-
Kundi la G77 na China zataka Iran iondolewe vikwazo mara moja
Nov 14, 2020 03:54Kundi la nchi 77 (G77) pamoja na China zimetaka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viondolewa haraka iwezekanavyo.
-
Iran yaishauri Saudia iache kujipendekeza kwa Israel
Nov 14, 2020 03:48Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa ameiasa Saudi Arabia ikomeshe mienendo yake ya kujipendekeza, kujidhalilisha na kujikomba kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Chanjo 5 za COVID-19 za Iran zinasubiri kupasishwa na WHO
Nov 13, 2020 23:04Msemaji wa Shirika la Chakula na Madawa la Iran ametangaza kuwa, chanjo 5 za corona zilizotengenezwa nchini Iran, hivi sasa zinasubiri kupasishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).
-
Watu 546,000 wamepona corona Iran hadi sasa
Nov 13, 2020 08:08Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Afya ya Iran Daktari Sima Sadat Lari ametangaza leo kuwa, hadi sasa watu 738,000 wameambukizwa corona au COVID-19 nchini na kuwa miognoni mwao 546,642 wamepona.
-
Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, muendelezo wa njama za aliyeshindwa
Nov 12, 2020 07:13Baada ya Donald Trump kuitoa Marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yajulikanayo kwa jina la JCPOA hapo mwezi Mei 2018, Washington iliiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu na hadi leo hii, kila siku inaweka vikwazo vipya.
-
Iran: Ripoti mpya ya IAEA inaonyesha wakala huo unaendelea na ukaguzi nchini
Nov 12, 2020 04:32Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna Austria amesema ripoti mpya iliyotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) inaonyesha kuwa taasisi hiyo ya kimataifa inaendelea kukagua na kufanyia uhakiki miradi ya nyuklia ya Iran bila vizingiti vyovyote.
-
Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani
Nov 11, 2020 04:23Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria matukio ya sasa ya uchaguzi wa rais nchini Marekani na kusema: "Hatuogopi iwapo Trump atabakia na wala hatutasisimuka iwapo Biden ataingia madarakani. Tunachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yetu."
-
Kamanda: Iran haitaruhusu anga yake iwe sehemu ya kufanyia majaribio
Nov 10, 2020 03:58Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Khatamul Anbia cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezionya pande hasimu katika mgogoro wa Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan dhidi ya kufanya kosa la kuhujumu anga ya nchi hii.
-
Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran
Nov 10, 2020 01:11Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani ametaka kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni
Nov 08, 2020 04:41Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema zama za Rais Donald Trump wa Marekani na vituko vyake pamoja na timu yake inayopenda vita zimefika ukingoni.