Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kwa nini Iran inasisitiza umuhimu wa kutokuweko mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo?

    Kwa nini Iran inasisitiza umuhimu wa kutokuweko mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo?

    Jul 21, 2025 09:19

    Ali Akbar Ahmadian Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inapinga vikali mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Mshauri wa Kiongozi Muadhamu azungumza na Putin kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu azungumza na Putin kuhusu kadhia ya nyuklia ya Iran

    Jul 21, 2025 02:44

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Ali Larijani, mshauri mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei wamekutana na kufanya mazungumzo juu ya masuala ibuka, hasa mpango wa nyuklia wa Tehran na mivutano katika eneo la Asia Magharibi.

  • Araghchi azijia juu nchi zinazotetea uchokozi wa Israel, US dhidi ya Iran

    Araghchi azijia juu nchi zinazotetea uchokozi wa Israel, US dhidi ya Iran

    Jul 21, 2025 01:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema kuwa, hujuma za Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ni ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa na haki za binadamu za kimataifa, akikosoa misimamo ya upendeleo ya baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuhalalisha vitendo hivyo vya uchokozi vilivyofanywa na utawala wa Israel na Marekani mwezi uliopita.

  • Msimamo wa Kamisheni ya Ulaya dhidi ya Iran; kurudiwa tena madai yasiyo na msingi wowote

    Msimamo wa Kamisheni ya Ulaya dhidi ya Iran; kurudiwa tena madai yasiyo na msingi wowote

    Jul 20, 2025 13:32

    Kamisheni ya Ulaya imetoa taarifa ambayo, pasi na kuashiria kuwa mpango wa nyuklia wa Iran ni wa malengo ya amani, imetosheka na kudai tu kwamba: Tehran haipasi kuwa na silaha za nyuklia.

  • Iran, Troika ya Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia wiki ijayo?

    Iran, Troika ya Ulaya kuendelea na mazungumzo ya nyuklia wiki ijayo?

    Jul 20, 2025 12:30

    Iran na Troika ya Ulaya - Ufaransa, Ujerumani, na Uingereza - zimeripotiwa kukubaliana msingi wa kuanza tena mazungumzo ya nyuklia wiki ijayo.

  • Iran yawasilisha ripoti rasmi UN kuhusu jinai za kivita za Israel

    Iran yawasilisha ripoti rasmi UN kuhusu jinai za kivita za Israel

    Jul 20, 2025 09:35

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amewasilisha ripoti rasmi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la umoja huo, kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Israel wakati wa vita vyake vya siku 12 dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Spika Qalibaf: Kizuizi kikuu cha Iran dhidi ya maadui ni umoja wa kitaifa

    Spika Qalibaf: Kizuizi kikuu cha Iran dhidi ya maadui ni umoja wa kitaifa

    Jul 20, 2025 09:10

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf amewaasa wananchi wa Iran kulinda umoja wao wa kitaifa akisisitiza kuwa, umoja huo ndio unaomzuia adui kufanya kitendo kingine cha uchokozi dhidi ya taifa hili.

  • Ahmadian: Iran inapinga mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo

    Ahmadian: Iran inapinga mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo

    Jul 20, 2025 04:35

    Ali Akbar Ahmadian Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inapinga vikali mabadiliko yoyote ya kijiopolitiki katika eneo la Magharibi mwa Asia.

  • Rais wa Iran: Umoja na mshikamano ni suala la dharura kwa umma wa Kiislamu

    Rais wa Iran: Umoja na mshikamano ni suala la dharura kwa umma wa Kiislamu

    Jul 19, 2025 11:07

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran ametoa wito wa umoja na mshikamano zaidi nchini Iran na katika ulimwengu mzima wa Kiislamu ambao unakabiliwa na vitisho vya usalama vya pamoja vya maadui.

  • Araghchi: Iran ‘imejiandaa kikamilifu’ iwapo Israel itavunja usitishaji vita ‘dhaifu’

    Araghchi: Iran ‘imejiandaa kikamilifu’ iwapo Israel itavunja usitishaji vita ‘dhaifu’

    Jul 19, 2025 10:55

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jamhuri ya Kiislamu iko macho na iko tayari kujilinda iwapo utawala wa Israel utavunja usitishaji vita "tete" uliohitimisha siku 12 za uchokozi wa utawala huo wa Kizayuni dhidi ya nchi hii mwezi uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS