-
Wanafunzi Tehran walaani mauaji ya mwandishi habari Mpalestina Abu Akleh
May 13, 2022 03:25Wanafunzi wa vyuo vikuu katika mji mkuu wa Iran, Tehran wameandamana nje ya Ubalozi wa Palestina na kuulaani utawala haramu wa Israel kwa kumuua kinyama mwandishi habari Mpalestina wa Televisheni ya Al Jazeera Shireen Abu Akleh.
-
Mkurugenzi Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu: Iran inaamiliana kwa ukarimu na wahajiri
May 09, 2022 23:52Mkurugenzi Mkuu wa Kamati ya Kimataifa ya Shirika la Msalaba Mwekundu (ICRC) amesema kuwa kwa mtazamo wa jamii ya kimataifa Iran ni mwenyeji mzuri wa wakimbizi wa Kiafghani na inaamiliana nao kwa ukarimu.
-
Iran ni miongoni mwa nchi tano bora katika teknolojia ya nano duniani
May 03, 2022 05:45Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tano zinazoongoza duniani katika uga wa teknolojia ya nano.
-
Kuongezeka miamala ya kibiashara kati ya Iran na wanachama wa Jumuiya ya Shanghai
May 03, 2022 00:16Ushirikiano wa Iran na nchi za ukanda huu ambao ni katika siasa kuu za Jamhuri ya Kiislamu hasa katika serikali ya hivi sasa, umezaa matunda mengi mazuri yakiwemo ya kuongezeka mabadilishano ya kibiashara baina ya Tehran na Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kupanuliwa muqawama kote Palestina
Apr 30, 2022 06:59Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Ijumaa alihutubu kwa njia ya televisheni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds ambapo alitaja dalili kadhaa zenye kutia matumaini kuhusu mustakbali tofauti kwa maslahi ya wananchi wa Palestina ikiwemo kupanuliwa uwanja wa mapambano katika ardhi yote ya Palestina na mkabala wake, kudhoofika utawala ghasibu wa Kizayuni na muungaji wake mkono mkuu yaani Marekani.
-
Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran: Kuna maafikiano juu ya kudumishwa mapambano ya kukomboa Palestina
Apr 29, 2022 10:42Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran amesema kuwa wananchi wa Palestina wamesimama kidete na wameazimia kuikomboa Palestina yote kutoka Bahari ya Mediterania hadi Mto Jordan.
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa China mjini Tehran; ukurasa mpya katika uhusiano wa kiulinzi na kijeshi wa pande mbili
Apr 28, 2022 02:41Jenerali Wei Fenghe, Waziri wa Ulinzi wa China aliwasili mjini Tehran siku ya Jumatano kwa ajili ya kuonana na kufanya mazungumzo na Brigedia Jenerali Mohammad Reza Gharaei Ashtiani, Waziri mwenzake wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rais wa Iran aipongeza Afrika Kusini kwa kuadhimisha Siku ya Taifa
Apr 27, 2022 22:20Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia ujumbe wa pongezi mwenzake wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa kwa mnasaba wa taifa hilo la Kiafrika kuadhimisha Siku ya Taifa.
-
Raisi: Maafisa wa ngazi za juu wa Iran na China wana nia ya kupanua uhusiano wa kimkakati.
Apr 27, 2022 08:46Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika mazungumzo yake na Waziri wa Ulinzi wa China kuwa: Viongozi wa ngazi za juu wa Tehran na Beijing wana nia ya dhati ya kupanua uhusiano wa kistratijia wa muda mrefu bila ya kujali matukio ya kimataifa.
-
Sisitizo la Iran la kurudishwa amani ya kudumu katika eneo kwa kuondolewa ukaliwaji mabavu wa ardhi za Palestina
Apr 22, 2022 03:46Hussein Amir Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa amani ya kudumu katika eneo la Asia Magharibi itapatikana tu kwa kuondolewa kikamilifu ukaliwaji mabavu wa ardhi za Palestina, kurejea wakimbizi wote katika ardhi zao za jadi na kuainishwa mfumo wa utawala wa baadaye wa Palestina kwa msingi wa kura ya maoni pamoja na kuundwa serikali huru katika ardhi hizo.