-
Rais Raisi: Iran inafanya jithada ili kurejesha utulivu Afghanistan
Aug 16, 2021 07:28Rais Ebrahim Raisi amesema, Iran itafanya jitihada kurejesha utulivu na uthabiti nchini Afghanistan ambalo ndilo hitajio la kwanza la nchi hiyo kwa sasa.
-
Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa taifa la Afghanistan
Aug 16, 2021 03:17Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, vivyo hivyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Afghanistan na matakwa yao.
-
Zarif: Iran itaendeleza jitihada za kusaidia kupatikana amani Afghanistan
Aug 15, 2021 23:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza jitihada za kuhakikisha kuwa amani na maridhiano yanapatikana nchini Afghanistan.
-
Kamanda Salami: Mipaka ya Iran ina usalama na ulinzi wa kutosha
Aug 13, 2021 08:39Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amelithibitishia taifa la Iran kuwa mipaka ya mashariki ya nchi hii ipo salama.
-
Balozi wa Uingereza Tehran aiomba radhi serikali na wananchi wa Iran
Aug 12, 2021 21:55Balozi wa Uingereza mjini Tehran ametoa maelezo kuhusu picha iliyosambazwa mitandaoni akiwa pamoja na balozi wa Russia na akaiomba radhi serikali na wananchi wa Iran.
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni
Aug 12, 2021 03:41Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake baada ya moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Algeria, kuua makumi ya watu na kuwaacha wengine wengi bila makazi.
-
Jumatano tarehe 11 Agosti mwaka 2021
Aug 10, 2021 23:14Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Nne Muharram 1443 Hijria sawa na Agosti 11 mwaka 2021.
-
Rais Raisi: Tunakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kwa maslahi ya pamoja
Aug 09, 2021 22:04Rais Ebrahim Rais amesema, serikali mpya ya Iran inakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kuzingatia maslahi ya pamoja.
-
Spika wa Bunge la Iran: Uungaji mkono kwa Palestina utaendelea hadi kukombolewa Quds
Aug 09, 2021 07:36Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, taifa hili litaendelea kuunga mkono mapambano ya taifa la Palestina na mhimili wa muqawama hadi Quds tukufu itakapombolewa.
-
Ismail Haniya: Iran ndiyo roho ya kambi ya muqawama
Aug 09, 2021 03:11Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo roho na moyo wa mrengo wa muqawama wa Kiislamu.