-
Rais wa Iraq: Jen. Soleimani alikimbilia kutusaidia katika wakati nyeti
Jan 06, 2022 02:52Rais wa Iraq amesema Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), aliitikia mwito wa taifa la Iraq na kwenda haraka kushirikiana na wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu katika wakati hasasi wa kukabiliana na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).
-
Mrengo wa Nouri al-Maliki: Tumekubaliana juu ya namna serikali mpya ya Iraq itakavyokuwa
Jan 01, 2022 07:56Muungano wa Utawala wa Sheria wa Iraq umesema, yamefikiwa makubaliano kuhusu namna serikali mpya ya nchi hiyo itakavyokuwa na kwamba serikali hiyo itakuwa ni ya "maafikiano".
-
Iraq na tatizo sugu la ugaidi
Dec 31, 2021 12:32Japokuwa mtandao wa kigaidi wa DAESH (ISIS) umetokomezwa nchini Iraq, lakini kutokana na sababu tofauti, kitisho cha ugaidi kingali kipo nchini humo.
-
Mkuu wa Muungano wa al-Fat-h: Wairaqi wana deni kubwa kwa Kamanda Qasem Soleimani
Dec 28, 2021 02:45Mkuu wa Muungano wa kisiasa wa al Fat-h nchini Iraq amesema, Wairaqi wana deni kubwa kwa Shahidi Qasem Soleimani na Shahidi Abu Mahdi al Muhandis.
-
Jumapili 26 Disemba 2021
Dec 26, 2021 02:35Leo ni Jumapili tarehe 21 Jamadil Awwal 1443 Hijria inayosadifiana na tarehe 26 Disemba mwaka 2021.
-
Amir-Abdollahian asisitiza kuondoka askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq
Dec 23, 2021 12:52Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza katika kikao cha pamoja na waandishi wa habari akiwa na mgeni wake Fuad Hussein, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iraq hapa mjini Tehran juu ya udharura wa kuondoka kikamilifu askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq.
-
Mwanadiplomasia wa zamani wa Marekani: Washington haitaondoka Iraq mwishoni mwa 2021
Dec 08, 2021 02:33Aliyekuwa naibu waziri wa mambo ya nje wa Marekani David Schenker amedai kuwa, nchi hiyo haina nia ya kuwaondoa askari wake katika ardhi ya Iraq ifikapo mwishoni mwa mwaka huu wa 2021.
-
Onyo kuhusu hatari ya kupata nguvu tena genge la Daesh eneo la Kurdistan nchini Iraq
Dec 05, 2021 11:03Mkuu wa chama cha Democrat cha eneo la Kurdistan la Iraq na ambaye pia ni rais wa serikali ya ndani ya eneo hilo ameonya kuhusu hatari ya kupata nguvu upya genge la Daesh (ISIS) kwenye eneo hilo.
-
"Iran ni nguzo ya ulimwengu wa Kiislamu, kambi ya muqawama"
Dec 03, 2021 04:24Mkuu wa Utamaduni wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq maarufu kama Hashd al Sha'abi amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nguzo ya ulimwengu wa Kiislamu na mrengo wa muqawama na mapambano ya Kiislamu.
-
Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki
Nov 28, 2021 02:50Msemaji wa Komandi ya Operesheni za Pamoja ya Iraq amesema kuwa, wakati wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo haibadilishiki.