Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Zarif: Jamii ya kimataifa ichukue msimamo wa wazi kuhusu ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Afghanistan

    Zarif: Jamii ya kimataifa ichukue msimamo wa wazi kuhusu ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Afghanistan

    Aug 08, 2021 21:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa jamii ya kimataifa inapasa kuchukua msimamo wa wazi wa kuunga mkono utatuzi wa kisiasa wa mgogoro huko Afghanistan na kulaani machafuko na athari zake mbaya.

  • Jenerali Salami: Vita vijavyo vitaashiria mwisho wa uhai wa Israel

    Jenerali Salami: Vita vijavyo vitaashiria mwisho wa uhai wa Israel

    Aug 08, 2021 03:29

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameukumbusha utawala wa Kizayuni juu ya uwezo mkubwa wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika mapambano na vita vya nchi kavu na kuonya kuwa, hatua yoyote ghalati itakayopelekea kuibuka vita vipya, haitakuwa na matokeo mengine isipokuwa kufutwa Israel katika uso wa dunia.

  • Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu

    Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu

    Aug 08, 2021 03:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashambulizi ya mabomu ya atomiki yaliyofanywa na Kikosi cha Anga cha Jeshi la Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japan katika Vita Vya Pili Vya Dunia ndiyo jinai kubwa zaidi dhidi ya binadamu iliyowahi kuhuhudiwa katika uso wa dunia.

  • Qalibaf: Vita vya 'Upanga wa Quds' viliwapa izza Waislamu

    Qalibaf: Vita vya 'Upanga wa Quds' viliwapa izza Waislamu

    Aug 06, 2021 20:37

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema vita vya siku 12 vya 'Upanga wa Quds' huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu viliwapa izza na kuwapandisha hadhi Waislamu kote duniani.

  • Raisi: Kuna fursa nzuri za kuimarisha uhusiano wa Iran na Tanzania, Zanzibar

    Raisi: Kuna fursa nzuri za kuimarisha uhusiano wa Iran na Tanzania, Zanzibar

    Aug 06, 2021 10:28

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna fursa nyingi na nzuri za kuboresha na kustawisha kiwango cha uhusiano baina ya Iran kwa upande mmoja na Tanzania na Zanzibar kwa upande mwingine.

  • Sera za kigeni za serikali ya Raeisi; ushirikiano erevu na ulimwengu, mtazamo maalumu kwa majirani

    Sera za kigeni za serikali ya Raeisi; ushirikiano erevu na ulimwengu, mtazamo maalumu kwa majirani

    Aug 06, 2021 05:20

    Rais wa nane wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha katika hotuba yake ya kwanza mara baada ya kuapishwa kuhusiana na utendaji wa serikali mpya ya Iran kuhusiana na sera za kigeni kwa ajili ya kudhamini maslahi ya kitaifa katika uga wa kieneo na kimataifa.

  • Ijumaa tarehe 6 Agosti mwaka 2021

    Ijumaa tarehe 6 Agosti mwaka 2021

    Aug 05, 2021 21:55

    Leo ni Ijumaa tarehe 26 Dhulhija 1442 Hijria inayosadifiana na Agosti 6 mwaka 2021.

  • Raeisi ataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za Afrika

    Raeisi ataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za Afrika

    Aug 05, 2021 08:05

    Rais wa Iran amesema kiwango cha uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Ghana hakiridhishi na kwamba kuna haja ya kuimarishwa zaidi mahusiano hayo.

  • Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana

    Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana

    Aug 05, 2021 02:37

    Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amepinga tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Magharibi dhidi ya Iran kuhusu shambulizi lililolenga meli ya Mercer Street na kusema, taarifa hizo zinakinzana na zimetegemea dhana na tetetsi.

  • Ulimwengu wa Michezo, Agosti 2

    Ulimwengu wa Michezo, Agosti 2

    Aug 02, 2021 01:24

    Hujambo ashiki na mfuatiliaji wa masuala ya spoti natumai huna neno. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa na muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS