Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Majeshi ya Iran yanawafikishia misaada waathirika wa mafuriko kaskazini mwa nchi

    Majeshi ya Iran yanawafikishia misaada waathirika wa mafuriko kaskazini mwa nchi

    Mar 24, 2019 11:13

    Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Meja Jenerali Mohammad Baqeri amesema kuwa, vikosi vya ulinzi humu nchini vinaendesha oparesheni kamili ya kuwasaidia waathirika wa mafuruko kaskazini mwa nchi.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; na bwabwaja za Mike Pompeo

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; na bwabwaja za Mike Pompeo

    Mar 23, 2019 21:56

    Kutekeleza siasa za kuyawekea vikwazo mataifa mengine hususan wapinzani na mahasimu wa Marekani, ni moja ya nguzo kuu za siasa za kigeni za Washington katika duru ya uongozi ya Rais Donald Trump.

  • Kukariri Trump porojo lake katika ujumbe wa Nowruz kwa Wairani

    Kukariri Trump porojo lake katika ujumbe wa Nowruz kwa Wairani

    Mar 22, 2019 03:12

    Rais wa Marekani Donald Trump, tangu kwenye kampeni zake za uchaguzi wa rais na mpaka baada ya kuingia Ikulu ya White House Januari 2017, amekuwa akitumia lugha kali na maneno machafu dhidi ya Iran, kwa lengo la kuudhoofisha na kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rais Rouhani katika ujumbe wa Nowruz mwaka 1398: Taifa la Iran kwa yakini litapata ushindi

    Rais Rouhani katika ujumbe wa Nowruz mwaka 1398: Taifa la Iran kwa yakini litapata ushindi

    Mar 21, 2019 00:23

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema Alhamisi ametuma ujumbe kwa kunasaba wa kuanza mwaka mpya wa 1398 Hijria Shamsiya na kusema mwaka 1397 ulikuwa mwaka wa mafanikio makubwa ya taifa la Iran katika nyuga mbali mbali na kuongeza kuwa, kwa yakini taifa la Iran litapata ushindi na litavuka matatizo yaliyopo.

  • Machi 20, Siku ya Kutaifishwa Sekta ya Mafuta Iran

    Machi 20, Siku ya Kutaifishwa Sekta ya Mafuta Iran

    Mar 20, 2019 15:08

    Tarehe 29 mwezi Esfand kwa kalenda ya Hijria Shamsia sawa na Machi 20 huadhimishwa kila mwaka kama siku kukumbuka kutaifishwa sekta ya mafuta ya petroli nchini Iran. Siku hii ni muhimu sana katika historia ya kisiasa na kiuchumi ya Iran. Utaifishwaji wa sekta ya mafuta Iran ulifanikiwa baada ya mapambano magumu sana na ukawa mwanzo wa fikra ya "Uchumi bila Mafuta'. Karibuni kusikiliza makala maalumu kwa munasaba huu.

  • Mazungumzo ya kisiasa ya Brussels na Tehran; kukiri Umoja wa Ulaya juu ya nafasi muhimu ya kieneo ya Iran

    Mazungumzo ya kisiasa ya Brussels na Tehran; kukiri Umoja wa Ulaya juu ya nafasi muhimu ya kieneo ya Iran

    Mar 20, 2019 10:37

    Licha ya njama mtawalia za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani za kudhoofisha nafasi muhimu ya kieneo ya Iran kwa kueneza sera za chuki dhidi ya taifa hili, lakini pamoja na hayo yote madola makubwa ya dunia yamekuwa yakisisitiza juu ya nafasi muhimu na isiyokanushika ya Tehran katika Mashariki ya Kati na kukiri dhahir shahir kuhusiana na jambo hilo.

  • Iran yakanusha vikali madai ya kudukua simu za Wazayuni

    Iran yakanusha vikali madai ya kudukua simu za Wazayuni

    Mar 20, 2019 04:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha vikali madai ya utawala haramu wa Israel kwamba Tehran imedukua mawasiliano ya simu ya maafisa wa Kizayuni.

  • Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran

    Rais wa Austria: Ulaya isikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump kuhusu Iran

    Mar 19, 2019 12:25

    Rais Alexander Van der Bellen wa Austria amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia na Iran yaliyofikiwa mwaka 2015 na vitisho alivyotoa vya kuyawekea vikwazo mashirika na makampuni yanayofanya biashara na Tehran, na kusisitiza kuwa nchi za Ulaya zisikubali kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Trump.

  • Rais Rouhani asisitiza kufuatiliwa kisheria viongozi wa Marekani kwa sababu ya jinai za vikwazo dhidi ya Iran

    Rais Rouhani asisitiza kufuatiliwa kisheria viongozi wa Marekani kwa sababu ya jinai za vikwazo dhidi ya Iran

    Mar 18, 2019 04:26

    Rais Hassan Rouhani amesisitiza kufuatiliwa kisheria na kufunguliwa mashtaka viongozi wa Marekani na wapangaji wa vikwazo dhidi ya Iran kutokana na jinai zao dhidi ya binadamu.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq: Marekani haina ruhusa ya kutumia ardhi ya Iraq dhidi ya Iran

    Mar 17, 2019 21:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iraq amesisitiza kuwa, Marekani haina ruhusu ya kuzichukulia hatua nchi jirani hususan Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia ardhi ya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS