Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumatano, 06 Januari, 2021

    Jumatano, 06 Januari, 2021

    Jan 05, 2021 23:15

    Leo ni Jumatano tarehe 22 Jamadil Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe 6 Januari 2021.

  • Jumanne tarehe 5 Januari 2021

    Jumanne tarehe 5 Januari 2021

    Jan 04, 2021 23:15

    Leo ni Jumanne tarehe 21 Jamadil Awwal 1442 Hijria sawa na Januri 5 mwaka 2021.

  • SAUTI: Warsha ya kumbukumbu ya mauaji ya kigaidi ya Shahidi Suleimani yafanyika Tanzania

    SAUTI: Warsha ya kumbukumbu ya mauaji ya kigaidi ya Shahidi Suleimani yafanyika Tanzania

    Jan 04, 2021 13:33

    Kitendo cha Wamerekani kumuua Hajj Qasim Suleiman ni cha kigaidi, ijapokuwa kilifanywa na wanajeshi halali wa Marekani kwa amri ya rais wa nchi hiyo anayeondoka Donald Trump.

  • Iran: Tunafuatilia kwa karibu nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Iran: Tunafuatilia kwa karibu nyendo za Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Jan 04, 2021 12:18

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Tehran inafuatilia kwa jicho la karibu nyendo na harakati za kutilia shaka za Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi.

  • Iran yaanza kurutubisha urani kwa asilimia 20 katika kituo cha Fordow

    Iran yaanza kurutubisha urani kwa asilimia 20 katika kituo cha Fordow

    Jan 04, 2021 12:16

    Msemaji wa serikali ya Iran ametangaza rasmi habari ya kuanza kurutubishwa tena madini ya urani kwa kiwango cha asilimia 20 katika kituo cha nyuklia cha Fordow, kilichoko kaskazini mashariki mwa mji wa Qum kusini mwa mji mkuu wa nchi hii, Tehran.

  • Kupinga Marekani kupasishwa bajeti ya Umoja wa Mataifa

    Kupinga Marekani kupasishwa bajeti ya Umoja wa Mataifa

    Jan 03, 2021 23:59

    Katika kipindi cha uongozi wake, Rais Donald Trump wa Marekani ameukosoa mara chungu nzima Umoja wa Mataifa pamoja na utendaji wake na hata kutishia kupunguza msaada wa nchi yake kwa asasi hiyo ya kimataifa.

  • Brigedia Jenerali Hatami: Iran italipiza kisasi cha kuuawa shahidi Jenerali Suleimani

    Brigedia Jenerali Hatami: Iran italipiza kisasi cha kuuawa shahidi Jenerali Suleimani

    Jan 03, 2021 04:40

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesisitiza kuwa, hakuna chembe ya shaka kuwa Jamhuri ya Kiislamu italipiza kisasi cha kuuawa kigaidi Shahidi Luteni Jenerali Qassem Suleimani, aliyekuwa Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).

  • Maduro katika ujumbe wake kwa mwaka mpya wa Miladia; tutaimarisha zaidi uhusiano na Iran

    Maduro katika ujumbe wake kwa mwaka mpya wa Miladia; tutaimarisha zaidi uhusiano na Iran

    Jan 03, 2021 03:06

    Katika kuanza mwaka mpya wa 2021 Miladia Rais wa Venezuela akiashiria suala la kuilinda ardhi ya nchi hiyo amesisitiza kuwa ataimarisha uhusiano na Iran, Russia, China, Cuba, Uturuki na India.

  • Onyo kali la Zarif kwa Trump: Uchezeaji moto wa namna yoyote ile utakabiliwa na jibu kali

    Onyo kali la Zarif kwa Trump: Uchezeaji moto wa namna yoyote ile utakabiliwa na jibu kali

    Jan 02, 2021 23:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa onyo kali kwa rais wa Marekani akisisitiza kuwa; uchezeaji moto wa namna yoyote ile utakabiliwa na jibu kali la Jamhuri ya Kiislamu.

  • Jenerali Baqeri: Kisasi kikali kwa wauaji wa Shahidi Suleimani muda wake hauishi

    Jenerali Baqeri: Kisasi kikali kwa wauaji wa Shahidi Suleimani muda wake hauishi

    Jan 01, 2021 00:47

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kisasi cha mauaji ya kigaidi ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC kitakuwa kikali na wala hakina muda wa kumalizika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS