Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Sahihi ya rais wa Marekani si ya kutegemewa

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Sahihi ya rais wa Marekani si ya kutegemewa

    Nov 19, 2021 11:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema, sharti la kukubaliwa Marekani kurudi kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni kuondoa Washington kwa namna athirifu, itakayoweza kuthibitika na kwa wakati mmoja vikwazo vyote ilivyoiwekea Iran na kwamba sahihi ya rais wa Marekani haiwezi kutegemewa.

  • "Vikwazo vipya dhidi ya Iran ni muendelezo wa sera zilizofeli za Trump"

    Nov 19, 2021 04:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu si kitu kingine ghairi ya muendelezo wa sera zilizogonga ukuta za Donald Trump.

  • Lengo la Tehran kushiriki vikao vya Vienna ni kutaka kuondolewa Iran vikwazo vyote haramu

    Lengo la Tehran kushiriki vikao vya Vienna ni kutaka kuondolewa Iran vikwazo vyote haramu

    Nov 18, 2021 23:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la Tehran kushiriki mazungumzo ya Vienna kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA yanayotazamiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu ni kuhakikisha kuwa taifa la Iran linaondolewa vikwazo vyote haramu.

  • Iran: IAEA iache pupa inapozungumzia masuala ya nyuklia

    Iran: IAEA iache pupa inapozungumzia masuala ya nyuklia

    Nov 17, 2021 23:27

    Kaimu Mwakilishi wa Iran katika taasisi za kimataifa zenye makao yao huko Vienna, Austria ameziasa nchi wanachama wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) zijiepushe kutoa taarifa kwa haraka bila mazingatio juu ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Iran: Tuko tayari kushirikiana na nchi za magharibi mwa Afrika kupambana na ugaidi

    Iran: Tuko tayari kushirikiana na nchi za magharibi mwa Afrika kupambana na ugaidi

    Nov 16, 2021 08:13

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu y Iran ameelezea kusikitishwa kwake na kupoteza maisha na kujeruhiuwa idadi kubwa ya raia wa Burkina Faso katika shambulio la hivi karibuni la kigaidi na kusisitiza kuwa, Tehran iko tayari kushirikiana na nchi za magharibi mwa Afrika katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Mjumbe Maalumu wa Iran: Marekani inaunga mkono ISIS

    Mjumbe Maalumu wa Iran: Marekani inaunga mkono ISIS

    Nov 15, 2021 08:21

    Mjumbe Maalum wa Rais wa Iran katika masuala ya Afghanistan amesema Marekani ilipata pigo na kushindwa vibaya huko Afghanistan, na sasa inajaribu kuliunga mkono kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Tahadhari ya Tsunami Ghuba ya Uajemi baada ya mtetemeko wa ardhi kusini mwa Iran

    Tahadhari ya Tsunami Ghuba ya Uajemi baada ya mtetemeko wa ardhi kusini mwa Iran

    Nov 14, 2021 11:51

    Tahadhari ya kutokea mawimbi makali ya Tsunami imetolewa leo baada ya mtetemeko wa ardhi uliotokea katika mkoa wa Hormozgan kusini mwa Iran ukiwa na ukubwa wa 6.4 kwa kipimo cha Rishta.

  • Iran: Tuna nia njema tunapoingia kwenye mazungumzo ya Vienna

    Iran: Tuna nia njema tunapoingia kwenye mazungumzo ya Vienna

    Nov 14, 2021 04:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii ina azma na nia njema inapojiandaa kuingia katika duru mpya ya mazungumzo ya Vienna kuhusu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Madai ya Biden kuhusu uuzaji wa mafuta ya Iran, mtazamo wa kihasama na usio wa kweli

    Madai ya Biden kuhusu uuzaji wa mafuta ya Iran, mtazamo wa kihasama na usio wa kweli

    Nov 13, 2021 23:15

    Rais Joe Biden wa Narekani Ijumaa iliyopita aliiandikia Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya nchi hiyo akidai kuwa, mafuta na bidhaa zinazotokana na mafuta zimejaa masokoni kiasi kwamba nchi mbalimbali zinaweza kupunguza ununuzi wa mafuta kutoka Iran.

  • Iran yaipongeza Algeria kwa kupinga Israel kuwa mwanachama mwangalizi Umoja wa Afrika

    Iran yaipongeza Algeria kwa kupinga Israel kuwa mwanachama mwangalizi Umoja wa Afrika

    Nov 12, 2021 07:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza hatua ya hivi karibuni ya Algeria kupinga utawala haramu wa Israel kupewa hadhi ya mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS