Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Sisitizo la Russia la kutatuliwa hitilafu za JCPOA kupitia Kamisheni ya Pamoja

    Sisitizo la Russia la kutatuliwa hitilafu za JCPOA kupitia Kamisheni ya Pamoja

    Jul 05, 2020 21:57

    Licha ya Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya kuahidi kutekeleza ahadi zao katika fremu ya mapatano ya JCPOA, lakini pande mbili hizo zimeshindwa kabisa kutekeleza ahadi hizo.

  • Borrel asema JCPOA ni mafanikio ya kihistoria

    Borrel asema JCPOA ni mafanikio ya kihistoria

    Jul 04, 2020 03:29

    Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema binafsi anaitakidi kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni mafanikio makubwa ya kihistoria yatakayosaidia katika mchakato wa kuangamiza silaha hatari za nyuklia duniani.

  • Corona na udharura wa kufutwa vikwazo vya upande mmoja kwa ajili ya kulinda uhai wa wanadamu

    Corona na udharura wa kufutwa vikwazo vya upande mmoja kwa ajili ya kulinda uhai wa wanadamu

    Jul 04, 2020 03:20

    Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya upande mmoja vinadhoofisha uwezo wa nchi zinazolengwa kwa vikwazo hivyo katika mapambano yao dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona na vinapaswa kufutiliwa mbali.

  • Lawama kali za Russia kwa azimio lililopendekezwa na Marekani la kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Lawama kali za Russia kwa azimio lililopendekezwa na Marekani la kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran

    Jul 03, 2020 07:02

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kukabiliana na nguvu za kiulinzi na kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu zinazozidi kuongezeka siku hadi siku, serikali ya Donald Trump huko Marekani imeanzisha kampeni kubwa ya kimataifa ya kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Ghuba ya Uajemi imeshuhudia jinai za Marekani kwa muda mrefu

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Ghuba ya Uajemi imeshuhudia jinai za Marekani kwa muda mrefu

    Jul 02, 2020 07:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoaa taarifa kwa mnasaba wa kukumbuka jinai ya Marekani ya kutungua kwa makusudi ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema: "Kwa muda mrefu Ghuba ya Uajemi imekuwa ikishuhudia jinai za Marekani."

  • Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria

    Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria

    Jul 02, 2020 07:08

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Mchakato wa Astana ungali ndio mpango pekee uliofanikiwa kusaidia kutatua mgogoro wa Syria kwa njia ya amani.

  • Tishio la Marekani la kutumia chaguo la nguvu za kijeshi dhidi ya Iran; kiwewe cha kushindwa kidiplomasia Washington

    Tishio la Marekani la kutumia chaguo la nguvu za kijeshi dhidi ya Iran; kiwewe cha kushindwa kidiplomasia Washington

    Jul 01, 2020 22:08

    Katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, Marekani imekuwa na utendaji wa chuki na hasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo ikitumia visingizo tofauti, imetishia mara chungu nzima kutumia mabavu na nguvu za kijeshi dhidi ya Tehran.

  • Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel

    Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel

    Jul 01, 2020 21:40

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina.

  • "Saudia kuiunga mkono US kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran ni mzaha"

    Jun 30, 2020 07:43

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kitendo cha Saudi Arabia cha kuiunga mkono Marekani katika jitihada zake za kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Tehran ni mzaha mchungu.

  • Iran yakaribia kuzalisha chanjo ya corona, majaribio kwa wanyama yafanikiwa

    Iran yakaribia kuzalisha chanjo ya corona, majaribio kwa wanyama yafanikiwa

    Jun 30, 2020 06:41

    Waziri wa Afya wa Iran ametangaza leo Jumanne kuwa wanasayansi wa humu nchini wapo mbioni kuanza kuzalisha chanjo ya ugonjwa wa COVID-19, hatua ambayo imeongeza matumaini ya kudhibitiwa kikamilifu janga la corona duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS