-
Raisi: Makubaliano yoyote ya Vienna sharti yajumuishe kuondolewa vikwazo Iran
Feb 20, 2022 00:18Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapatano yoyote yatakayofikiwa kwenye mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA lazima yajumuishe suala la kuondolewa vikwazo taifa la Iran, sanjari na kupasishwa kwa kipengee kuhusu dhamana yenye itibari, na vile vile kujizuia na masuala ya kisiasa na kuibua tuhuma zisizo na msingi.
-
Iran yafanyia majaribio yaliyofana chanjo ya kukabiliana na Omicron
Feb 16, 2022 23:49Shirika la Kutengeneza Dawa la Shifa la Iran limetangaza mafanikio makubwa ya awali katika majaribio ya chanjo ya kukabiliana na COVID-19 aina ya Omicron.
-
Iran: Tuko tayari kushiriki katika operesheni za kulinda amani za Umoja wa Mataifa
Feb 16, 2022 03:42Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kushiriki katika operesheni za kulinda amani za umoja huo katika maeneo mbalimbali duniani.
-
Shamkhani: Mienendo hasi ya US ndilo tishio kuu kwa mapatano yoyote yale
Feb 15, 2022 23:17Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema siri ya kufikiwa mapatano mazuri kwenye mazungumzo ya kuiondolea vikwazo haramu Jamhuri ya Kiislamu ni Tehran kupewa dhamana ya kisheria ambayo itaifanya Marekani isiweze kujitoa kwa mara nyingine tena ndani ya mapatano ya JCPOA.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran nchini Pakistan; majirani wawili wenye maslahi na daghadagha ya pamoja
Feb 15, 2022 08:58Jumatatu ya jana tarehe 14 Februari, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alifanya safari ya nchini Pakistan.
-
Mazungumzo ya Vienna; ajenda kuu ya maungumzo ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza
Feb 15, 2022 04:42Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uingereza wamejadili misimamo ya nchi mbili katika mazungumzo yanayoendelea sasa huko Vienna nchini Austria kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Ujumbe wa Hania kwa Kiongozi Muadhamu: Tunajivunia misimamo yako adhimu
Feb 14, 2022 23:33Kiongozi wa Harakati wa Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amemtumia salamu na ujumbe maalumu Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu na kumshukuru kwa misimamo yake ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Palestina.
-
Mazungumzo ya Vienna; anga nzuri ndani ya kivuli cha ubunifu wa Iran
Feb 13, 2022 23:41Awamu ya nane ya mazungumzo ya Vienna baina ya Iran na kundi la 4+1 inaendelea katika Hoteli ya Palais Coburg nchini Austria huku kukiwa na dalili nzuri za kufanyika mazungumzo katika mazingira yenye kuleta matumaini. Mazungumzo hayo yanaendelea baada ya kusimama kidogo kwa ajili ya kutoa fursa kwa timu za mazungumzo kurejea katika nchi zao kwa mashauriano.
-
Kikao cha pande mbili cha timu za mazungumzo za Iran na Russia chafanyika Vienna
Feb 13, 2022 08:40Kikao cha pande mbili cha timu za mazungumzo za Iran na Russia kimefanyika mjini Vienna Austria kwa kuhudhuriwa pia na wakuu wa timu za mazungumzo wa Iran na Russia.
-
Iran ina uwezo wa kukidhi mahitaji ya zana za kijeshi ya nchi za eneo
Feb 13, 2022 04:46Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kukidhi mahitaji ya zana za kijeshi na kiulinzi ya nchi za eneo kutokana na uwezo wake mkubwa katika viwanda vya kijeshi.