Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ndege za kivita za Iran zashiriki kwa ufanisi mkubwa katika luteka

    Ndege za kivita za Iran zashiriki kwa ufanisi mkubwa katika luteka

    Oct 22, 2020 08:56

    Kamanda wa Kikosi cha la Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ndege za jeshi hilo zinashiriki kwa ufanisi mkubwa katika maneva na luteka ya kijeshi ya pamoja na Walinzi wa Anga ya Velayat-99.

  • Trump arudia ndoto zake za kuzungumza na Iran

    Trump arudia ndoto zake za kuzungumza na Iran

    Oct 22, 2020 08:55

    Rais wa Marekani, Donald Trump kwa mara nyingine amerudia ndoto yake ya kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iwapo atashinda urais.

  • Zaidi ya wagonjwa wapya 5,000 wa corona wagunduliwa nchini Iran

    Zaidi ya wagonjwa wapya 5,000 wa corona wagunduliwa nchini Iran

    Oct 22, 2020 08:54

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran ametangaza habari ya kugunduliwa zaidi ya wagonjwa 5,000 wapya wa ugonjwa wa COVID-19 humu nchini na kufarikia dunia wagonjwa 304 katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita.

  • Zarif: Eneo la Ghuba ya Uajemi lichague ama amani au ukosefu wa uthabiti

    Zarif: Eneo la Ghuba ya Uajemi lichague ama amani au ukosefu wa uthabiti

    Oct 22, 2020 04:29

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema eneo la Ghuba ya Uajemi sharti likhitari moja kati ya mambo mawili, ama amani au ukosefu wa uthabiti.

  • Iran yakanusha madai ya kuingilia uchaguzi wa Marekani, yasema hauna umuhimu kwake

    Iran yakanusha madai ya kuingilia uchaguzi wa Marekani, yasema hauna umuhimu kwake

    Oct 22, 2020 04:12

    Msemaji wa Ofisi ya Iran katika Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu inaingilia uchaguzi wa Marekani.

  • Iran: OIC itekeleza majukumu yake kukabiliana na wanaoanzisha uhusiano na Israel

    Iran: OIC itekeleza majukumu yake kukabiliana na wanaoanzisha uhusiano na Israel

    Oct 21, 2020 09:21

    Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Uhusiano wa Kiislamu Iran (ICRO) amesema, Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) inapaswa kutekeleza majukumu yake kuhusiana na Fatuwa ambayo imetolewa na wanazuoni wa Kiislamu kuhusu marufuku ya kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  •  Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Kikao cha Baraza la Usalama la UN kuhusu usalama wa Ghuba ya Uajemi

    Oct 21, 2020 08:48

    Eneo la Ghuba ya Uajemi ambalo ni miongoni mwa maeneo ya kistratijia ya dunia na yenye umuhimu mkubwa katika soko la kimataifa la masuala ya uchumi na nishati. Kwa kuzingatia uhakika huo usalama wa eneo hilo muhimu la majini daima umekuwa ukipewa mazingatio makubwa katika taasisi za Umoja wa Mataifa.

  • Spika: Nchi za Kiislamu zisifuate nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran

    Spika: Nchi za Kiislamu zisifuate nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran

    Oct 20, 2020 04:10

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka serikali za nchi za Kiislamu zisikubali kufuata nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 19

    Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 19

    Oct 19, 2020 06:06

    Huu ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....

  • Rouhani: Iran imefelisha njama za Marekani la kuisambaratisha nchi

    Rouhani: Iran imefelisha njama za Marekani la kuisambaratisha nchi

    Oct 18, 2020 23:34

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema maadui wa Iran walikuwa na mpango maalumu wa kuzusha mifarakano na migongano humu nchnii ili viwazo vyao vipate nguvu zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS