-
Onyo kuhusu hatari ya kupata nguvu tena genge la Daesh eneo la Kurdistan nchini Iraq
Dec 05, 2021 07:33Mkuu wa chama cha Democrat cha eneo la Kurdistan la Iraq na ambaye pia ni rais wa serikali ya ndani ya eneo hilo ameonya kuhusu hatari ya kupata nguvu upya genge la Daesh (ISIS) kwenye eneo hilo.
-
"Iran ni nguzo ya ulimwengu wa Kiislamu, kambi ya muqawama"
Dec 03, 2021 00:54Mkuu wa Utamaduni wa Harakati ya Kujitolea ya Wananchi wa Iraq maarufu kama Hashd al Sha'abi amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio nguzo ya ulimwengu wa Kiislamu na mrengo wa muqawama na mapambano ya Kiislamu.
-
Iraq: Tarehe ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini haibadilishiki
Nov 27, 2021 23:20Msemaji wa Komandi ya Operesheni za Pamoja ya Iraq amesema kuwa, wakati wa kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini humo haibadilishiki.
-
Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq
Nov 25, 2021 23:18Makundi ya kisisa nchini Iraq yamesema kuwa, Marekani inaendelea kufanya njama za kuchochea machafuko na umwagaji damu nchini Iraq ili kujiwekea kinga ya kutotimuliwa nchini humo.
-
Onyo la makundi ya mapambano ya Iraq kuhusu kuondoka askari wa Marekani
Nov 21, 2021 22:53Kufuatia uvumi unaoenezwa kuhusu kutotekelezwa ratiba ya kuondoka askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq, makundi ya mapambano ya nchi hiyo yametoa onyo kali kuhusu jambo hilo.
-
Jeshi la Iraq lakanusha: Muda wa kuwepo kijeshi Marekani haujarefushwa
Nov 20, 2021 08:51Msemaji wa kamandi ya operesheni za pamoja za Iraq amesema muda wa kuwepo wanajeshi wa Marekani nchini humo haujarefushwa.
-
Al khazali atilia shaka riwaya rasmi juu ya jaribo la mauaji ya Waziri Mkuu wa Iraq
Nov 09, 2021 09:06Katibu Mkuu wa harakati ya Asaib Ahlul Haq nchini Iraq ametilia shaka riwaya na ripoti rasmi iliyotolewa na vyombo vya dola kuhusu shambulizi lililolenga makazi ya Waziri Mkuu wa nchi hio, Mustafa al Kadhimi mjini Baghdadi siku chache zilizopita
-
Khatibzadeh: Kwa kuondoka Marekani nchini Iraq, amani na usalama wa nchi hiyo utapatikana
Nov 08, 2021 07:55Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itaondoka nchini Iraq, amani na uthabiti wa nchi hiyo ya Kiarabu utapatikana.
-
Shambaulio la kutiliwa shaka dhidi ya makazi ya Mustafa al-Kadhimi
Nov 08, 2021 07:21Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq alinusurika kifo jana alfajiri kufuatia shambulio la kombora lililofanyika dhidi ya makazi yake mjini Baghdad.
-
Katibu Mkuu wa UN alaani jaribio la kutaka kumuua Waziri Mkuu wa Iraq
Nov 08, 2021 04:42Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani jaribio la kutaka kumuua Mustafa al Kadhimi Waziri Mkuu wa Iraq.