-
Alkhamisi tarehe 27 Agosti mwaka 2020
Aug 26, 2020 23:33Leo ni Alkhamisi tarehe 7 Muharram 1442 Hijria sawa na Agosti 27 mwaka 2020.
-
Kuendelea ushirikiano baina ya Iran na Venezuela na shukrani za Maduro kwa Tehran
Aug 24, 2020 22:58Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameishukuru Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa msaada wake kwa nchi hiyo katika kukabiliana na vikwazo vya mafuta vya Marekani dhidi ya Venezuela na kusisitiza kuwa, uzoefu wa Iran utaweza kuisaidia nchi yake kutia nguvu uwezo wake wake wa kujitawala.
-
Maulamaa wa Kisunni Iran walaani makubaliano ya Israel na UAE
Aug 24, 2020 07:31Wanazuoni wa Kisunni hapa nchini Iran wamekosoa vikali mapatano yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Umoja wa Falme za Kiarabu na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya pande mbili hizo.
-
Zarif: Safari ya Mkuu wa IAEA Iran haina uhusiano na 'Snapback Mechanism'
Aug 24, 2020 07:29Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema safari ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi hapa nchini haina mfungamano wowote na utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran unaofahamika kama 'Snapback Mechanism'.
-
Ulimwengu wa Michezo, Agosti 24
Aug 24, 2020 01:44Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa......Karibu.....
-
Jenerali Amir Hatami: Ushirikiano wa kijeshi wa Iran na Russia ni chanya
Aug 23, 2020 03:22Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema ushirikiano wa kiulinzi na kijeshi baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Russia ni chanya na unaoendelea kuimarika.
-
Upinzani wa wanachama 13 wa Baraza la Usalama kwa ombi la Marekani la kuanzisha utaratibu wa "Snapback Mechanism"
Aug 22, 2020 05:57Kushindwa Marekani katika njama zake za kulazimisha kukubaliwa pendekezo la kuiongezea Iran muda wa vikwazo vya silaha katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kumeipelekea Washington kuchukua hatua ya kukurupuka ya kuwasilisha ombi la kuanzisha utaratibu wa kurejesha vikwazo vya Umoja wa Mataifa dhidi ya Iran papo kwa hapo yaani "Snapback Mechanism." Ombi hilo la Marekani hata hivyo nalo limepingwa vikali ndani ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
JCPOA na utaratibu wa "Snapback Mechanism", Marekani katika mkwamo wa Baraza la Usalama
Aug 21, 2020 22:26Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepinga hatua inayokiukaji sheria ya Marekani ya kutaka kutumia vibaya taratibu zilizowekwa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA za kurejesha upya vikwazo vya silaha dhidi ya Iran.
-
Zarif: Serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka tena katika medani ya kimataifa
Aug 21, 2020 06:38Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia upinzani wa jamii ya kimataifa dhidi ya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia vibaya taratibu zilizowekwa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA za kurejesha upya vikwazo ilivyokuwa imewekewa Iran na kusema, kwa mara nyingine tena serikali ya Trump imetengwa na kufedheheka katika medani ya kimataifa.
-
Kupinga Umoja wa Ulaya hatua ya Marekani ya kutaka kutumia ‘Utaratibu wa Kifyatuo’
Aug 18, 2020 06:24Kushindwa kwa fedheha Marekani katika kupasishwa azimio ililopendekeza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kuongezwa muda wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kumeisukuma Washington na kuifanya ifikirie kutumia nyenzo nyingine kama utaratibu wa kusuluhisha mzozano katika JCPOA, unaojulikana kama "Utaratibu wa Kifyatuo", kwa kimombo "Trigger Mechanism".