Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa

    Gazeti la Uhispania: Mechi ya Iran na Marekani ni mpambano mkubwa wa kisiasa

    Nov 28, 2022 11:33

    Gazeti la Marca la Uhispania limeitaja mechi ya soka ya michuano ya Kombe la Dunia kati ya timu ya taifa ya kandanda ya Iran na Marekani kuwa ni mpambano mkubwa wa kisiasa.

  • SEPAH: Wananchi wa Iran daima wamekuwa wakiifedhehesha Marekani

    SEPAH: Wananchi wa Iran daima wamekuwa wakiifedhehesha Marekani

    Oct 30, 2022 02:31

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesisitiza kuwa, kwa kujitokeza kwao vilivyo katika kuyalinda Mapinduzi ya Kiislamu; muda wote wananchi wa Iran wamekuwa wakiidhalilisha na kuifedhehesha Marekani na kuthibitisha kivitendo matamshi ya Imam Khomeini MA kuwa Marekani haiwezi kulifanyia taifa la Iran upuuzi wowote.

  • Kan'ani:  Iran na Marekani zabadilishana jumbe baina yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la UN

    Kan'ani: Iran na Marekani zabadilishana jumbe baina yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la UN

    Oct 03, 2022 12:15

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa jumbe za uwakilishi za Iran na Marekani zilibadilishana jumbe kati yazo pambizoni mwa Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.

  • Spika Qalibaf: Marekani ni mtekelezaji wa sera za Wazayuni katika eneo

    Spika Qalibaf: Marekani ni mtekelezaji wa sera za Wazayuni katika eneo

    Jul 12, 2022 07:54

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani ni mtekelezaji wa siasa na sera za Wazayuni katika eneo.

  • Iran: Tumeieleza wazi Marekani, hatuwezi kufumbia macho mistari yetu myekundu

    Iran: Tumeieleza wazi Marekani, hatuwezi kufumbia macho mistari yetu myekundu

    Mar 24, 2022 07:11

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Tehran imeieleza wazi Marekani kuwa kamwe haiwezi kuvuka mistari yake myakundu.

  • Amir-Abdollahian: Iran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani

    Amir-Abdollahian: Iran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani

    Jan 29, 2022 03:21

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran haijafanya mazungumzo yoyote ya moja kwa moja na Marekani.

  • Meja Salami: Marekani imedhoofika

    Meja Salami: Marekani imedhoofika

    Nov 24, 2021 03:03

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: "Nguvu za Marekani zimedhoofika."

  • Wasiwasi wa taathira mbaya za vikwazo vya Marekani kwa afya ya wagonjwa wa Iran

    Wasiwasi wa taathira mbaya za vikwazo vya Marekani kwa afya ya wagonjwa wa Iran

    Oct 21, 2021 09:56

    Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran si tu kwamba vimeathiri uchumi wa nchi bali pia vimeathiri vibaya mfumo wa usambazaji dawa na vifaa vya tiba na afya nchini na hasa katika kipindi hiki kigumu cha kuenea duniani virusi hatari vya corona.

  • Khatibzadeh: Viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia iliyofeli ya serikali iliyopita

    Khatibzadeh: Viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia iliyofeli ya serikali iliyopita

    Sep 04, 2021 08:00

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema viongozi wa sasa wa Marekani wanafuata njia ileile iliyofeli na kugonga mwamba ya serikali iliyopita ya nchi hiyo.

  • Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya

    Robert Malley: Mashinikizo ya kiwango cha juu dhidi ya Iran yameshindwa vibaya

    Jul 26, 2021 08:02

    Mjumbe Maalumu wa Marekani katika Masuala ya Iran amekiri kuwa vikwazo vya kidhulma na mashinikizo ya kiwango cha juu zaidi ya nchi hiyo dhidi ya Iran yamefeli vibaya na amekariri madai ya kila siku ya serikali ya Joe Biden kuwa eti Washington iko tayari kurejea katika mapatano ya JCPOA iwapo Iran itatekeleza majukumu yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS