-
Waislamu kote duniani wanaadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW na Imam Swadiq AS
Nov 02, 2020 23:42Waislamu leo wanaadhimisha maulidi na kumbukumbu ya kuzaliwa mbora wa viumbe Mtume Muhammad SAW pamoja na mjukuu wake Imam Ja'afar bin Muhammad al-Swadiq AS.
-
'Trump ni gaidi nambari moja duniani'
Oct 31, 2020 23:18Mshauri wa sera za kigeni wa Spika wa Bunge la Iran ameashiria mauaji ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ambaye aliuawa kigaidi kufuatia amri ya Rais Donald Trump wa Marekani na kusema, Trump ni gaidi nambari moja duniani.
-
Watu wengine 365 wafariki dunia kwa virusi vya corona nchini Iran
Oct 30, 2020 13:07Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, watu wengine zaidi elfu nane wameambukizwa virusi vya corona na wengine 365 wamefariki dunia katika muda wa saa 24 zilizopita.
-
Kufichuliwa hatua za upendeleo za Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani kwa maslahi ya kampeni za uchaguzi za Trump
Oct 30, 2020 09:09Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani John Ratcliffe amezungumzia tuhuma za Iran kuingilia uchaguzi wa mwaka huu wa Marekani ambazo sasa imebainika kuwa zimetolewa ili kuimarisha kampeni za uchaguzi za Donald Trump.
-
Iran kuvigeuza vikwazo vipya dhidi yake kuwa waraka usio na itibari
Oct 29, 2020 04:42Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili litavigeuza vikwazo vipya lilivyowekewa na Marekani kuwa waraka usio na itibari.
-
Maandamano ya kulaani misimamo ya Macron dhidi ya Uislamu yafanyika Iran na Iraq
Oct 29, 2020 03:23Maelfu ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Iraq wamefanya maandamano ya kulaani hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono vitendo vya kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad SAW na matukufu ya Kiislamu.
-
Ayatullah Larijani ataka Waislamu waungane kukabili chuki dhidi yao
Oct 28, 2020 04:22Mkuu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Iran amelaani vikali hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kuunga mkono kitendo cha kifidhuli cha jarida la Charlie Hebdo cha kuchapisha tena vibonzo vya kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW na kusisitiza kuwa, kuna udharura wa Waislamu kuwa na umoja na ushirikiano katika kukabiliana na chuki dhidi yao na Uislamu.
-
Iran: Njama mpya za Marekani na Israel dhidi yetu zitafeli
Oct 28, 2020 04:15Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema njama mpya za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kutaka kutoa pigo kwa Iran kupitia uanzishwaji wa uhusiano wa kawaida na Tel Aviv, zitagonga mwamba.
-
Hotuba ya Zarif kwa mnasaba wa miaka 75 ya kuasisiwa UN; kubainisha wasiwasi na matumaini
Oct 28, 2020 00:51Umoja wa Mataifa uliasisiwa miaka 75 iliyopita ukiwa na malengo mawili. Mosi kulinda na kuimarisha amani duniani.
-
Mkutano wa 34 wa kimataifa wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran
Oct 27, 2020 09:02Mkutano wa 34 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu unatazamiwa kuanza Alhamisi katika mji mkuu wa Iran, Tehran ambapo mada kuu itakuwa 'Ushirikiano wa Kiislamu Wakati wa Maafa na Majanga'.