-
Iran: Hatuna cha kujadiliana na Uingereza iwapo haitaki turutubishe urani
May 28, 2025 06:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, hakutakuwa na msingi zaidi wa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Uingereza ikiwa London inaitaka Tehran isitishe kabisa shughuli zake za amani za kurutubisha urani, ikifuata kibubusa msimamo wa mshirika wake wa Magharibi, Marekani.
-
Iran na Oman zatiliana saini hati 18 za mikataba ya ushirikiano
May 28, 2025 03:28Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman zimetiliana saini hati 18 za mikataba ya ushirikiano katika nyanja mbalimbali.
-
Pezeshkian: Iran inaunga mkono usitishaji vita baina ya India-Pakistan
May 27, 2025 06:39Rais Masoud Pezeshkian wa Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono usitishaji vita wa kudumu kati ya India na Pakistan, akitoa mwito wa kufanyika mazungumzo kati ya nchi za kikanda ili kutatua mizozo iliyopo na kuimarisha amani.
-
Kwa nini Trump ana vigezo vya kibaguzi kuhusu suala la nyuklia?
May 26, 2025 02:14Siku ya Ijumaa, Mei 23, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini dikri mpya kadhaa zinazolenga kuongeza uwezo wa uzalishaji wa nishati ya nyuklia, kupunguza kanuni za udhibiti na kupanua sekta ya urutubishaji wa madini ya urani nchini humo.
-
Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza
May 24, 2025 07:10Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano na maafisa wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican huko mjini Rome, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa kukomesha uhalifu unaoendelea kufanyika Gaza, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inafika katika eneo hilo lililozingirwa.
-
Kamandi ya Majeshi la Iran: Uchokozi wowote utakabiliwa na jibu kali
May 24, 2025 02:34Vikosi vya Jeshi la Iran vimetoa taarifa vikisisitiza kuwa, vitatoa majibu thabiti dhidi ya vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel na Marekani.
-
UNHCR yaipongeza Iran kwa kuhudumia vyema wakimbizi
May 24, 2025 02:34Kamishna Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa wa (UNHCR) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kuhudumia vyema wakimbizi.
-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Iran haitaachana na haki yake ya teknolojia ya nyuklia
May 23, 2025 12:13Imam wa muda wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasalimu amri na kuachana na haki yake isiyoweza kupokonywa ya matumizi ya amani ya teknolojia ya nyuklia.
-
Jenerali Baqeri: Vikosi vya Iran havitasita kujibu vitisho vya maadui
May 23, 2025 06:26Mkuu wa Vikosi vya Majeshi ya Iran amesema wanajeshi wa nchi hii hivi sasa wanatengeneza aina mbalimbali za ndege zisizo na rubani na ndege ndogo, akionya kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu vitisho vyovyote vya maadui kwa jibu lenye mlingano sawa.
-
"Iwapo maadui wangeliamini Iran inaweza kushindwa, wasingejadiliana"
May 23, 2025 03:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, jukumu la msingi la wizara hiyo ni kujitahidi kuondosha vikwazo na kuongeza kuwa, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje anayesimamia Diplomasia ya Kiuchumi na balozi za Iran nje ya nchi zinapaswa kuwezesha mchakato huo na kuondolewa vikwazo vyote dhidi ya taifa hili.