Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ijumaa, Julai 17, 2020

    Ijumaa, Julai 17, 2020

    Jul 16, 2020 22:04

    Leo ni Ijumaa tarehe 25 Dhulqaada 1441 Hijria sawa na 17 Julai mwaka 2020.

  • Takwimu za leo za ugonjwa wa corona Iran, zaidi ya wagonjwa laki mbili na 30 elfu wapata afueni

    Takwimu za leo za ugonjwa wa corona Iran, zaidi ya wagonjwa laki mbili na 30 elfu wapata afueni

    Jul 16, 2020 08:00

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, zaidi ya wagonjwa elfu mbili wa Covid-19 wamegunduliwa nchini katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita, huku idadi ya waliopata afueni ya ugonjwa huo ikipindukia 230,000.

  • Safari ya Abbas Araqchi mjini Kabul; ushirikiano mzuri wa Iran na Afghanistan

    Safari ya Abbas Araqchi mjini Kabul; ushirikiano mzuri wa Iran na Afghanistan

    Jul 16, 2020 07:49

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu anayehusika na masuala ya kisiasa amekutana na kufanya mazungumzo mjini Kabul na Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Afganistan na kujadili masuala ya kupanua ushirikiano wa pande mbili katika nyanja zote

  • Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana

    Russia na Ujerumani: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran havina maana

    Jul 16, 2020 03:24

    Rais wa Russia na Kansela wa Ujerumani wamesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran havina umuhimu wowote.

  • 'Dawa ya kutibu virusi vya corona' iliyozalishwa hapa Iran kuingia sokoni karibuni

    'Dawa ya kutibu virusi vya corona' iliyozalishwa hapa Iran kuingia sokoni karibuni

    Jul 16, 2020 02:57

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran karibuni hivi itaanza kusambaza masokoni dawa ya kupambana na virusi ya 'Remdesivir' iliyozalishwa hapa nchini.

  • Abdollahian: Utawala wa Aal-Khalifa uimarishe uhusiano wa Wabahrain, si Israel

    Abdollahian: Utawala wa Aal-Khalifa uimarishe uhusiano wa Wabahrain, si Israel

    Jul 14, 2020 03:36

    Mshauri wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) katika masuala ya kimataifa ameukosoa vikali utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain kwa kukanyaga haki za binadamu za raia wa nchi hiyo.

  • Rais Rouhani: Iran itaibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani

    Rais Rouhani: Iran itaibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani

    Jul 13, 2020 22:49

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ushirikiano na mshikamano uliopo miongoni mwa mihimili mitatu ya dola, bila shaka utaipelekea Iran kuibuka mshindi katika vita vya kiuchumi vya Marekani dhidi ya taifa hili.

  • Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na wabunge; sisitizo kuhusu majukumu na matarajio

    Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na wabunge; sisitizo kuhusu majukumu na matarajio

    Jul 13, 2020 03:06

    Ayatullah Sayyed Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu siku ya Jumapili alifanya mkutano kwa njia ya video na wabunge wa Awamu ya 11 ya Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran ambapo amelitaja bunge hilo kuwa ni 'dhihirisho la matumaini na matarajio ya wananchi."

  • Iran yakanusha uvumi wa kuiuzia China kisiwa

    Iran yakanusha uvumi wa kuiuzia China kisiwa

    Jul 12, 2020 23:10

    Iran imekanusha uvumi kuwa imeiuzia China kisiwa chake cha Kish katika Ghuba ya Uajemi na hali kadhalika imekanusha madai kuwa imeafiki kuiuzia China mafuta ghafi ya petroli kwa bei rahisi.

  • New York Times: Mapatano ya Iran na China ni pigo kubwa kwa Trump

    New York Times: Mapatano ya Iran na China ni pigo kubwa kwa Trump

    Jul 12, 2020 08:40

    Gazeti la New York Times limechapisha sehemu ya waraka wa mapatano ya ushirikiano wa Iran na China na kusema kuwa mapatano hayo ni pigo kubwa kwa sera dhidi ya Iran za Rais Donald Trump wa Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS