, meli ya Abraham Lincoln imetimka

    Mar 15, 2026 08:35

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema kambi za kijeshi za Marekani zilizoundwa kwa kutumia rasilimali za Waislamu kwa kisingizio cha kudhamini usalama wa eneo, huku zikifuja mali za mataifa ya Waislamu, zimeharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake

    Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake

    Mar 15, 2026 08:34

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani imeitoa kafara kila nchi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi hazizipi ulinzi nchi wenyeji.

  • Jen. Mousavi: Iran imeivurumishia Israel makombora 30 ya balestiki

    Jen. Mousavi: Iran imeivurumishia Israel makombora 30 ya balestiki

    Mar 14, 2026 07:18

    Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC amesema asilimia kubwa ya makombora 30 ya balestiki yaliyovumishwa na Jamhuri ya Kiislamu usiku wa Lailatul Qadr yalipiga shabaha zilizokusudiwa kwa usahihi mkubwa.

  • Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Mar 14, 2026 06:59

    Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mamilioni ya Wairani washiriki maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds licha ya kudondoshewa mabomu na US, Israel

    Mar 13, 2026 10:06

    Mamilioni ya wananchi wa Iran katika pembe zote za nchi wameshiriki katika maandamano makubwa ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds Ijumaa, huku tawala za kitwaghuti za Marekani na Israel zikiendelea kushambulia kwa mabomu miji mbali mbali ya Jamhuri ya Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS