Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kukiri Marekani kuishiwa na vikwazo vya kuipigisha magoti Iran

    Kukiri Marekani kuishiwa na vikwazo vya kuipigisha magoti Iran

    Oct 27, 2020 02:34

    Baada ya rais wa Marekani kutangaza kuitoa nchi yake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 na kuirejeshea Iran vikwazo vyote ilivyokuwa imeondolewa baada ya mapatano hayo, Donald Trump na serikali yake walidhani kwa njia hiyo wataweza kutimiza kiurahisi ndoto yao ya kupigisha magoti Tehran na kuilazimisha ikubali mapatano yanayotakiwa na Washington. Hata hivyo ndoto hiyo kamwe haikuaguka.

  • Shamkhani: Kauli za Macron dhidi ya Uislamu zinaonyesha ni mwanagenzi wa siasa

    Shamkhani: Kauli za Macron dhidi ya Uislamu zinaonyesha ni mwanagenzi wa siasa

    Oct 26, 2020 08:06

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu yanayotolewa na Rais Emmanuel Macron yamedhihirisha uanagenzi wa kisiasa alionao kiongozi huyo wa Ufaransa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Okt 26

    Ulimwengu wa Spoti, Okt 26

    Oct 26, 2020 04:54

    Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....

  • Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu yalaani Ufaransa kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu yalaani Ufaransa kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW

    Oct 26, 2020 04:07

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu Ali Akbar Velayati ametoa taarifa na kualaani wakuu wa Ufaransa ambao wamemvunjia heshima Mtume Mtukufu wa Uislamu, Muhammad SAW.

  • Umoja wa Redio na TV za Kiislamu: Tutaendelea kuwa sauti ya wanaodhulumiwa duniani

    Umoja wa Redio na TV za Kiislamu: Tutaendelea kuwa sauti ya wanaodhulumiwa duniani

    Oct 24, 2020 11:17

    Umoja wa Redio na Televisheni za Kiislamu umelaani hatua isiyo ya kisheria iliyochukuliwa na Marekani ya kuuwekea vikwazo umoja huo.

  • Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi

    Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi

    Oct 24, 2020 04:19

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuwekea vikwazo Balozi wa Marekani nchini Iraq, Matthew Tueller kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.

  • Jumamosi, 24 oktoba, 2020

    Jumamosi, 24 oktoba, 2020

    Oct 23, 2020 23:04

    Leo ni Jumamosi tarehe 7 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria mwafaka na tarehe 24 Oktoba 2020 Miladia.

  • Balozi wa Iran: Hatua za upande mmoja za Marekani zinahatarisha utawala wa sheria

    Balozi wa Iran: Hatua za upande mmoja za Marekani zinahatarisha utawala wa sheria

    Oct 23, 2020 03:56

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wa Marekani unahatarisha utawala wa sheria katika ngazi ya kimatiaifa.

  • Ijumaa tarehe 23 Oktoba 2020

    Ijumaa tarehe 23 Oktoba 2020

    Oct 22, 2020 23:33

    Leo ni Ijumaa tarehe 6 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe 23 Oktoba mwaka 2020.

  • Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

    Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)

    Oct 22, 2020 09:22

    Gavana wa Benki Kuu ya Iran amesema kuwa, Mfuko wa Fedha Kimataifa (IMF) unapaswa kujibu ombi la Iran la kupewa mkopo kutoka kwenye bajeti ya dharura ya IMF kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya corona, na usikubali kuathiiwa na lobi za kisiasa na mashinikizo ya Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS