-
Bidhaa za Iran zinazouzwa Afrika zaongezeka kwa asilimia 200
Jan 12, 2022 01:17Bidhaa za Jamuri ya Kiislamu ya Iran zinazouzwa barani Afrika zimeongezeka kwa asilimia 200 katika kipindi cha miezi tisa iliyopita.
-
Kongamano la kumuenzi Qassem Soleimani na Abu Mahdi al-Mohandes lafanyika Tunisia
Dec 30, 2021 04:47Kundi la vyama vya siasa na asasi za kiraia nchini Tunisia zimefanya kongamano kwa mnasaba wa mwaka wa pili wa kuuawa shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) na Abu Mahdi al-Muhandis, Naibu Mkuu wa Kikosi cha Kujitolea cha Wananchi wa Iraq cha Hashd al Sha'abi.
-
Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika
Dec 14, 2021 23:01Shirika la Iran Khodro, ambalo ndilo shirika kubwa zaidi la kuunda magari Asia Magharibi, limetangaza kufungua tena kiwanda chake cha kuunda magari nchini Senegal.
-
Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti
Dec 13, 2021 13:20Jumapili ya jana ya Disemba 12, 2021, Wakenya waliadhimisha siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Muingereza.
-
Taasisi ya Jiolojia ya Iran kuanza kazi magharibi mwa Afrika
Dec 01, 2021 04:47Kufuatia kutiwa saini mapatano ya ushirikiano baina ya Taasisi ya Jiolojia na Uchimbaji Madini ya Iran na Taasisi ya Madini ya Mali, Iran sasa inatarajiwa kuimarisha shuhuli zake za jiolojia na uchimbaji madini magharibi mwa Afrika.
-
Iran na Zimbabwe zajadili njia za kukabiliana na vikwazo vya Marekani
Nov 28, 2021 23:54Maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Zimbabwe wamekutana mjini Tehran kujadili njia za kukabiliana na vikwazo vya Marekani katika sekta ya biashara.
-
Rais wa Iran ampongeza mwenzake wa Mauritania kwa mnasaba wa Siku ya Taifa
Nov 28, 2021 23:47Rais Ibrahim Raisi wa Iran amemtumia ujumbe wa pongezi rais wa Mauritania kwa mnasaba wa siku ya taifa ya nchi hiyo.