-
Ugaidi wa ndani nchini Marekani na mtazamo wa undumakuwili wa Washington
Jan 27, 2026 02:32Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani ametaja aina yoyote ya uchochezi au utekelezaji wa vurugu dhidi ya serikali kuwa ni mfano wa ‘ugaidi wa ndani’.
-
Je, vyombo vya habari vinavyohasimiana na Iran vinakiuka sheria za kimataifa katika upotoshaji?
Jan 26, 2026 12:56Kadiri wimbi la fitina, vurugu na machafuko yanayohusishwa na ushawishi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Iran lilivyozidi kupamba moto, nafasi ya vyombo vya habari hasimu katika kuchochea vitendo vya ugaidi na kukiuka wazi misingi ya sheria za kimataifa imejitokeza kwa uwazi tena.
-
Iran: Tutatoa jibu la 'kujutisha' kwa uchokozi wowote wa maadui
Jan 26, 2026 12:19Iran imeonya kwamba, Jamhuri ya Kiislamu itatoa "jibu la kujutisha" kwa kitendo chochote cha uchokozi, ikisisitiza kwamba taifa hili sasa lina uwezo mkubwa zaidi wa kijeshi kuliko hapo awali.
-
Iran yazifungulia mashitaka US, Israel kwa kuunga mkono ugaidi
Jan 26, 2026 10:16Iran imewasilisha malalamiko ya kisheria na jinai katika majukwaa ya kimataifa dhidi ya Marekani, utawala wa Kizayuni wa Israel, na makundi kadhaa ya kigaidi kwa kuunga mkono na kufadhili vitendo vya ugaidi na uhaini dhidi ya usalama wa taifa wa Iran.
-
Kamanda Mkuu wa Polisi ya Iran: Tutaendelea kuilinda Jamhuri ya Kiislamu
Jan 25, 2026 11:24Brigedia Jenerali Ahmad Reza Radan, Kamanda Mkuu wa Polisi ya Iran amesema kuwa wananchi na maafisa wa Iran watailinda Jamhuri ya Kiislamu hadi tone la mwisho la damu yao.
-
Kwa nini Baraza la Haki za Kibinadamu la UN, linaichafua Iran, sambamba na Marekani?
Jan 24, 2026 13:36Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa limefuata sera ya Marekani ya kuichafua Iran kwa kupasisha azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Vinara zaidi ya 140 wa ghasia za karibuni watiwa nguvuni katika mji wa Hamedan
Jan 24, 2026 13:11Askari usalama wa Iran wamefanikiwa kuwatambua na kuwakamata vinara 140 waliohusika katika machafuko ya karibuni hapa nchini kwa ufadhili na kuungaji mkono na nchi za nje. Vinara hao wa ghasia za karibuni wametiwa nguvuni katika mji wa Hamedan, magharibi mwa Iran.
-
Iran yamjibu Zelensky; yamwambia dunia imechoka na 'vikaragosi vilivyochanganyikiwa'
Jan 24, 2026 03:32Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amemkosoa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kwa kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu, na kumwambia bayana kwamba dunia imechoka na "Wanaserere Waliochanganyikiwa."
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: IRGC ndiyo nguzo kuu ya kuwalinda wananchi na Mapinduzi ya Kiislamu
Jan 23, 2026 14:49Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, Hujjatul Islam Walmuslimin Haj Ali Akbari, amezungumzia matukio ya hivi karibuni na mashambulizi ya maadui kwenye maeneo mbalimbali yakiwemo ya ya kidini na kusisitiza kuwa: Maadui walidhani kwamba wangeweza kulilazimisha taifa la Iran kurudi nyuma na kudhibiti mitaa na viwanja kupitia vitisho na kuzusha hofu, lakini wananchi ambao ndio wamiliki halisi wa nchi hii, walijitokeza kwenye medani na kukabiliiana ipasavyo na fitina hiyo.
-
Iran, mshirika mkuu wa kibiashara wa Afghanistan; uagizaji wa Kabul kutoka Tehran wapanda hadi dola bilioni 3.45
Jan 23, 2026 03:20Kiwango cha mabadilishano ya biashara kati ya Iran na Afghanistan kinaongezeka. Serikali ya Taliban imetangaza kuwa, uhusiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan umeongezeka hadi dola bilioni tatu na nusu.