Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais wa Iran amemteua Eslami kuwa Mkuu mpya wa AEOI

    Rais wa Iran amemteua Eslami kuwa Mkuu mpya wa AEOI

    Aug 29, 2021 22:00

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemteua Mohammad Eslami kuwa Mkuu mpya wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI).

  • Safari ya Shah Mahmood Qureshi mjini Tehran; Afghanistan ajenga kuu ya mazungumzo ya Iran na Pakistan

    Safari ya Shah Mahmood Qureshi mjini Tehran; Afghanistan ajenga kuu ya mazungumzo ya Iran na Pakistan

    Aug 27, 2021 08:50

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na Rais Ibrahim Raeisi na kujadili pamoja na kubadilishana mawazo kuhusiana na uhusiano wa pande mbili huku matukio ya hivi karibuni nchini Afghanistan yakitawala katika mazungumzo yao.

  • Iran yalaani mashambulio ya Kabul, ISIS yatangaza kuhusika nayo

    Iran yalaani mashambulio ya Kabul, ISIS yatangaza kuhusika nayo

    Aug 27, 2021 03:39

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali mashambulio ya kigaidi yaliyotokea nje ya uwanja wa ndege wa Kabul nchini Afghanistan jana Alkhamisi.

  • Iran: Ugaidi ni matokeo ya uingiliaji wa kijeshi na njama za kisiasa

    Iran: Ugaidi ni matokeo ya uingiliaji wa kijeshi na njama za kisiasa

    Aug 25, 2021 08:30

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ni muhanga mkubwa wa aina zote za ugaidi tangu kuasisiwa kwake na kwa msingi huo, inawaunga mkono manusura wote wa vitendo vya kigaidi.

  • Harakati ya Jihadul-Islami: Iran ni dola kubwa katika ukanda wa Asia Magharibi

    Harakati ya Jihadul-Islami: Iran ni dola kubwa katika ukanda wa Asia Magharibi

    Aug 24, 2021 09:13

    Mkuu wa kitengo cha kisiasa cha Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni dola kubwa la kikanda linaloendea kuwa na nguvu zaidi.

  • Iran yataka kupelekwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria

    Iran yataka kupelekwa misaada zaidi ya kibinadamu nchini Syria

    Aug 24, 2021 03:10

    Msaidizi Mwandamizi wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika Masuala Maalumu ya Kisiasa ametoa mwito wa kupelekwa nchini Syria misaada zaidi ya kibinadamu.

  • Radiamali kwa hatua ya Iran ya kutuma mafuta Lebanon

    Radiamali kwa hatua ya Iran ya kutuma mafuta Lebanon

    Aug 22, 2021 00:43

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma meli za mafuta huko Lebanon kufuatia kupamba moto mgogoro wa nishati nchini humo.

  • Walebanon wakaribisha hatua ya Hizbullah ya kuagiza mafuta kutoka Iran

    Walebanon wakaribisha hatua ya Hizbullah ya kuagiza mafuta kutoka Iran

    Aug 19, 2021 19:36

    Hotuba ya Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon kuhusu safari ya meli za mafuta kutoka Iran zinazoelekea nchini humo imekaribishwa kwa shangwe na wanasiasa na sehemu kubwa ya wananchi wa Lebanon hususan katika mitandao ya kijamii.

  • Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa

    Iran, China na Russia zina maslahi na dukuduku zinazofanana kuhusu masuala ya kimataifa

    Aug 19, 2021 04:31

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na wenzake wa Russia na China akisisitiza kuwa suala la kustawishwa na kuimarishwa uhusiano baina ya Tehran na nchi hizo mbili ni miongoni mwa vipaumbele vya serikali mpya ya Iran.

  • Shamkhani aionya Israel; Hatima ya uvamizi ni kutimuliwa

    Shamkhani aionya Israel; Hatima ya uvamizi ni kutimuliwa

    Aug 18, 2021 08:53

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuuambia kuwa, sera yake ya uvamizi na ukaliaji ardhi za Wapalestina kwa mabavu itapatwa na hatima ya kufedhehesha kama iliyoipata Marekani huko Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS