Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amuonya vikali Trump

    Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amuonya vikali Trump

    Jan 22, 2026 06:56

    Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Iran amemuonya vikali Rais Donald Trump wa Marekani kufuatia matamshi yake ya hivi karibuni ya vitisho dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.

  • Iran yatangaza idadi ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na maajinabi

    Iran yatangaza idadi ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na maajinabi

    Jan 22, 2026 06:02

    Wakfu wa Mashahidi na Maveterani wa Iran umetangaza katika taarifa kwamba, "katika vitendo vya hivi karibuni vya ugaidi vilivyoungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, watu 3117 walipoteza maisha yao, wakiwemo raia na maafisa usalama."

  • Bahreini: Iran haitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa matumizi ya amani

    Bahreini: Iran haitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa matumizi ya amani

    Jan 21, 2026 10:42

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza kwamba, taifa hili halitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya matumizi ya amani.

  • Kwa nini Iran inatilia mkazo kuhusu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya malengo ya amani?

    Kwa nini Iran inatilia mkazo kuhusu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya malengo ya amani?

    Jan 21, 2026 10:02

    Iran imetangaza kuwa abadan haitaacha haki yake ya kurutubisha madini ya urani kwa malengo ya kiraia.

  • "Jeshi la Iran litakata 'mkono wowote wa chokochoko' dhidi ya Kiongozi Muadhamu"

    Jan 21, 2026 03:14

    Afisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la Iran amepuuzilia mbali vitisho vya maneno vya hivi karibuni vya Rais wa Marekani Donald Trump, akionya kwamba, hatua yoyote ya uadui itakayoelekezwa kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei itakabiliwa na kisasi kikubwa cha kijeshi.

  • Russia yasisitizia tena haki ya Iran ya kunufaika na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani

    Russia yasisitizia tena haki ya Iran ya kunufaika na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani

    Jan 21, 2026 02:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitizia tena haki ya Iran ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi za Argentina dhidi ya IRGC

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yalaani tuhuma zisizo na msingi za Argentina dhidi ya IRGC

    Jan 20, 2026 07:41

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani uamuzi wa hivi karibuni wa Argentina wa kuituhumu sehemu ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), na kuutaja uamuzi huo kuwa usioweza kuhalalishwa, na ni hatari kwa usalama wa taifa.

  • Araqchi alikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake huko Davos

    Araqchi alikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake huko Davos

    Jan 20, 2026 05:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelikosoa Kongamano la Uchumi la Dunia kwa kufuta mwaliko wake wa kuhudhuria Mkutano wa Davos.

  • Je, Trump anajaribu kufidia udhalilishaji wa kihistoria iliofanyiwa Marekani 2016 na Iran?

    Je, Trump anajaribu kufidia udhalilishaji wa kihistoria iliofanyiwa Marekani 2016 na Iran?

    Jan 20, 2026 02:08

    Tarehe 12 Januari (Dei 22) ni ukumbusho wa siku ambayo wanajeshi wa Marekani walitekwa na majeshi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi.

  • Wizara ya Usalama ya Iran yawatia mbaroni magaidi 2 wa MKO walioshiriki katika ghasia za Tehran

    Wizara ya Usalama ya Iran yawatia mbaroni magaidi 2 wa MKO walioshiriki katika ghasia za Tehran

    Jan 19, 2026 11:37

    Wizara ya Usalama ya Iran imetangaza kuwa imewatia nguvuni mamluki wawili wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Munafiqin (MKO). Mamluki hao walikuwa wapiongozwa na kupewa maagizo la uongozi wa kundi hilo wenye makao yake nchini Ujerumani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS