-
Muqawama wa Iraq waonya kuweko matokeo mabaya ya kushirikiana kiusalama na Marekani
Jul 24, 2021 08:07Kamati ya Uratibu ya Makundi ya Muqawama ya Iraq imesisitiza juu ya kutoruhusiwa uwepo wa aina yoyote ile wa majeshi ya kigeni katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
WSJ: Marekani kuondoa askari wake Iraq kufikia mwishoni mwa 2021
Jul 23, 2021 07:46Gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal limedai kuwa, Marekani na Iraq zimeafikiana juu ya kuondoka wanajeshi wote wa US kutoka katika nchi hiyo ya Kiarabu kufikia mwishoni mwaka huu 2021.
-
A'saaib Ahlil-Haq: Utawala wa Kizayuni na Marekani ndio waliohusika na mripuko wa Baghdad
Jul 21, 2021 07:53Katibu Mkuu wa harakati ya A'saaib Ahlil-Haq ameashiria njama za Marekani za kutaka kuliimarisha genge la DAESH(ISIS) nchini Iraq na akasema: katika kufanikisha jambo hilo, Washington inasaidiwa na mashirika ya intelijensia ya Israel na nchi za Kiarabu.
-
Al Azhar ya Misri yalaani mlipuko wa kigaidi katika kitongoji cha Sadr huko Iraq
Jul 20, 2021 11:15Chuo Kikuu cha al Azhar nchini Misri kimelaani mlipuko wa kigaidi uliotokea jana katika kitongoiji cha Sadr huko Iraq sambamba na kuwadia Sikukuu ya Idul Adhaa na Siku ya Arafa.
-
Kataib Hizbullah: Mapambano yataendelea hadi askari wa mwisho wa Marekani atakapoondoka Iraq
Jul 09, 2021 08:05Afisa wa Batalioni ya Kataib Hizbullah nchini Iraq amesema kuwa mapambano dhidi ya wanajeshi wa Marekani walioko nchini humo yataendelea hadi wanajeshi wote wa nchi hiyo watakapoondoka katika ardhi ya Iraq.
-
Kataib Hizbullah: Saudia inahusika na hujuma zinazolenga mtandao wa umeme wa Iraq
Jul 08, 2021 04:20Harakati ya Kataib Hizbullah ya Iraq imetangaza kuwa mashirika ya ujasusi ya Saudi Arabia yanahusika na mashambulio ya kigaidi yanayolenga na kuharibu mtandao wa kusambaza umeme nchini humo.
-
Nukta sita kuhusu mashambulizi ya Marekani dhidi ya Hashdu Shaabi huko Iraq
Jul 01, 2021 02:23Ndege za kivita za Marekani siku ya Jumatatu iliyopita ziliishambulia kambi ya usaidizi na lmasuala ua lojistiki ya Brigedi ya 14 ya harakati ya wanamuqawa wa Hashdu Shaabi ya Iraq katika mpaka wa nchi hyo na Syria, ambapo katika mashambulizi hayo wapiganaji wanne wa harakati hiyo waliuliwa shahidi.
-
Ilhan Omar alaumu shambulio ya Marekani dhidi ya makundi ya muqawama ya Iraq
Jun 29, 2021 02:42Mbunge Muislamu nchini Marekani ameilaumu serikali ya nchi hiyo kwa kufanya shambulizi katika mpaka wa Syria na Iraq na kusema kuwa, shambulio hilo ni siasa zilizofeli.
-
Makundi ya muqawama ya Iraq: Tutalipiza kisasi dhidi ya Marekani
Jun 28, 2021 10:43Makundi ya muqawama ya Iraq yametangaza kuwa, yatalipiza kisasi mashambulizi ya Marekani dhidi ya ngome za kundi la Hashdu Shaabi.
-
Tsunami ya kujiua katika jeshi la Marekani, nembo ya mgogoro wa kinafsi na kimaadili
Jun 26, 2021 15:01Ripoti ya karibuni ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) inaonesha ongezeko la visa vya kujiua kati ya wanajeshi wa nchi hiyo hususan maveterani wa jeshi.