Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki

    Iran yasikitishwa na moto mkubwa wa misituni ulioikumba Uturuki

    Jul 30, 2021 22:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza masikitiko yake kufuatia moto mkubwa unaoendelea kuteketeza misitu nchini Uturuki.

  • Safari ya Qalibaf mjini Damascus; ukurasa mpya wa uhusiano wa kiuchumi kati ya Iran na Syria

    Safari ya Qalibaf mjini Damascus; ukurasa mpya wa uhusiano wa kiuchumi kati ya Iran na Syria

    Jul 30, 2021 22:09

    Katika safari yake ya karibuni nchini Syria, Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran ameonana na kuzungumza na rais, waziri mkuu, waziri wa mambo ya nje na wafanyabiashara wa nchi hiyo.

  • Wamarekani wanaanza vita vya kinafsi dhidi ya rais mteule wa Iran

    Wamarekani wanaanza vita vya kinafsi dhidi ya rais mteule wa Iran

    Jul 29, 2021 02:38

    Kundi moja la maseneta wa chama cha Republican nchini Marekani limemtumia barua Rais Joe Biden likimtaka azuie rais mteule wa Iran, Ayatullah Sayyid Ebrahim Raeisi na maafisa wengine wa Iran kuingia nchini humo kwa ajili ya kushiriki mkutano wa kila mwaka wa Umoja wa Mataifa.

  • Kiongozi Muadhamu: Wamagharibi hawana muamana, miradi ya Iran isifungamanishwe nao

    Kiongozi Muadhamu: Wamagharibi hawana muamana, miradi ya Iran isifungamanishwe nao

    Jul 28, 2021 06:51

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mipango na miradi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipaswi kufungamanishwa na ushirikiano na nchi za Magharibi, kwani imedhihirika wazi wakati wa kipindi cha serikali inayomaliza muda wake hapa nchini kwamba, kuwategemea Wamagharibi hakuna faida yoyote.

  • Iran yavunja mtandao wa magaidi wa MOSSAD

    Iran yavunja mtandao wa magaidi wa MOSSAD

    Jul 27, 2021 21:02

    Vikosi vya Wizara ya Intelijensia ya Iran vimefanikiwa kusambaratisha mtandao wa magaidi wa Shirika la Kijasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) magharibi mwa nchi.

  • Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Iran: Tunafuatilia kwa karibu matukio yanayojiri Tunisia

    Jul 27, 2021 20:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafuatilia kwa karibu matukio ya kisiasa yanayoendelea kushuhudiwa hivi sasa nchini Tunisia.

  • Ulimwengu wa Spoti, Julai 26

    Ulimwengu wa Spoti, Julai 26

    Jul 26, 2021 03:32

    Karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyojiri viwanjani ndani ya siku zilizopita, ndani na nje ya Iran, hususan Michezo ya Olimpiki ya Tokyo, Japan.

  • Iran yasajili chanjo yake ya Corona COVIran Barekat katika WHO

    Iran yasajili chanjo yake ya Corona COVIran Barekat katika WHO

    Jul 24, 2021 20:52

    Mchakato wa kusajili chanjo ya kuzuia ugonjwa wa COVID-19 iliyoundwa hapa nchini Iran ya COVIran Barekat katika Shirika la Afya Duniani (WHO) umeanza.

  • Jumamosi, 24 Julai, 2021

    Jumamosi, 24 Julai, 2021

    Jul 24, 2021 00:09

    Leo ni Jumamosi tarehe 13 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1442 Hijria mwafaka na tarehe 24 Julai 2021 Miladia.

  • Iran: Tumejitosheleza katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone)

    Iran: Tumejitosheleza katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone)

    Jul 22, 2021 22:34

    Naibu Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii imefikia hatua ya kujitosheleza kikamilifu katika uzalishaji wa ndege zisizo na rubani (drone).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS