Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Wizara ya Ulinzi ya US yanakili droni ya kamikaze ya Iran

    Wizara ya Ulinzi ya US yanakili droni ya kamikaze ya Iran

    Jul 19, 2025 10:32

    Marekani imenakili na kuzindua toleo lake la ndege ya kivita isiyo na rubani ya Iran ya Shahed-136, katika juhudi za kupanua machaguo ya droni za bei nafuu kwa ajili ya kuzitumia kwneye medani za kisasa za vita.

  • Baqaei: Iran inaunga mkono uhuru, mamlaka ya kujitawala Syria

    Baqaei: Iran inaunga mkono uhuru, mamlaka ya kujitawala Syria

    Jul 18, 2025 12:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono uhuru na mamlaka ya kitaifa ya kujitawala Syria.

  • Meja Jenerali Mousavi: Shambulio lolote tarajiwa dhidi Iran litakabiliwa kwa nguvu zaidi

    Meja Jenerali Mousavi: Shambulio lolote tarajiwa dhidi Iran litakabiliwa kwa nguvu zaidi

    Jul 18, 2025 11:30

    Kamanda Mkuu wa Majeshi la Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi ameonya kwamba, uchokozi wowote tarajiwa wa maadui utakabiliwa na jibu baya na kali zaidi.

  • Iran yaitaka EU iachane na sera zake chovu za vitisho, mashinikizo

    Iran yaitaka EU iachane na sera zake chovu za vitisho, mashinikizo

    Jul 18, 2025 11:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametoa wito kwa Umoja wa Ulaya, na hasa Troika ya Ulaya E3 (Ufaransa, Ujerumani, na Uingereza) kuachana na "sera zao zilizochoka" za vitisho na mashinikizo.

  • Dakta Zarif: Tishio pekee kwa utawala wa Israel ni amani

    Dakta Zarif: Tishio pekee kwa utawala wa Israel ni amani

    Jul 18, 2025 10:32

    Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Masuala ya Kistratejia wa Iran, Mohammad-Javad Zarif amesema kuwa, tishio pekee lililopo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni amani.

  • UNESCO yailaani Israel kwa mauaji ya wanahabari wa Iran

    UNESCO yailaani Israel kwa mauaji ya wanahabari wa Iran

    Jul 18, 2025 09:58

    Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani mauaji ya wafanyakazi wawili wa vyombo vya habari wa Iran wakati wa mashambulizi ya anga ya Israel kwenye makao makuu ya Shirika la Utangazaji la Iran, IRIB mjini Tehran mwezi uliopita.

  • Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?

    Jul 18, 2025 08:53

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken, amekosoa mwelekeo wa rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran; na licha ya kuibua madai mengine mapya amesema: Iran bado haijaamua kuunda silaha za nyuklia na imetekeleza ahadi zake katika JCPOA.

  • Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita

    Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita

    Jul 18, 2025 01:39

    Afisa mmoja mwandamizi wa kisiasa wa Iran ameiambia Press TV kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaingia kwenye mazungumzo mapya na Marekani kwa kutumia mfumo au ajenda ya hapo awali, baada ya funzo ililopata kutokana na mazungumzo ya hapo kabla.

  • Wabunge wa Iran waziasa nchi 44 ziiwekea Israel vikwazo

    Wabunge wa Iran waziasa nchi 44 ziiwekea Israel vikwazo

    Jul 17, 2025 11:20

    Wanachama wa Kamati ya Mahakama na Sheria ya Bunge la Iran wametoa wito kwa makumi ya nchi duniani kuchukua hatua za kuiwekea Israel vikwazo kutokana na utawala huo "kukiuka kanuni za kimataifa na haki za binadamu."

  • Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia

    Jul 17, 2025 11:04

    Meja Jenerali Mohammad Pakpour, Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ametangaza kwamba majeshi ya Iran yamejipanga kikamilifu kushambulia tena, akiwaonya maadui kwamba uchokozi wowote ujao utakabiliwa na jibu la haraka, na kuendeleza vita hivyo pale vilipoishia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS