Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kundi la G77 na China zataka Iran iondolewe vikwazo mara moja

    Kundi la G77 na China zataka Iran iondolewe vikwazo mara moja

    Nov 14, 2020 03:54

    Kundi la nchi 77 (G77) pamoja na China zimetaka vikwazo vya kiuchumi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran viondolewa haraka iwezekanavyo.

  • Iran yaishauri Saudia iache kujipendekeza kwa Israel

    Iran yaishauri Saudia iache kujipendekeza kwa Israel

    Nov 14, 2020 03:48

    Msaidizi maalumu wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa ameiasa Saudi Arabia ikomeshe mienendo yake ya kujipendekeza, kujidhalilisha na kujikomba kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Chanjo 5 za COVID-19 za Iran zinasubiri kupasishwa na WHO

    Chanjo 5 za COVID-19 za Iran zinasubiri kupasishwa na WHO

    Nov 13, 2020 23:04

    Msemaji wa Shirika la Chakula na Madawa la Iran ametangaza kuwa, chanjo 5 za corona zilizotengenezwa nchini Iran, hivi sasa zinasubiri kupasishwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).

  • Watu 546,000 wamepona corona Iran hadi sasa

    Watu 546,000 wamepona corona Iran hadi sasa

    Nov 13, 2020 08:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Afya ya Iran Daktari Sima Sadat Lari ametangaza leo kuwa, hadi sasa watu 738,000 wameambukizwa corona au COVID-19 nchini na kuwa miognoni mwao 546,642 wamepona.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, muendelezo wa njama za aliyeshindwa

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran, muendelezo wa njama za aliyeshindwa

    Nov 12, 2020 07:13

    Baada ya Donald Trump kuitoa Marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yajulikanayo kwa jina la JCPOA hapo mwezi Mei 2018, Washington iliiwekea Iran vikwazo vya kiwango cha juu na hadi leo hii, kila siku inaweka vikwazo vipya.

  • Iran: Ripoti mpya ya IAEA inaonyesha wakala huo unaendelea na ukaguzi nchini

    Iran: Ripoti mpya ya IAEA inaonyesha wakala huo unaendelea na ukaguzi nchini

    Nov 12, 2020 04:32

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Taasisi za Kimataifa zenye makao yao mjini Vienna Austria amesema ripoti mpya iliyotolewa na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) inaonyesha kuwa taasisi hiyo ya kimataifa inaendelea kukagua na kufanyia uhakiki miradi ya nyuklia ya Iran bila vizingiti vyovyote.

  • Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani

    Iran: Hatuogopi Trump akibaki wala hatutasisimuka Biden akiingia madarakani

    Nov 11, 2020 04:23

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria matukio ya sasa ya uchaguzi wa rais nchini Marekani na kusema: "Hatuogopi iwapo Trump atabakia na wala hatutasisimuka iwapo Biden ataingia madarakani. Tunachukua maamuzi kwa mujibu wa maslahi yetu."

  • Kamanda: Iran haitaruhusu anga yake iwe sehemu ya kufanyia majaribio

    Kamanda: Iran haitaruhusu anga yake iwe sehemu ya kufanyia majaribio

    Nov 10, 2020 03:58

    Kamanda wa Kikosi cha Ulinzi wa Anga cha Khatamul Anbia cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezionya pande hasimu katika mgogoro wa Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan dhidi ya kufanya kosa la kuhujumu anga ya nchi hii.

  • Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Amir wa Qatar asisitiza kuimarishwa uhusiano na Iran

    Nov 10, 2020 01:11

    Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani ametaka kuimarishwa uhusiano wa nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni

    Makamu wa Rais wa Iran: Vituko vya Trump vimefika ukingoni

    Nov 08, 2020 04:41

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran amesema zama za Rais Donald Trump wa Marekani na vituko vyake pamoja na timu yake inayopenda vita zimefika ukingoni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS