Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumapili, tarehe 12 Julai, 2020

    Jumapili, tarehe 12 Julai, 2020

    Jul 11, 2020 22:02

    Leo ni Juumapili tarehe 20 Dhulqaada 1414 sawa na Julai 12 mwaka 2020.

  • Iran: Mauaji ya Soleimani ni mfano wa wazi wa ugaidi wa kiserikali

    Iran: Mauaji ya Soleimani ni mfano wa wazi wa ugaidi wa kiserikali

    Jul 11, 2020 06:39

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa amesema mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Luteni Jenerali Qassem Soleimani akiwa ugenini nchini Iraq ni mfano wa wazi wa ugaidi wa kiserikali.

  • Sisitizo la Russia la kugonga mwamba Marekani katika mwendelezo wake wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Sisitizo la Russia la kugonga mwamba Marekani katika mwendelezo wake wa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jul 11, 2020 03:06

    Marekani imeanzisha vita vikubwa vya kuzuia kuondolewa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran, ambavyo kwa mujibu wa azimio nambri 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa inapasa vifikie kikomo ifikapo Oktoba 18, 2020; na ili kufikia lengo hilo imewasilisha rasimu ya azimio kwa nchi wanachama wa baraza hilo. Hata hivyo kwa Russia inaamini kuwa hatua hizo za Marekani zitagonga mwamba.

  • Mauaji ya kigaidi ya Soleimani, ugaidi wa kiserikali wa Marekani na hatari dhidi ya usalama wa kimataifa

    Mauaji ya kigaidi ya Soleimani, ugaidi wa kiserikali wa Marekani na hatari dhidi ya usalama wa kimataifa

    Jul 10, 2020 06:29

    Mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na jeshi la Marekani dhidi ya aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu akiwa ugenini nchini Iraq ni kielelezo cha wazi cha ukiukaji wa sheria za kimataifa na ugaidi wa kiserikali wa Marekani.

  • Iran: Mauaji ya kigaidi ya Jenerali Soleimani yalikiuka Hati ya UN

    Iran: Mauaji ya kigaidi ya Jenerali Soleimani yalikiuka Hati ya UN

    Jul 10, 2020 03:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mauaji ya kioga na kigaidi ya aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Luteni Jenerali Qassem Soleimani yaliyofanywa na jeshi katili la Marekani mapema mwaka huu nchini Iraq ni ukiukaji wa wazi wa Hati ya Umoja wa Mataifa.

  • Makubaliano ya pande zote ya Iran na Syria, maonyesho ya nguvu ya kambi ya Muqawama

    Makubaliano ya pande zote ya Iran na Syria, maonyesho ya nguvu ya kambi ya Muqawama

    Jul 10, 2020 01:54

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria ambazo ni washirika wa kistratijia katika eneo la Asia magharibi zimesaini makubaliano ya ushirikiano kamili katika nyanya za kiulinzi, kiusalama na kijeshi.

  • Iran: Kusema urongo na kueneza chuki ni katika sera za nje za Marekani

    Iran: Kusema urongo na kueneza chuki ni katika sera za nje za Marekani

    Jul 09, 2020 11:01

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali tuhuma kuwa Jamhuri ya Kiislamu imekiuka vikwazo vya silaha vya Umoja wa Mataifa na kusisitiza kuwa, Marekani inasema urongo.

  • Sayyid Nasrullah: Iran imeweza kupiga hatua licha ya vikwazo

    Sayyid Nasrullah: Iran imeweza kupiga hatua licha ya vikwazo

    Jul 08, 2020 03:35

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kupiga hatua za maendeleo na ustawi licha ya vikwazo na mashinikizo ya maadui.

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu Iran kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina

    Sisitizo la Kiongozi Muadhamu kuhusu Iran kuunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina

    Jul 06, 2020 21:58

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amejibu barua kutoka kwa mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) kuhusu matukio ya hivi karibuni ya Palestina.

  • Jumanne, tarehe 7 Julai, 2020

    Jumanne, tarehe 7 Julai, 2020

    Jul 06, 2020 21:52

    leo ni Jumanne tarehe 15 Dhulqaada 1441 Hijria, inayosadifiana na tarehe 7 Julai, mwaka 2020 Miladia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS