-
Zarif: Jamii ya kimataifa ichukue msimamo wa wazi kuhusu ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro wa Afghanistan
Aug 08, 2021 21:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa jamii ya kimataifa inapasa kuchukua msimamo wa wazi wa kuunga mkono utatuzi wa kisiasa wa mgogoro huko Afghanistan na kulaani machafuko na athari zake mbaya.
-
Jenerali Salami: Vita vijavyo vitaashiria mwisho wa uhai wa Israel
Aug 08, 2021 03:29Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameukumbusha utawala wa Kizayuni juu ya uwezo mkubwa wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika mapambano na vita vya nchi kavu na kuonya kuwa, hatua yoyote ghalati itakayopelekea kuibuka vita vipya, haitakuwa na matokeo mengine isipokuwa kufutwa Israel katika uso wa dunia.
-
Iran: Mauaji ya Hiroshima ni kumbukumbu ya jinai za US dhidi ya binadamu
Aug 08, 2021 03:16Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mashambulizi ya mabomu ya atomiki yaliyofanywa na Kikosi cha Anga cha Jeshi la Marekani dhidi ya miji ya Hiroshima na Nagasaki nchini Japan katika Vita Vya Pili Vya Dunia ndiyo jinai kubwa zaidi dhidi ya binadamu iliyowahi kuhuhudiwa katika uso wa dunia.
-
Qalibaf: Vita vya 'Upanga wa Quds' viliwapa izza Waislamu
Aug 06, 2021 20:37Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema vita vya siku 12 vya 'Upanga wa Quds' huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu viliwapa izza na kuwapandisha hadhi Waislamu kote duniani.
-
Raisi: Kuna fursa nzuri za kuimarisha uhusiano wa Iran na Tanzania, Zanzibar
Aug 06, 2021 10:28Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna fursa nyingi na nzuri za kuboresha na kustawisha kiwango cha uhusiano baina ya Iran kwa upande mmoja na Tanzania na Zanzibar kwa upande mwingine.
-
Sera za kigeni za serikali ya Raeisi; ushirikiano erevu na ulimwengu, mtazamo maalumu kwa majirani
Aug 06, 2021 05:20Rais wa nane wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha katika hotuba yake ya kwanza mara baada ya kuapishwa kuhusiana na utendaji wa serikali mpya ya Iran kuhusiana na sera za kigeni kwa ajili ya kudhamini maslahi ya kitaifa katika uga wa kieneo na kimataifa.
-
Ijumaa tarehe 6 Agosti mwaka 2021
Aug 05, 2021 21:55Leo ni Ijumaa tarehe 26 Dhulhija 1442 Hijria inayosadifiana na Agosti 6 mwaka 2021.
-
Raeisi ataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na nchi za Afrika
Aug 05, 2021 08:05Rais wa Iran amesema kiwango cha uhusiano kati ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi za Afrika ikiwemo Ghana hakiridhishi na kwamba kuna haja ya kuimarishwa zaidi mahusiano hayo.
-
Moscow: Taarifa kuhusu shambulizi dhidi ya meli ya Mercer Street zinakinzana
Aug 05, 2021 02:37Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amepinga tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na utawala wa Kizayuni wa Israel na nchi za Magharibi dhidi ya Iran kuhusu shambulizi lililolenga meli ya Mercer Street na kusema, taarifa hizo zinakinzana na zimetegemea dhana na tetetsi.
-
Ulimwengu wa Michezo, Agosti 2
Aug 02, 2021 01:24Hujambo ashiki na mfuatiliaji wa masuala ya spoti natumai huna neno. Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio makubwa na muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita katika pembe mbalimbali za dunia.