-
Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki
Jul 30, 2021 22:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kufuatia moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Uturuki.
-
Safari ya Qalibaf mjini Damascus; ukurasa mpya wa uhusiano wa kiuchumi kati ya Iran na Syria
Jul 30, 2021 22:09Katika safari yake ya karibuni nchini Syria, Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ameonana na kuzungumza na rais, waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje na wafanyabiashara wa nchi hiyo.
-
Wamarekani wanaanza vita vya kinafsi dhidi ya rais mteule wa Iran
Jul 29, 2021 02:38Kundi moja la maseneta wa chama cha Republican nchini Marekani limemtumia barua Rais Joe Biden likimtaka azuie rais mteule wa Iran, Ayatullah Sayyid Ebrahim Raeisi na maafisa wengine wa Iran kuingia nchini humo kwa ajili ya kushiriki mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Mataifa.
-
Kiongozi Muadhamu: Wamagharibi hawana muamana, miradi ya Iran isifungamanishwe nao
Jul 28, 2021 06:51Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mipango na miradi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipaswi kufungamanishwa na ushirikiano na nchi za Magharibi, kwani imedhihirika wazi wakati wa kipindi cha serikali inayomaliza muda wake hapa nchini kwamba, kuwategemea Wamagharibi hakuna faida yoyote.
-
Iran yavunja mtandao wa magaidi wa MOSSAD
Jul 27, 2021 21:02Vikosi vya Wizara ya Intelijensia ya Iran vimefanikiwa kusambaratisha mtandao wa magaidi wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) magharibi mwa nchi.
-
Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia
Jul 27, 2021 20:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.
-
Ulimwengu wa Spoti, Julai 26
Jul 26, 2021 03:32Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyojiri viwanjani ndani ya siku zilizopita, ndani na nje ya Iran, hususan Michezo ya Olimpiki ya Tokyo, Japan.
-
Iran yasajili chanjo yake ya Corona COVIran Barekat katika WHO
Jul 24, 2021 20:52Mchakato wa kusajili chanjo ya kuzuia ugonjwa wa COVID-19 iliyoundwa hapa nchini Iran ya COVIran Barekat katika Shirika la Afya Duniani (WHO) umeanza.
-
Jumamosi, 24 Julai, 2021
Jul 24, 2021 00:09Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1442 Hijria mwafaka na tarehe 24 Julai 2021 Miladia.
-
Iran: Tumejitosheleza katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone)
Jul 22, 2021 22:34Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imefikia hatua ya kujitosheleza kikamilifu katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone).