Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    Iran yazindua kituo cha chini ya ardhi cha ndege za kivita zisizo na rubani

    May 28, 2022 23:25

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua kituo kipya cha siri kilicho chini ya ardhi chenye idadi kubwa ya ndege za kisasa za kivita zisizo na rubani.

  • FAO: Iran ni moja ya nchi zinazozalisha chakula kwa wingi duniani

    FAO: Iran ni moja ya nchi zinazozalisha chakula kwa wingi duniani

    May 28, 2022 06:11

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza kuwa, Iran ina nafasi muhimu katika kilimo cha chakula duniani ambapo inashikilia nafasi ya tatu hadi ya tisa katika uzalishaji wa baadhi ya mazao.

  • Shamkhani: Dunia iungane kupambana na ubeberu wa Marekani kwa pande zote

    Shamkhani: Dunia iungane kupambana na ubeberu wa Marekani kwa pande zote

    May 27, 2022 02:29

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, dunia inapaswa kuungana katika kupambana na siasa za kibeberu za Marekani za kujikumbizia kila kitu upande wake.

  • Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    Iran yakosoa mitazamo ya upande mmoja na taathira zake hasi kwa utulivu wa eneo na usalama wa kimataifa

    May 26, 2022 21:53

    Awamu ya tatu ya mazungumzo ya kisiasa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Italia ilifanyika siku ya Jumanne mjini Tehran, chini ya uenyekiti wa Ali Bagheri, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia masuala ya kisiasa na Ettore Plato, Katibu Mkuu katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Italia.

  • Iran ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazotengeneza na kurusha satelaiti katika anga za mbali

    Iran ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazotengeneza na kurusha satelaiti katika anga za mbali

    May 22, 2022 23:15

    Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Issa Zarepour amesema, Iran ni miongoni mwa nchi 10 duniani zinazotengeneza na kurusha satelaiti katika anga za mbali na kusisitiza kuwa sekta hiyo inailetea Iran nguvu na teknolojia mpya.

  • Televisheni ya Kizayuni: Israel kuchukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno tu

    Televisheni ya Kizayuni: Israel kuchukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno tu

    May 21, 2022 08:01

    Televisheni ya Kizayuni ya Kan 11 imesema, madai yote yanayotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwmba utachukua hatua dhidi ya Iran ni vitisho vya maneno matupu.

  • Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani

    Uungaji mkono wa Iran kwa hatua za Umoja wa Mataifa katika kukabiliana na mgogoro wa chakula duniani

    May 20, 2022 22:44

    "Dunia nzima imeathirika na uhaba wa chakula." Hayo yalisemwa siku ya Alhamisi na Majid Takht-e Ravanchi, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa.

  • Sultan Haitham atoa amri ya kifalme ya kuimarishwa ushirikiano wa baharini wa Oman na Iran

    Sultan Haitham atoa amri ya kifalme ya kuimarishwa ushirikiano wa baharini wa Oman na Iran

    May 19, 2022 02:41

    Sultan Haitham bin Tariq wa Oman ametoa amri ya kifalme ya kupasisha makubaliano ya ushirikiano wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa uchukuzi na usafiri wa baharini.

  • Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani

    Iran yalaani ukiukwaji mpya wa haki za binadamu uliogundulika Marekani

    May 15, 2022 06:31

    Kazem Gharibabadi, Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa taarifa baada ya uchunguzi kubaini vifo vya zaidi ya watoto 500 wa jamii za asili za Marekani katika shule za bweni za kanisa, zilizofadhiliwa na serikali na kusema: "Pamoja na kuwepo ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu huko Marekani nchi hiyo inajipa jukumu la kuwapa wengine nasaha kuhusu haki za binadamu."

  • Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili

    Safari ya Amir wa Qatar nchini Iran; ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi mbili

    May 13, 2022 06:27

    Sheikh Tamim bin Hamad Aal Thani, Amir wa Qatar aliwasili mjini Tehran siku ya Alhamisi kwa ziara rasmi ambapo amekutana na kuzungumza na mwenyeji wake Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS