Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran inaweza kujikidhia asilimia 90 ya mahitaji yake ya kijeshi

    Iran inaweza kujikidhia asilimia 90 ya mahitaji yake ya kijeshi

    Aug 16, 2020 03:18

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii inaweza kujikidhia asilimia 90 ya mahitajio yake ya kiulinzi kwa kiwango cha juu.

  • Kushindwa kifedheha Marekani katika kupitisha azimio dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama

    Kushindwa kifedheha Marekani katika kupitisha azimio dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama

    Aug 15, 2020 21:45

    Tokea mwaka 2019, Marekani imekuwa ikifanya juu chini kuhakikisha kuwa Iran haiondolewi vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Vikwazo hivyo vinapaswa kuondolewa Oktoba 2020. Pamoja na jitihada zake zote ambazo zimejumuisha vita vya kisiasa na kisaikolojia dhidi ya Iran na pia mazungumzo ya muda mrefu na wanachama wa baraza hilo, lakini hatimaye Marekani imefedheheka baada ya kushindwa vibaya sana.

  • Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon

    Zarif: Wanaotumia vibaya mlipuko wa Beirut wanataka kuteteresha amani ya Lebanon

    Aug 14, 2020 09:12

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran leo amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Waziri Mkuu wa Lebanon mjini Beirut na kusema kuwa, wanaotumia vibaya mlipuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Beirut wana nia ya kuyumbisha amani ya Lebanon.

  • Iran: Uhusiano wa kidiplomasia wa Abu Dhabi na Tel Aviv ni ujinga wa kistratijia

    Iran: Uhusiano wa kidiplomasia wa Abu Dhabi na Tel Aviv ni ujinga wa kistratijia

    Aug 14, 2020 03:37

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani hatua ya kuanzishwa uhusiano wa kidiplomasia baina ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) na utawala wa Kizayuni wa Israel na kutaja hatua hiyo kuwa ni ujinga wa kistratijia ambao bila shaka utapelekea kuimarika mhimili wa muqawama na mapambano katika eneo.

  • Iran: Pompeo amelihadaa bunge la nchi yake ili kumuuzia silaha mwashamoto wa vita katika eneo

    Iran: Pompeo amelihadaa bunge la nchi yake ili kumuuzia silaha mwashamoto wa vita katika eneo

    Aug 13, 2020 09:20

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amelihadaa bunge la nchi yake ili kuweza kumuuzia silaha mwashaji moto mkuu wa vita katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Onyo la Rouhani kuhusu JCPOA; Ulaya isitumbukie kwenye mtego wa Marekani

    Onyo la Rouhani kuhusu JCPOA; Ulaya isitumbukie kwenye mtego wa Marekani

    Aug 13, 2020 04:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa azimio lilopendekezwa na Marekani katika Barazala Usalama la Umoja wa Mataifa linakiuka moja kwa moja azimio nambari 2231 la baraza hilo na hivyo kuzitaka nchi zote na hasa zilizotia saini mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, zilipinge.

  • Dakta Zarif: Kusambaratisha Marekani makubaliano ya nyuklia ya Iran kutakuwa ni kurejea katika 'sheria za mwituni'

    Dakta Zarif: Kusambaratisha Marekani makubaliano ya nyuklia ya Iran kutakuwa ni kurejea katika 'sheria za mwituni'

    Aug 13, 2020 03:38

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kusambaratisha kikamilifu Marekani makubaliano ya nyuklia ya Iran kutakuwa sawa na kurejea katika 'sheria za mwituni'.

  • Marekani yalegeza msimamo kuhusu kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Marekani yalegeza msimamo kuhusu kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Aug 12, 2020 23:00

    Juhudi za Marekani za kutaka vikwazo vya silaha dhidi ya Iran virefushwe katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimekabiliwa na changamoto kubwa.

  • Sisitizo la kuongezwa ushirikiano wa Iran na Venezuela na ghadhabu za Washington kwa hilo

    Sisitizo la kuongezwa ushirikiano wa Iran na Venezuela na ghadhabu za Washington kwa hilo

    Aug 11, 2020 22:01

    Katika miaka ya hivi karibuni Iran na Venezuela zimeandamwa na vikwazo vya kiuchumi na kisiasa vya Marekani na viongozi wa White House wamefanya juhudi kubwa kutumia nyenzo mbalimbali ili wazifanye nchi mbili hizi zisalimu amri na kufuata siasa za Washington.

  • Jumatatu tarehe 10 Agosti 2020

    Jumatatu tarehe 10 Agosti 2020

    Aug 09, 2020 23:54

    Leo ni Jumatatu tarehe 20 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Agosti 10 mwaka 2020.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS