Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Bin Salman: Tuna matumaini ya kuendelezwa mazungumzo na Iran

    Bin Salman: Tuna matumaini ya kuendelezwa mazungumzo na Iran

    Mar 04, 2022 04:47

    Mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ameeleza matumaini kuwa mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia yatafikia hatua ambayo itakuwa nzuri kwa pande zote mbili na kutengeneza mustakabali mzuri kwa nchi zote mbili.

  • Mkurugenzi mkuu wa wakala wa IAEA kuitembelea Iran kesho

    Mkurugenzi mkuu wa wakala wa IAEA kuitembelea Iran kesho

    Mar 03, 2022 23:10

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) anatazamiwa kuitembelea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kesho Jumamosi kwa ziara rasmi ya kikazi.

  • Shamkhani: Mashinikizo ya juu yamefelishwa na sera ya muqawama

    Shamkhani: Mashinikizo ya juu yamefelishwa na sera ya muqawama

    Mar 03, 2022 22:59

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema stratejia ya muqawama amilifu ndiyo iliyoishinda na kusambaratisha sera ya mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya Iran.

  • Safari ya Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran nchini Pakistan na diplomasia ya Tehran ya ulinzi amilifu

    Safari ya Kamanda wa Jeshi la Anga la Iran nchini Pakistan na diplomasia ya Tehran ya ulinzi amilifu

    Feb 28, 2022 07:39

    Jumapili ya jana tarehe 27 Februari, Brigedia Jenerali Hamid Vahedi, Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliwasili katika mji mkuu wa Pakistan Islamabad kwa minajili ya kukutana na kufanya mazungumzo na maafisa wa kijeshi na kisiasa wa nchi hiyo.

  • Kuongezeka kwa kasi biashara ya nje ya Iran katika serikali ya 13 licha ya kuwepo vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Kuongezeka kwa kasi biashara ya nje ya Iran katika serikali ya 13 licha ya kuwepo vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Feb 27, 2022 22:51

    Biashara ya nje ya Iran katika kipindi cha miezi 11 iliyopita imefikia kiwango cha dola bilioni 90, ambalo ni ongezeko la asilimia 38 ikilinganishwa na muda kama huo katika mwaka uliopita.

  • Amir-Abdollahian: Mazungumzo ya Vienna yatafanikiwa iwapo nchi za Magharibi zaitabadilisha msimamo

    Amir-Abdollahian: Mazungumzo ya Vienna yatafanikiwa iwapo nchi za Magharibi zaitabadilisha msimamo

    Feb 27, 2022 01:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya na kusema baadhi ya masuala muhimu yaliyosalia katika mazungumzo ya Vienna ya kuondolewa Iran vikwazo yanaweza kutatuliwa.

  • Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia

    Mazungumzo ya simu ya Marais wa Iran na Russia

    Feb 27, 2022 00:22

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raisi, na Rais wa Russia, Vladimir Putin, walifanya mazungumza ya simu Alhamisi iliyopita kuhusu masuala ya kimataifa na mazungumzo yanayoendelea huko Vienna kuhusu suala la kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Iran.

  • Iran kuendelea kurutubisha urani kwa 20% hata ikiondolewa vikwazo

    Iran kuendelea kurutubisha urani kwa 20% hata ikiondolewa vikwazo

    Feb 25, 2022 23:09

    Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendelea kuzalisha madini ya urani iliyoritubishwa kwa kiwango cha asilimia 20, hata kama itaondolewa vikwazo katika mazungumzo ya Vienna yanayolenga kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 40%

    Mauzo ya mafuta ya Iran nje ya nchi yaongezeka kwa 40%

    Feb 25, 2022 23:08

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema uuzaji wa mafuta yake katika soko la kimataifa umeongezeka kwa asilimia 40 katika kipindi cha miezi mitano iliyopita, licha ya vikwazo dhidi ya taifa hili.

  • Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Iran yapinga kutumiwa haki za binadamu kama chombo dhidi ya nchi zingine

    Feb 24, 2022 23:48

    Katibu wa Baraza la Haki za Binadamu la Iran amekutana na mabalozi wa Russia na China nchini Iran ambapo wametangaza kwa pamoja kupinga kutumiwa vibaya kadhia ya haki za binadamu kama chombo cha kuyashinikiza mataifa mengine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS