Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Gesi asilia; jibu kwa changamoto za ustawi endelevu katika karne ya 21

    Gesi asilia; jibu kwa changamoto za ustawi endelevu katika karne ya 21

    Feb 23, 2022 08:17

    Mkutano wa Sita wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi Zinazouza Nje Gesi Asilia (GECF) ulianza rasmi Jumanne wiki hii ukihudhuriwa na Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakuu na wawakilishi wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo. Mkutano huo ilifunguliwa kwa hotuba ya Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani kwa kauli mbiu ya "Usalama wa Nishati Duniani".

  • Iran: Tuko tayari kustawisha uhusiano wetu na nchi za Afrika katika nyuga tofauti

    Iran: Tuko tayari kustawisha uhusiano wetu na nchi za Afrika katika nyuga tofauti

    Feb 23, 2022 03:43

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran iko tayari kuimarisha na kustawisha uhusiano wake katika nyuga mbalimbali na nchi za Afrika kama vile kupeleka barani humo uzoefu wake wa kiufundi na kihandisi.

  • Raisi atoa mwito wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Msumbiji

    Raisi atoa mwito wa kustawishwa uhusiano wa Iran na Msumbiji

    Feb 22, 2022 23:21

    Rais Ebrahim Raisi wa Iran ametoa mwito wa kuboreshwa uhusiano wa pande mbili baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Msumbiji katika nyuga tofauti.

  • Iran: Uingiliaji wa US, NATO umeshadidisha mgogoro wa Ukraine

    Iran: Uingiliaji wa US, NATO umeshadidisha mgogoro wa Ukraine

    Feb 22, 2022 23:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali chokochoko za Marekani na shirika la kijeshi la NATO katika mgogoro wa Ukraine na kusisitiza kuwa, uingiliaji huo umeshadidisha taharuki mashariki mwa nchi hiyo jirani na Russia.

  • EU: Mazungumzo ya Vienna yamefika katika marhala hasasi

    EU: Mazungumzo ya Vienna yamefika katika marhala hasasi

    Feb 22, 2022 23:10

    Naibu Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yanaelekea ukingoni, na hivi sasa yako katika marhala hasasi na nyeti.

  • Rais Ebrahim Raisi: Gesi asilia itaunda mustakbali wa nishati duniani

    Rais Ebrahim Raisi: Gesi asilia itaunda mustakbali wa nishati duniani

    Feb 22, 2022 09:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika Mkutano wa Jumuiya ya Nchi Zinazouza Nje Gesi Asilia (GECF) kwamba gesi asilia inaunda mustakbali wa nishati ya dunia na ni chanzo muhimu cha nishati kwa ajili ya jamii.

  • Safari ya Raisi nchini Qatar, maonyesho ya diplomasia ya ujirani mwema

    Safari ya Raisi nchini Qatar, maonyesho ya diplomasia ya ujirani mwema

    Feb 21, 2022 06:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo amewasili Doha mji mkuu wa Qatar kwa mwaliko wa Amir wa nchi hiyo, kuhudhuria Mkutano wa Sita wa Jumuiya ya Nchi Zinazouza Nje Gesi Asilia (OPEC-Gas) sambamba na kuimarisha uhusiano wa pande mbili.

  • Amir Abdollahian afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon, Katibu Mkuu wa UN na wawakilishi wa nchi mbalimbali mjini Munich

    Amir Abdollahian afanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon, Katibu Mkuu wa UN na wawakilishi wa nchi mbalimbali mjini Munich

    Feb 20, 2022 09:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Lebanon pambizoni mwa Mkutano wa 58 wa Usalama wa Munich.

  • Mazungumzo ya Marais wa Iran na Ufaransa sanjari na hatua muhimu za mazungumzo ya Vienna

    Mazungumzo ya Marais wa Iran na Ufaransa sanjari na hatua muhimu za mazungumzo ya Vienna

    Feb 20, 2022 08:49

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na Rais wa Ufaransa kwamba suala kuu litakalosaidia kufikiwa mapatano mjini Vienna ni kuhakikisha maslahi ya wananchi wa Iran yanalindwa hususan kuondolewa vikwazo, kupewa dhamana madhubuti na kufungwa mafaili ya madai ya kisiasa.

  • Iran yaitaka dunia ikomeshe jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Iran yaitaka dunia ikomeshe jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

    Feb 20, 2022 04:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za haraka za kuuzuia utawala wa Kizayuni wa Israel kuendelea kufanya jinai na uhalifu dhidi ya Wapalestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS