Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ebrahim Raisi: Iran bado imeshikamana na nara ya

    Ebrahim Raisi: Iran bado imeshikamana na nara ya "Si Mashariki si Magharibi"

    Feb 11, 2022 07:09

    Rais Ebrahim Raisi amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado imeshikamana na nara yake ya "Si Mashariki, si Magharibi" ya tangu mwaka 1979.

  • Iran: Kumalizika mazungumzo ya Vienna kunategemea kuondolewa vikwazo Tehran

    Iran: Kumalizika mazungumzo ya Vienna kunategemea kuondolewa vikwazo Tehran

    Feb 10, 2022 23:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema muda wa kumalizika mazungumzo ya Vienna ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA unategemea irada ya Wamagharibi ambao ni upande wa pili wa mazungumzo hayo, kuiondolewa vikwazo haramu Tehran.

  • Raisi: Kuendelezwa sera zilizofeli za Trump ndiyo sababu hasa ya kutopiga hatua mazungumzo ya Vienna

    Raisi: Kuendelezwa sera zilizofeli za Trump ndiyo sababu hasa ya kutopiga hatua mazungumzo ya Vienna

    Feb 10, 2022 00:07

    Rais Ebrahim Raisi amesema, kuendelezwa sera zilizofeli za serikali iliyopita ya Marekani ndicho kizuizi kikuu kinachokwamisha kupiga hatua za kuridhisha mazungumzo ya Vienna.

  • Iran yazindua kombora jipya la masafa ya mbali, lenye shabaha kali la Khaibar Shekan

    Iran yazindua kombora jipya la masafa ya mbali, lenye shabaha kali la Khaibar Shekan

    Feb 09, 2022 10:06

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limezindua kombora jipya la masafa ya mbali na lenye shabaha kali la Khaibar Shekan.

  • Raisi: Makubaliano yatafikiwa iwapo Iran itaondolewa vikwazo

    Raisi: Makubaliano yatafikiwa iwapo Iran itaondolewa vikwazo

    Feb 08, 2022 04:36

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo Marekani italiondolea vikwazo haramu taifa la Iran, basi mazingira yatakuwa yameandaliwa kwa ajili ya kufikia makubaliano katika mazungumzo yanayonuia kufufua makubaliano ya JCPOA huko Vienna.

  • Iran: Uamuzi wa AU kuisimamishia Israel uanachama ni wa hekima, sahihi

    Iran: Uamuzi wa AU kuisimamishia Israel uanachama ni wa hekima, sahihi

    Feb 08, 2022 04:27

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza uamuzi wa Umoja wa Afrika wa kusimamisha hadhi ya uanachama mtazamaji ya utawala wa Kizayuni Israel katika jumuiya hiyo ya kibara.

  • Mazungumzo ya Vienna; Iran inafuatilia mapatano ya aina gani

    Mazungumzo ya Vienna; Iran inafuatilia mapatano ya aina gani

    Feb 07, 2022 14:04

    Hossein Amir-Abdollahian Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amefanya mazungumzo ya simu na Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Joseph Borell, ambapo ametoa tathmini kuhusu hali ya hivi sasa ya mazungumzo ya Vienna na kusema, "Tehran imedhamiria kufikia makubaliano, lakini maslahi ya kitaifa ya Iran lazima yadhaminiwe."

  • Iran: Madola ya Ulaya yanapaswa kuvuka mstari wa Marekani wa kutotekeleza ahadi

    Iran: Madola ya Ulaya yanapaswa kuvuka mstari wa Marekani wa kutotekeleza ahadi

    Feb 07, 2022 09:22

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madola ya Ulaya yanapaswa kuvuka mstari wa Marekani wa kutotekeleza ahadi na kueleza kwamba, Tehran inasubiri kuona mabadiliko kivitendo katika mwenenendo wa Washington.

  • Denmark yawapata na hatia magaidi wafanya ujajusi wa Saudia

    Denmark yawapata na hatia magaidi wafanya ujajusi wa Saudia

    Feb 05, 2022 01:10

    Mahakama moja nchini Denmark imewapata na hatia ya kufanya ujasusi kwa niaba ya Saudi Arabia wanachama wa kundi la kigaidi la Ahvaziyyah, na kuunga mkono harakati za ugaidi nchini Iran.

  • Kukiri kutokuwa na taathira wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran

    Kukiri kutokuwa na taathira wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran

    Feb 04, 2022 05:50

    Chris Murphy Seneta wa chama cha Democrat nchini Marekani amekiri kuwa vikwazo vya mashinikizo eti ya kiwango cha juu ya Marekani dhidi ya Iran havijawa na matunda wala athari yoyote kwa manufaa ya Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS