-
Kukiri Marekani kuishiwa na vikwazo vya kuipigisha magoti Iran
Oct 27, 2020 02:34Baada ya rais wa Marekani kutangaza kuitoa nchi yake katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei 2018 na kuirejeshea Iran vikwazo vyote ilivyokuwa imeondolewa baada ya mapatano hayo, Donald Trump na serikali yake walidhani kwa njia hiyo wataweza kutimiza kiurahisi ndoto yao ya kupigisha magoti Tehran na kuilazimisha ikubali mapatano yanayotakiwa na Washington. Hata hivyo ndoto hiyo kamwe haikuaguka.
-
Shamkhani: Kauli za Macron dhidi ya Uislamu zinaonyesha ni mwanagenzi wa siasa
Oct 26, 2020 08:06Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu yanayotolewa na Rais Emmanuel Macron yamedhihirisha uanagenzi wa kisiasa alionao kiongozi huyo wa Ufaransa.
-
Ulimwengu wa Spoti, Okt 26
Oct 26, 2020 04:54Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....
-
Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu yalaani Ufaransa kwa kumvunjia heshima Mtume Muhammad SAW
Oct 26, 2020 04:07Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu Ali Akbar Velayati ametoa taarifa na kualaani wakuu wa Ufaransa ambao wamemvunjia heshima Mtume Mtukufu wa Uislamu, Muhammad SAW.
-
Umoja wa Redio na TV za Kiislamu: Tutaendelea kuwa sauti ya wanaodhulumiwa duniani
Oct 24, 2020 11:17Umoja wa Redio na Televisheni za Kiislamu umelaani hatua isiyo ya kisheria iliyochukuliwa na Marekani ya kuuwekea vikwazo umoja huo.
-
Iran yamuwekea vikwazo balozi wa Marekani nchini Iraq kwa ugaidi
Oct 24, 2020 04:19Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imemuwekea vikwazo Balozi wa Marekani nchini Iraq, Matthew Tueller kwa kujihusisha na vitendo vya kigaidi.
-
Jumamosi, 24 oktoba, 2020
Oct 23, 2020 23:04Leo ni Jumamosi tarehe 7 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria mwafaka na tarehe 24 Oktoba 2020 Miladia.
-
Balozi wa Iran: Hatua za upande mmoja za Marekani zinahatarisha utawala wa sheria
Oct 23, 2020 03:56Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wa Marekani unahatarisha utawala wa sheria katika ngazi ya kimatiaifa.
-
Ijumaa tarehe 23 Oktoba 2020
Oct 22, 2020 23:33Leo ni Ijumaa tarehe 6 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na tarehe 23 Oktoba mwaka 2020.
-
Taathira za vikwazo vya Marekani kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF)
Oct 22, 2020 09:22Gavana wa Benki Kuu ya Iran amesema kuwa, Mfuko wa Fedha Kimataifa (IMF) unapaswa kujibu ombi la Iran la kupewa mkopo kutoka kwenye bajeti ya dharura ya IMF kwa ajili ya kukabiliana na maambukizi ya corona, na usikubali kuathiiwa na lobi za kisiasa na mashinikizo ya Marekani.