-
Wizara ya Ulinzi ya US yanakili droni ya kamikaze ya Iran
Jul 19, 2025 10:32Marekani imenakili na kuzindua toleo lake la ndege ya kivita isiyo na rubani ya Iran ya Shahed-136, katika juhudi za kupanua machaguo ya droni za bei nafuu kwa ajili ya kuzitumia kwneye medani za kisasa za vita.
-
Baqaei: Iran inaunga mkono uhuru, mamlaka ya kujitawala Syria
Jul 18, 2025 12:42Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inaunga mkono uhuru na mamlaka ya kitaifa ya kujitawala Syria.
-
Meja Jenerali Mousavi: Shambulio lolote tarajiwa dhidi Iran litakabiliwa kwa nguvu zaidi
Jul 18, 2025 11:30Kamanda Mkuu wa Majeshi la Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi ameonya kwamba, uchokozi wowote tarajiwa wa maadui utakabiliwa na jibu baya na kali zaidi.
-
Iran yaitaka EU iachane na sera zake chovu za vitisho, mashinikizo
Jul 18, 2025 11:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametoa wito kwa Umoja wa Ulaya, na hasa Troika ya Ulaya E3 (Ufaransa, Ujerumani, na Uingereza) kuachana na "sera zao zilizochoka" za vitisho na mashinikizo.
-
Dakta Zarif: Tishio pekee kwa utawala wa Israel ni amani
Jul 18, 2025 10:32Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Masuala ya Kistratejia wa Iran, Mohammad-Javad Zarif amesema kuwa, tishio pekee lililopo kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni amani.
-
UNESCO yailaani Israel kwa mauaji ya wanahabari wa Iran
Jul 18, 2025 09:58Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limelaani mauaji ya wafanyakazi wawili wa vyombo vya habari wa Iran wakati wa mashambulizi ya anga ya Israel kwenye makao makuu ya Shirika la Utangazaji la Iran, IRIB mjini Tehran mwezi uliopita.
-
Jibu la suali la leo; nini sababu ya waziri wa zamani wa mambo ya nje wa US kukosoa sera ya Trump kuhusiana na Iran?
Jul 18, 2025 08:53Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Anthony Blinken, amekosoa mwelekeo wa rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran; na licha ya kuibua madai mengine mapya amesema: Iran bado haijaamua kuunda silaha za nyuklia na imetekeleza ahadi zake katika JCPOA.
-
Intelijensia: US inajifanya inataka kuzungumza na Iran wakati inajiandaa kwa vita
Jul 18, 2025 01:39Afisa mmoja mwandamizi wa kisiasa wa Iran ameiambia Press TV kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaingia kwenye mazungumzo mapya na Marekani kwa kutumia mfumo au ajenda ya hapo awali, baada ya funzo ililopata kutokana na mazungumzo ya hapo kabla.
-
Wabunge wa Iran waziasa nchi 44 ziiwekea Israel vikwazo
Jul 17, 2025 11:20Wanachama wa Kamati ya Mahakama na Sheria ya Bunge la Iran wametoa wito kwa makumi ya nchi duniani kuchukua hatua za kuiwekea Israel vikwazo kutokana na utawala huo "kukiuka kanuni za kimataifa na haki za binadamu."
-
Kamanda wa IRGC: Tupo tayari kuendeleza vita pale vilipoishia
Jul 17, 2025 11:04Meja Jenerali Mohammad Pakpour, Kamanda wa Vikosi vya Ardhini vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) ametangaza kwamba majeshi ya Iran yamejipanga kikamilifu kushambulia tena, akiwaonya maadui kwamba uchokozi wowote ujao utakabiliwa na jibu la haraka, na kuendeleza vita hivyo pale vilipoishia.