Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu

    Iran yakanusha ‘madai hewa’ ya US kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu

    Jul 17, 2025 07:19

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa ametupilia mbali tuhuma zilizotolewa hivi karibuni na Marekani dhidi ya Iran kuhusu hali ya Yemen na Bahari Nyekundu akisema "hazina msingi wowote" na akalaani ushiriki wa kijeshi wa Washington katika hujuma dhidi ya Yemen.

  • Iran: US inatumia vikwazo kuwanyamazisha wanaokosoa mauaji ya halaiki Gaza

    Iran: US inatumia vikwazo kuwanyamazisha wanaokosoa mauaji ya halaiki Gaza

    Jul 17, 2025 02:03

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei amesema Marekani inajaribu kuwanyamazisha wakosoaji wa mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Gaza kwa kuwawekea vikwazo.

  • Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Nini lengo la Umoja wa Ulaya katika kuzidisha vikwazo dhidi ya Iran?

    Jul 16, 2025 23:05

    Umoja wa Ulaya, ukifuata nyayo za Marekani, umeendeleza siasa za kuzidisha mashinikizo dhidi ya Iran katika nyanja mbalimbali katika muhula wa pili wa uongozi wa Donald Trump kwa shabaha ya kuilazimisha Tehran isalimu amri mbele ya matakwa ya kupindukia mipaka ya nchi za Magharibi.

  • Bunge: Marekani itimize masharti ya Iran iwapo inataka kuendelea na mazungumzo

    Bunge: Marekani itimize masharti ya Iran iwapo inataka kuendelea na mazungumzo

    Jul 16, 2025 10:54

    Bunge la Iran limetoa taarifa na kutangaza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu katu haiwezi kufanya mazungumzo na Marekani kama ilivyokuwa kabla ya uchokozi wa hivi karibuni, na kwamba hakuna mazungumzo mapya na Marekani yanapaswa kufanyikakabla ya masharti ya Tehran kutimizwa.

  • Kiongozi Muadhamu: Israel iliikimbilia Marekani kulilia usitishaji vita na Iran

    Kiongozi Muadhamu: Israel iliikimbilia Marekani kulilia usitishaji vita na Iran

    Jul 16, 2025 08:42

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Israel ililazimika "kusalimu amri na kuing'ang'ani Marekani" kwa kukata tamaa, wakati wa vita vya hivi karibuni vya siku 12 dhidi ya Iran, na kuthibitisha kuwa haina na uwezo wa kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu pekee.

  • Iran yaishukuru China kwa uungaji mkono wake katika vita vya US,Israel

    Iran yaishukuru China kwa uungaji mkono wake katika vita vya US,Israel

    Jul 16, 2025 04:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amepongeza hatua ya China ya kulaani vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Israel na Marekani dhidi ya ardhi na mamlaka ya kujitawala Iran, huku akisisitiza utayarifu wa Tehran wa kuimarisha zaidi uhusiano huo wa kirafiki na Beijing.

  • Iran: Israel imekamia ‘kukamilisha mradi wa kikoloni wa mauaji ya kimbari’ ya Wapalestina

    Iran: Israel imekamia ‘kukamilisha mradi wa kikoloni wa mauaji ya kimbari’ ya Wapalestina

    Jul 16, 2025 03:28

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia Msemaji wake wa Wizara ya Mambo ya Nje imeulaani vikali utawala wa kizayuni wa Israel kwa kukamia "kukamilisha mradi wake wa kikoloni wa mauaji ya kimbari" dhidi ya Wapalestina kupitia mashambulio mabaya zaidi na angamizi zaidi.

  • Afisa wa zamani wa CIA: Lengo hasa la Israel ni

    Afisa wa zamani wa CIA: Lengo hasa la Israel ni "kubadilisha utawala" nchini Iran

    Jul 15, 2025 12:10

    Philip Giraldi, mchambuzi wa masuala ya kisiasa na mshauri wa masuala ya usalama aliyewahi kuwa afisa wa intelijensia wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA amesema, uchokozi wa kijeshi uliofanywa na Israel dhidi ya Iran "ulikusudiwa kihakika" kuharibu diplomasia, kwani lengo lake kuu katika eneo la Ghuba ya Uajemi ni "kuleta mabadiliko ya utawala nchini Iran".

  • Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu

    Rais wa Iran: Israel inataka kudhoofisha umoja wa umma wa Kiislamu

    Jul 15, 2025 01:28

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unalenga kudhoofisha na kuzusha migawanyiko miongoni mwa mataifa ya Kiislamu.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: Tumejiandaa kukabiliana na chokochoko za maadui

    Jul 15, 2025 01:04

    Waziri wa Ulinzi wa Iran, Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina imani na usitishaji vita uliopo, na kwamba imejiandaa kukabiliana na senario tofauti za uchokozi wa maadui.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS