Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Rais Raisi: Iran inafanya jithada ili kurejesha utulivu Afghanistan

    Rais Raisi: Iran inafanya jithada ili kurejesha utulivu Afghanistan

    Aug 16, 2021 07:28

    Rais Ebrahim Raisi amesema, Iran itafanya jitihada kurejesha utulivu na uthabiti nchini Afghanistan ambalo ndilo hitajio la kwanza la nchi hiyo kwa sasa.

  • Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa taifa la Afghanistan

    Iran yatangaza uungaji mkono wake kwa taifa la Afghanistan

    Aug 16, 2021 03:17

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu kama ilivyofanya katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, vivyo hivyo itaendelea kuwaunga mkono wananchi wa Afghanistan na matakwa yao.

  • Zarif: Iran itaendeleza jitihada za kusaidia kupatikana amani Afghanistan

    Zarif: Iran itaendeleza jitihada za kusaidia kupatikana amani Afghanistan

    Aug 15, 2021 23:05

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itaendeleza jitihada za kuhakikisha kuwa amani na maridhiano yanapatikana nchini Afghanistan.

  • Kamanda Salami: Mipaka ya Iran ina usalama na ulinzi wa kutosha

    Kamanda Salami: Mipaka ya Iran ina usalama na ulinzi wa kutosha

    Aug 13, 2021 08:39

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amelithibitishia taifa la Iran kuwa mipaka ya mashariki ya nchi hii ipo salama.

  • Balozi wa Uingereza Tehran aiomba radhi serikali na wananchi wa Iran

    Balozi wa Uingereza Tehran aiomba radhi serikali na wananchi wa Iran

    Aug 12, 2021 21:55

    Balozi wa Uingereza mjini Tehran ametoa maelezo kuhusu picha iliyosambazwa mitandaoni akiwa pamoja na balozi wa Russia na akaiomba radhi serikali na wananchi wa Iran.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni

    Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Algeria kufuatia makumi kuuawa na moto misituni

    Aug 12, 2021 03:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake baada ya moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Algeria, kuua makumi ya watu na kuwaacha wengine wengi bila makazi.

  • Jumatano tarehe 11 Agosti mwaka 2021

    Jumatano tarehe 11 Agosti mwaka 2021

    Aug 10, 2021 23:14

    Leo ni Jumatano tarehe Pili Mfunguo Nne Muharram 1443 Hijria sawa na Agosti 11 mwaka 2021.

  • Rais Raisi: Tunakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kwa maslahi ya pamoja

    Rais Raisi: Tunakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kwa maslahi ya pamoja

    Aug 09, 2021 22:04

    Rais Ebrahim Rais amesema, serikali mpya ya Iran inakaribisha kustawisha uhusiano na Ufaransa kwa msingi wa kuheshimiana na kuzingatia maslahi ya pamoja.

  • Spika wa Bunge la Iran: Uungaji mkono kwa Palestina utaendelea hadi kukombolewa Quds

    Spika wa Bunge la Iran: Uungaji mkono kwa Palestina utaendelea hadi kukombolewa Quds

    Aug 09, 2021 07:36

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, taifa hili litaendelea kuunga mkono mapambano ya taifa la Palestina na mhimili wa muqawama hadi Quds tukufu itakapombolewa.

  • Ismail Haniya: Iran ndiyo roho ya kambi ya muqawama

    Ismail Haniya: Iran ndiyo roho ya kambi ya muqawama

    Aug 09, 2021 03:11

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo roho na moyo wa mrengo wa muqawama wa Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS