-
Sisitizo la Russia la kutatuliwa hitilafu za JCPOA kupitia Kamisheni ya Pamoja
Jul 05, 2020 21:57Licha ya Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya kuahidi kutekeleza ahadi zao katika fremu ya mapatano ya JCPOA, lakini pande mbili hizo zimeshindwa kabisa kutekeleza ahadi hizo.
-
Borrel asema JCPOA ni mafanikio ya kihistoria
Jul 04, 2020 03:29Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema binafsi anaitakidi kuwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni mafanikio makubwa ya kihistoria yatakayosaidia katika mchakato wa kuangamiza silaha hatari za nyuklia duniani.
-
Corona na udharura wa kufutwa vikwazo vya upande mmoja kwa ajili ya kulinda uhai wa wanadamu
Jul 04, 2020 03:20Mwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya upande mmoja vinadhoofisha uwezo wa nchi zinazolengwa kwa vikwazo hivyo katika mapambano yao dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona na vinapaswa kufutiliwa mbali.
-
Lawama kali za Russia kwa azimio lililopendekezwa na Marekani la kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Jul 03, 2020 07:02Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kukabiliana na nguvu za kiulinzi na kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu zinazozidi kuongezeka siku hadi siku, serikali ya Donald Trump huko Marekani imeanzisha kampeni kubwa ya kimataifa ya kuzuia kufutwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran: Ghuba ya Uajemi imeshuhudia jinai za Marekani kwa muda mrefu
Jul 02, 2020 07:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoaa taarifa kwa mnasaba wa kukumbuka jinai ya Marekani ya kutungua kwa makusudi ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema: "Kwa muda mrefu Ghuba ya Uajemi imekuwa ikishuhudia jinai za Marekani."
-
Mchakato wa Astana; hakikisho la kupatikana amani, utawala huru na mamlaka ya kitaifa ya Syria
Jul 02, 2020 07:08Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Mchakato wa Astana ungali ndio mpango pekee uliofanikiwa kusaidia kutatua mgogoro wa Syria kwa njia ya amani.
-
Tishio la Marekani la kutumia chaguo la nguvu za kijeshi dhidi ya Iran; kiwewe cha kushindwa kidiplomasia Washington
Jul 01, 2020 22:08Katika kipindi cha miaka 40 iliyopita, Marekani imekuwa na utendaji wa chuki na hasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo ikitumia visingizo tofauti, imetishia mara chungu nzima kutumia mabavu na nguvu za kijeshi dhidi ya Tehran.
-
Spika wa Bunge la Iran atoa mwito wa kukomeshwa jinai za Israel
Jul 01, 2020 21:40Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ametoa mwito wa kuchukuliwa hatua athirifu za kukomesha jinai za utawala haramu wa Israel, hususan mpango wa utawala huo ghasibu wa kupora ardhi zaidi za Wapalestina.
-
"Saudia kuiunga mkono US kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran ni mzaha"
Jun 30, 2020 07:43Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kitendo cha Saudi Arabia cha kuiunga mkono Marekani katika jitihada zake za kutaka kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Tehran ni mzaha mchungu.
-
Iran yakaribia kuzalisha chanjo ya corona, majaribio kwa wanyama yafanikiwa
Jun 30, 2020 06:41Waziri wa Afya wa Iran ametangaza leo Jumanne kuwa wanasayansi wa humu nchini wapo mbioni kuanza kuzalisha chanjo ya ugonjwa wa COVID-19, hatua ambayo imeongeza matumaini ya kudhibitiwa kikamilifu janga la corona duniani.