Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq

    Marekani yaendeleza njama za umwagaji damu ili kuhakikisha haitimuliwi nchini Iraq

    Nov 26, 2021 02:48

    Makundi ya kisisa nchini Iraq yamesema kuwa, Marekani inaendelea kufanya njama za kuchochea machafuko na umwagaji damu nchini Iraq ili kujiwekea kinga ya kutotimuliwa nchini humo.

  • Onyo la makundi ya mapambano ya Iraq kuhusu kuondoka askari wa Marekani

    Onyo la makundi ya mapambano ya Iraq kuhusu kuondoka askari wa Marekani

    Nov 22, 2021 02:23

    Kufuatia uvumi unaoenezwa kuhusu kutotekelezwa ratiba ya kuondoka askari wa Marekani katika ardhi ya Iraq, makundi ya mapambano ya nchi hiyo yametoa onyo kali kuhusu jambo hilo.

  • Jeshi la Iraq lakanusha: Muda wa kuwepo kijeshi Marekani haujarefushwa

    Jeshi la Iraq lakanusha: Muda wa kuwepo kijeshi Marekani haujarefushwa

    Nov 20, 2021 12:21

    Msemaji wa kamandi ya operesheni za pamoja za Iraq amesema muda wa kuwepo wanajeshi wa Marekani nchini humo haujarefushwa.

  • Al khazali atilia shaka riwaya rasmi juu ya jaribo la mauaji ya Waziri Mkuu wa Iraq

    Al khazali atilia shaka riwaya rasmi juu ya jaribo la mauaji ya Waziri Mkuu wa Iraq

    Nov 09, 2021 12:36

    Katibu Mkuu wa harakati ya Asaib Ahlul Haq nchini Iraq ametilia shaka riwaya na ripoti rasmi iliyotolewa na vyombo vya dola kuhusu shambulizi lililolenga makazi ya Waziri Mkuu wa nchi hio, Mustafa al Kadhimi mjini Baghdadi siku chache zilizopita

  • Khatibzadeh: Kwa kuondoka Marekani nchini Iraq, amani na usalama wa nchi hiyo utapatikana

    Khatibzadeh: Kwa kuondoka Marekani nchini Iraq, amani na usalama wa nchi hiyo utapatikana

    Nov 08, 2021 11:25

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, endapo Marekani itaondoka nchini Iraq, amani na uthabiti wa nchi hiyo ya Kiarabu utapatikana.

  • Shambaulio la kutiliwa shaka dhidi ya makazi ya Mustafa al-Kadhimi

    Shambaulio la kutiliwa shaka dhidi ya makazi ya Mustafa al-Kadhimi

    Nov 08, 2021 10:51

    Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq alinusurika kifo jana alfajiri kufuatia shambulio la kombora lililofanyika dhidi ya makazi yake mjini Baghdad.

  • Katibu Mkuu wa UN alaani jaribio la kutaka kumuua Waziri Mkuu wa Iraq

    Katibu Mkuu wa UN alaani jaribio la kutaka kumuua Waziri Mkuu wa Iraq

    Nov 08, 2021 08:12

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani jaribio la kutaka kumuua Mustafa al Kadhimi Waziri Mkuu wa Iraq.

  • Iran: Jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu wa Iraq lililenga kuvuruga amani ya nchi hiyo

    Iran: Jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu wa Iraq lililenga kuvuruga amani ya nchi hiyo

    Nov 08, 2021 02:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jaribio lililofeli la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi.

  • Rais wa Iraq alaani njama ya kumuua waziri mkuu wa nchi hiyo al-Kadhimi

    Rais wa Iraq alaani njama ya kumuua waziri mkuu wa nchi hiyo al-Kadhimi

    Nov 07, 2021 12:27

    Rais Barham Salih wa Iraq amelaani jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mustafa al-Kadhimi.

  • Zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo vya uchaguzi vya mikoa minne ya Iraq lamalizika

    Zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo vya uchaguzi vya mikoa minne ya Iraq lamalizika

    Nov 05, 2021 07:30

    Tume ya Uchaguzi ya Iraq imetangaza kuwa zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo ya uchaguzi wa bunge vilivyozusha mzozo vya mikoa minne iliyosalia ya Diyala, Babel, Karbala na Najaf limemalizika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS