Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Araqchi: Wanachama wa JCPOA hawaitambui Marekani kama mshirika wao

    Araqchi: Wanachama wa JCPOA hawaitambui Marekani kama mshirika wao

    Sep 01, 2020 23:01

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema nchi zilizosalia katika makubaliano ya nyuklia ya Iran haziitambui Marekani kuwa mwanachama au mshirika wa mapatano hayo ya kimataifa.

  • Rais Rouhani: Mitazamo ya Iran na Niger katika masuala ya kimataifa inafanana

    Rais Rouhani: Mitazamo ya Iran na Niger katika masuala ya kimataifa inafanana

    Sep 01, 2020 03:18

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika mazungumzo yake ya simu na mwenzake wa Niger kuwa nchi mbili hizi zimekuwa na ushirikiano amilifu na mitazamo inayofanana katika masuala na taasisi za kimataifa na kubainisha kuwa, nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika bila shaka itakabiliana na uchukuaji wa maamuzi ya upande mmoja wa Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Iran: Marekani haina haki wala kibali cha kutumia

    Iran: Marekani haina haki wala kibali cha kutumia "Snapnack Mechanism"

    Sep 01, 2020 03:16

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Marekani haina haki, idhini wala kibali cha kutumia utaratibu wa kurejesha upya vikwazo ilivyokuwa imewekewa Iran huko nyuma na UN unaofahamika kama 'Snapback Mechanism."

  • Iran: Magaidi wa MKO wanapewa hifadhi na US na EU licha ya kuua maelfu ya Wairani

    Iran: Magaidi wa MKO wanapewa hifadhi na US na EU licha ya kuua maelfu ya Wairani

    Aug 30, 2020 06:32

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesema nchi za Ulaya na Marekani zinawapa hifadhi wanachama wa kundi la kigaidi la Munafikin (MKO) licha ya genge hilo kuua kikatili maelfu ya Wairani.

  • Umbumbumbu wa Marekani katika masuala ya sheria, wameshindwa na sasa wanatoa vitisho

    Umbumbumbu wa Marekani katika masuala ya sheria, wameshindwa na sasa wanatoa vitisho

    Aug 29, 2020 05:48

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amekosoa jitihada zinazofanywa na Marekani kwa ajili ya kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran kuanzia tarehe 20 Oktoba mwaka huu wa 2020 na kusema: Viongozi wa serikali ya Marekani ni mbumbumbu katika masuala ya sheria na hawajui lolote kuhusiana na tendaji wa Umoja wa Mataifa.

  • Zarif aipa Marekani somo la sheria baaada ya kubwagwa mara 3 katika UNSC

    Zarif aipa Marekani somo la sheria baaada ya kubwagwa mara 3 katika UNSC

    Aug 29, 2020 03:09

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza kushangazwa kwake na kitendo cha Marekani cha kutishia tena kumwekea vikwazo mtu au taasisi yoyote inayoshirikiana na Iran, licha ya kupigwa mweleka mara tatu katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Ufaransa yakaribisha mapatano kati ya Iran na wakala wa IAEA

    Ufaransa yakaribisha mapatano kati ya Iran na wakala wa IAEA

    Aug 28, 2020 03:19

    Ufaransa imekaribisha uamuzi wa Iran wa kuuruhusu Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kukagua maeneo mawili ya miradi yake ya nyuklia na kusema hiyo ni hatua kuelekea upande sahihi.

  • Harris: Sera za Trump dhidi ya Iran zimeifanya Marekani itengwe zaidi

    Harris: Sera za Trump dhidi ya Iran zimeifanya Marekani itengwe zaidi

    Aug 27, 2020 21:53

    Makamu wa Joe Biden, mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu nchini Marekani amesema sera za Rais Donald Trump dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimeifanya nchi hiyo itengwe zaidi wakati huu kuliko wakati wowote ule.

  • Taarifa ya pamoja ya Tehran; nia njema ya Iran na matarajio ya Tehran kwa IAEA

    Taarifa ya pamoja ya Tehran; nia njema ya Iran na matarajio ya Tehran kwa IAEA

    Aug 27, 2020 05:12

    Baada ya mazungumzo ya kina ya siku mbili ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) mjini Tehran, Iran na wakala huo wamefikia makubaliano kuhusu namna ya kutatua masuala mbalimbali kwa nia njema.

  • Grossi: Safari yangu Iran ilikuwa ya mafanikio

    Grossi: Safari yangu Iran ilikuwa ya mafanikio

    Aug 27, 2020 01:59

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) ametangaza kuwa, tarehe iliyoafikiwa kati ya wakala huo na Iran kwa ajili ya IAEA kufanya uhakiki ipo karibu sana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS