• Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Kuunga mkono kundi la 4+1 kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran

    Nov 30, 2021 23:10

    Sambamba na kuanza duru ya saba ya mazungumzo ya nyuklia ya Iran na kundi la 4+1 huko Vienna Austria, kumeongezeka himaya na uungaji kwa takwa la haki na la kisheria la Iran la kuondolewa vikwazo vya upande mmoja ilivyowekewa kidhalimu na Marekani.

  • Mazungumzo ya Vienna, changamoto na matarajio

    Mazungumzo ya Vienna, changamoto na matarajio

    Nov 29, 2021 08:32

    Leo Novemba 29 mji mkuu wa Austria, Vienna ni mwenyeji wa mazungumzo baina ya Iran na nchi za kundi la 4+1 kuhusu kuondolewea vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran. Nchi za 4+1 ni China Russia, Ufaransa, Uingereza, Ujerumani pamoja na mwakilishi wa Umoja wa Ulaya

  • Iran na Mali zatia saini mapatano ya ushirikiano katika madini

    Iran na Mali zatia saini mapatano ya ushirikiano katika madini

    Nov 28, 2021 23:49

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mali zimetiliana saini mapatano ya ushirikiano katika sekta ya uchimbaji madini. Mapatano hayo ni kati ya Shirika la Uhandisi wa Madini la Iran na Idara ya Uchimbaji Madini Mali.

  • Iran haitaki makubaliano ya muda, yataka vikwazo viondolewe kwa mkupuo

    Iran haitaki makubaliano ya muda, yataka vikwazo viondolewe kwa mkupuo

    Nov 27, 2021 01:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, vikwazo vyote haramu vya Marekani dhidi ya taifa la Iran vinapaswa kuondolewa kwa mkupuo, na kwamba Tehran katu haitakubali 'makubaliano ya muda' kwenye mazungumzo ya Vienna ya kujadili makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, yanayoanza ndani ya siku chache zijazo.

  • Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo

    Iran: Marekani haina chaguo jingine isipokuwa kukubali uhalisia wa mambo

    Nov 23, 2021 04:03

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye anaongoza timu ya mazungumzo ya Jamhuri ya Kiislamu na kundi la 4+1 yatakayoanza Novemba 29 huko Vienna amesema kuwa, Marekani sharti ikubali hali halisi ya mambo kwa kufungamana na ahadi ilizotoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran yataja sababu ya kuenea uhalifu na ugaidi kote duniani

    Iran yataja sababu ya kuenea uhalifu na ugaidi kote duniani

    Nov 23, 2021 00:00

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema sababu kuu ya kuenea uhalifu na ugaidi katika maeneo mbalimbali ya dunia ni magendo na biashara haramu ya silaha nyepesi na ndogo.

  • Iran yasikitishwa na hali mbaya ya wakimbizi wa Afghanistan

    Iran yasikitishwa na hali mbaya ya wakimbizi wa Afghanistan

    Nov 22, 2021 08:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza wasi wasi wake kuhusu hali mbaya inayowakabili wakimbizi wa Afghanistan.

  • Jeshi la Majini la Iran limetoa vipigo 6 ndani ya miezi 18 dhidi ya Marekani

    Jeshi la Majini la Iran limetoa vipigo 6 ndani ya miezi 18 dhidi ya Marekani

    Nov 21, 2021 08:04

    Kamanda wa Kikosi cha Majini cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo la Iran limetoa pigo mara sita dhidi ya Wamarekani katika Ghuba ya Uajemi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.

  • Haniya: Iran ni nguzo muhimu ya kambi ya muqawama

    Haniya: Iran ni nguzo muhimu ya kambi ya muqawama

    Nov 21, 2021 08:01

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameipongeza Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuitaja kama nguzo kuu na muhimu ya mrengo wa muqawama wa Wapalestina.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi

    Nov 20, 2021 10:13

    Wizara ya Fedha ya Marekani juzi Alhamisi ilitangaza kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya shakhsia sita na shirika moja la Iran kwa kisingizio cha kuingilia uchaguzi wa rais wa Marekani. Ofisi inayosimamia fedha ya taasisi hiyo ya Marekani imesema kuwa imeyaweka katika orodha yake ya vikwazo majina ya watu sita na taasisi moja ya Iran kwa kile ilichokitaja kuwa kujaribu kuathiri uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2020.