-
Iran: Jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu wa Iraq lililenga kuvuruga amani ya nchi hiyo
Nov 07, 2021 23:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jaribio lililofeli la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi.
-
Rais wa Iraq alaani njama ya kumuua waziri mkuu wa nchi hiyo al-Kadhimi
Nov 07, 2021 08:57Rais Barham Salih wa Iraq amelaani jaribio la mauaji dhidi ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Mustafa al-Kadhimi.
-
Zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo vya uchaguzi vya mikoa minne ya Iraq lamalizika
Nov 05, 2021 04:00Tume ya Uchaguzi ya Iraq imetangaza kuwa zoezi la kuhesabu kura kwa mkono katika vituo ya uchaguzi wa bunge vilivyozusha mzozo vya mikoa minne iliyosalia ya Diyala, Babel, Karbala na Najaf limemalizika.
-
Kundi la kigaidi la DAESH laua raia wengine kadhaa wasio na ulinzi wa Iraq mkoani Diyala
Oct 27, 2021 09:31Duru za usalama za Iraq zimetangaza kuwa, magaidi wa kundi la ukufurishaji la DAESH (ISIS) wameshambulio kijiji kimoja mkoani Diala na kuwaua na kuwajeruhi raia kadhaa wasio na ulinzi.
-
Baraza la tume ya uchaguzi Iraq lapinga kura kuhesabiwa tena kwa mkono
Oct 23, 2021 04:19Baraza la tume ya uchaguzi ya Iraq limekataa kura za uchaguzi katika mikoa mbalimbali ya nchi hiyo zihesabiwe tena kwa mkono licha ya kuthibitisha kuwa kuna makosa na kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi huo.
-
Kuendelea maandamano ya kulalamikia matokeo ya uchaguzi wa bunge nchini Iraq
Oct 22, 2021 20:49Maandamano ya kulalamikia na kupinga matokeo ya uchaguzi wa bunge la Iraq yangali yanaendelea; na sasa yamesambaa hadi mikoa mingine kadhaa ya nchi hiyo.
-
Matokeo rasmi ya uchaguzi wa bunge Iraq na mkukuriko wa mirengo ya kisiasa kwa ajili ya kuunda Mrengo Mkuu
Oct 18, 2021 21:06Kamisheni Kuu ya Uchaguzi ya Iraq imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi wa tano wa Bunge la nchi hiyo.
-
Vikosi vya ulinzi vya Iraq vyadhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa nchi hiyo na Syria
Oct 13, 2021 22:49Komandi ya Vikosi vya Gadi ya Mipakani ya Iraq imetangaza kuwa hivi sasa jeshi la nchi hiyo linalidhibiti kikamilifu eneo la mpaka wa Iraq na Syria.
-
Maswali matatu makuu kuhusiana na uchaguzi wa Bunge wa Iraq
Oct 13, 2021 06:58Duru ya tano ya uchaguzi wa Bunge nchini Iraq imefanyika huku uchaguzi huo ukiibua maswali matatu makuu na ya kimsingi kuhusiana na uchaguzi huo.
-
Jumapili tarehe 3 Oktoba 2021
Oct 02, 2021 23:37Leo ni Jumapil tarehe 26 Safar 1443 Hijria sawa na Oktoba 3 mwaka 2021.