Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran na Marekani

  • Khatibzadeh: Iran iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa

    Khatibzadeh: Iran iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa

    Jul 18, 2021 08:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu madai ya viongozi wa Marekani akisisitiza kuwa: Iran leo iko tayari kutekeleza makubaliano ya kubadilishana wafungwa.

  • Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu yakosoa undumakuwili wa Marekani

    Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu yakosoa undumakuwili wa Marekani

    Jun 25, 2021 03:30

    Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu imelaani hatua ya Wizara ya Sheria ya Marekani ya kufunga tovuti za baadhi ya taasisii za habari wanachama wa jumuiya hiyo.

  • Redio ya China: Marekani ndiyo inayofanya chokochoko dhidi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi

    Redio ya China: Marekani ndiyo inayofanya chokochoko dhidi ya Iran katika Ghuba ya Uajemi

    May 02, 2021 02:23

    Redio ya serikali na kimataifa ya China imeashiria harakati za jeshi la Marekani katika Ghuba ya Uajemi na kueleza kwamba, kinyume na madai ya Washington, Marekani ndiyo inayoendelea kufanya chokochoko hivi sasa dhidi ya Iran.

  • Rais Rouhani: Iran imesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Rais Rouhani: Iran imesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani

    Apr 20, 2021 01:02

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa la Iran limesimama kidete mbele ya mashinikizo ya juu kabisa ya Marekani.

  • Khatibzadeh: Marekani haiwezi kuwa na machaguo mawili kwa wakati mmoja

    Khatibzadeh: Marekani haiwezi kuwa na machaguo mawili kwa wakati mmoja

    Apr 11, 2021 04:16

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisisitiza kuwa, Marekani haiwezi kuwa na machaguo mawili kwa wakati mmoja.

  • Rouhani: Vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu

    Rouhani: Vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu

    Apr 01, 2021 06:55

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuendelezwa vikwazo dhidi ya taifa la Iran ni hatua isiyo ya kibinadamu.

  • Tehran: Vikwazo vya Marekani vimekiuka haki za raia wa Iran

    Tehran: Vikwazo vya Marekani vimekiuka haki za raia wa Iran

    Mar 04, 2021 06:55

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kikao cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amesema kuwa vikwazo vya upande mmoja, haramu na vya kidhalimu vya Marekani vimekiuka haki za taifa la Iran na nchi hiyo haina haki ya kuzungumzia au kuwa na wasiwasi kuhusu haki za binadamu nchini Iran.

  • Iran: Hatuoni mabadiliko yoyote katika vitendo vya Marekani

    Iran: Hatuoni mabadiliko yoyote katika vitendo vya Marekani

    Feb 26, 2021 02:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran haioni mabadiliko yoyote katika vitendo vya Marekani licha ya rais mpya kuingia madarakani nchini humo

  • Khatibzadeh: Iran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Khatibzadeh: Iran haijafanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani

    Feb 22, 2021 08:04

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hakujafanyika mazungumzo ya moja kwa moja baina ya taifa hili na Marekani na kwamba, maelezo yanayobainishwa na kuonyesha kama kumekuweko na mazungumzo ya moja kwa moja baina ya Tehran na Washington hayana ukweli wowote.

  • Zarif: Marekani inapaswa kuondoa bila masharti yoyote vikwazo vyote vilivyowekwa na Trump

    Zarif: Marekani inapaswa kuondoa bila masharti yoyote vikwazo vyote vilivyowekwa na Trump

    Feb 19, 2021 14:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani inapaswa kuondoa bila masharti yoyote na kwa namna iliyo athirifu vikwazo vyote vilivyorejeshwa upya na kutekelezwa na aliyekuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS