Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Iran: Kujitakia makuu Marekani kusiathiri masuala muhimu Vienna

    Mar 10, 2022 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema masuala ya msingi na kuondolewa Iran vikwazo havipaswi kuathiriwa na tabia ya kujitakia makuu Marekani.

  • Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini

    Mazungumzo baina ya Iran na Oman kuhusu usalama wa baharini

    Mar 10, 2022 00:40

    Kikao cha Tatu cha Makamanda wa Gadi ya Ufukweni ya Jamhuri ya Kiisalmu ya Iran na Oman kimefanyika mjini Muscat na kujadili usalama wa baharini. Maudhui kuu iliyojadiliwa na nchi hizi mbili ndugu katika kikao hicho ni kuzidi kushirikiana na kuwa na uratibu wa pamoja na kulinda usalama wa mpaka wa baharini wa nchi hizo.

  • Kiongozi Muadhamu: Kuiridhia Marekani ni kosa kubwa na pigo kwa nguvu za kisiasa

    Kiongozi Muadhamu: Kuiridhia Marekani ni kosa kubwa na pigo kwa nguvu za kisiasa

    Mar 10, 2022 08:15

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kuiridhia Marekani au dola jengine lolote lile kwa ajili ya kuepukana na vikwazo ni kosa kubwa na pigo kwa nguvu za kisiasa.

  • Iran yalaani shambulio la roketi la Israel dhidi ya Damascus, Syria

    Iran yalaani shambulio la roketi la Israel dhidi ya Damascus, Syria

    Mar 09, 2022 06:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulizi la roketi la utawala haramu wa Israel dhidi ya mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Rais Ebrahim Raisi: Wananchi wa Ukraine ni wahanga wa siasa za kishetani za Marekani

    Rais Ebrahim Raisi: Wananchi wa Ukraine ni wahanga wa siasa za kishetani za Marekani

    Mar 07, 2022 00:52

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Ukraine wamekuwa wahanga wa siasa za kishetani za Marekani.

  • Ulyanov: Ziara ya Rafael Grossi nchini Iran imefanikiwa

    Ulyanov: Ziara ya Rafael Grossi nchini Iran imefanikiwa

    Mar 07, 2022 00:47

    Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika taasisi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna, Austria amesema kuwa safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) nchini Iran imefanikiwa.

  • Mazungumzo ya Vienna na umuhimu wa safari ya Grossi mjini Tehran

    Mazungumzo ya Vienna na umuhimu wa safari ya Grossi mjini Tehran

    Mar 05, 2022 08:04

    Rafael Grossi Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ta Atomiki (IAEA) leo Jumamosi amewasili hapa Tehran na kulakiwa na Behrouz Kamalvandi Msemaji na Mkuu wa Masuala ya Kimataifa wa Shirika la Nishati ya Atomiki lal Iran. Ziara ya Grossi hapa Tehran inafanyika kwa lengo la kuzipatia ufumbuzi baadhi ya hitilafu za mitazamo kuhusu faili la nyuklia la Iran pamoja na masuala mengine kati ya Iran na wakala wa IAEA.

  • Iran ni moja ya nchi zilizofanikiwa sana kupambana na corona

    Iran ni moja ya nchi zilizofanikiwa sana kupambana na corona

    Mar 05, 2022 04:06

    Waziri wa Afya wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ni moja ya nchi kumi zilizofanikiwa sana kupambana na janga la corona ulimwenguni na hayo yanaweza kuhesabiwa kuwa ni mafanikio makubwa.

  • Iran yakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za utafiti

    Iran yakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za utafiti

    Mar 04, 2022 23:35

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha ushirikiano na mashirika ya kimataifa na taasisi za kielimu na kiutafiti.

  • Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Khatibu ya Swala ya Ijumaa: Marekani imehusika na yanayoendelea Ukraine

    Mar 04, 2022 09:00

    Khatibu wa Muda wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehrah amekosoa vikali mienendo ghalati ya Marekani katika medani ya kimataifa na kusisitiza kuwa, US ni nembo ya ujahili mamboleo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS