Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Cuba wakutana Havana

    Nov 07, 2020 03:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye yuko nchini Cuba kwa ziara rasmi, amekutana na kufanya mazungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodriguez.

  • Iran yatuma zana za kivita  katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Iran yatuma zana za kivita katika mpaka wa magharibi mwa nchi

    Nov 06, 2020 07:09

    Jeshi la nchi kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetuma zana za kivita na wanajeshi katika ukanda wa mpaka wa Iran na Armenia na Jamhuri ya Azerbaijan.

  • Meja Jenerali Salami: Tutatoa majibu makali kwa vitisho vyovyote katika mipaka ya Iran

    Meja Jenerali Salami: Tutatoa majibu makali kwa vitisho vyovyote katika mipaka ya Iran

    Nov 05, 2020 23:19

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH amesema kuwa, Iran iko imara kukabiliana vilivyo na vitisho vyovyote katika mipaka yake.

  • "Serikali ijayo ya Marekani haina budi kusalimu amri mbele ya Iran"

    Nov 05, 2020 08:53

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema serikali ijayo ya Marekani haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kusalimu amri mkabala wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Onyo la Lavrov kuhusu uwepo wa mamluki 2000 wa kitakfiri huko Karabakh

    Nov 05, 2020 00:28

    Russia daima imekuwa ikitahadharisha kuhusu hatari ya uwepo wa makundi ya kigaidi yenye misimamo ya kupindukia mpaka katika nchi hiyo na nchi nyingine za Caucasia na Asia ya Kati na kusisitiza udharura wa kupambana na makundi hayo.

  • Iran yazindua mfumo mpya wa kuvurumisha makombora ya balestiki

    Iran yazindua mfumo mpya wa kuvurumisha makombora ya balestiki

    Nov 04, 2020 08:39

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC limezindua mfumo erevu na wa kiotomatiki wa kuvurumisha makombora kadhaa ya balestiki ya masafa marefu kwa wakati mmoja.

  • Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Nov 04, 2020 08:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halijalishwi wala kushughulishwa na ni nani atakayeibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika jana Jumanne.

  • Wahadhiri wa vyuo vikuu wa Iran walaani kuvunjiwa heshima Mtume (saw)

    Wahadhiri wa vyuo vikuu wa Iran walaani kuvunjiwa heshima Mtume (saw)

    Nov 04, 2020 03:35

    Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini Iran wametoa taarifa wakilaani vikali hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kumvujia heshima Mtume Muhammad (saw).

  • Jeshi la Iran lasema halitaruhusu adui atekeleze hujuma

    Jeshi la Iran lasema halitaruhusu adui atekeleze hujuma

    Nov 03, 2020 20:47

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa taarifa na kusema liko tayari kukabiliana na tishio lolote lile dhidi ya taifa la Iran na mfumo wa Kiislamu.

  • Jahangiri: Kipaumbele cha nchi za Kiislamu ni kutetea thamani za Mtume Muhammad SAW

    Jahangiri: Kipaumbele cha nchi za Kiislamu ni kutetea thamani za Mtume Muhammad SAW

    Nov 03, 2020 04:24

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kutetea thamani za Mtume Muhammad SAW kunapaswa kuwa kipaumbele cha kwanza katika nchi za Kiislamu duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS