-
Radiamali mbalimbali kwa tarehe ya kuitishwa uchaguzi wa mapema wa Bunge nchini Iraq
Aug 03, 2020 03:12Mustafa al-Kadhimi, Waziri Mkuu wa Iraq ameitangaza tarehe 6 Juni ya mwaka ujao wa 2021 kuwa siku ya kufanyika uchaguzi wa mapema wa Bunge.
-
Mtazamo wa muda mrefu wa Iran na Iraq kwa ushirikiano wa pande mbili
Aug 01, 2020 09:31Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Ijumaa ya jana alifanya mazungumzo ya simu na mwenzake wa Iraq, Barham Saleh na kutilia mkazo udharura wa kustawishwa zaidi uhusiano na ushirikiano wa pande mbilii
-
Waziri Mkuu wa Iraq: Uchaguzi wa mapema wa Bunge utafanyika Juni 6, 2021
Aug 01, 2020 07:22Waziri Mkuu wa Iraq Mustafa al-Kadhimi ametangaza kuwa siku ya Ijumaa ya tarehe 6 Juni 2021 ndipo utapofanyika uchaguzi wa kabla ya wakati wa bunge la nchi hiyo.
-
'Ndege zisizo na rubani za Marekani na Israel ndizo zilizoshambulia kambi za Al-Hashdu-Sha'abi ya Iraq'
Jul 31, 2020 02:26Mbunge wa Iraq Falih al-Khazali amesema, kuna nyaraka zinazoonyesha kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ndizo zilizohusika katika hujuma ya shambulio la kijeshi dhidi ya vituo vya jeshi la kujitolea la wananchi wa nchi hiyo la Al-Hashdu-Sha'abi.
-
Mufti wa Masuni Iraq atoa fatua ya kutilia mkazo ulazima wa majeshi vamizi kuondoka nchini humo
Jul 24, 2020 08:15Mufti wa Waislamu wa Kisuni nchini Iraq amesisitiza udharura na ulazima wa vikosi vya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani kuondoka katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran inataka kuona Iraq yenye izza na huru, Marekani ni adui
Jul 22, 2020 03:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Iran inataka kuona Iraq yenye izza sambamba na kulindwa ardhi yote ya nchi hiyo na mshikamano wa ndani; kinyume chake Marekani ni adui halisi na haitaki kuwepo Iraq inayojitawala, yenye nguvu na yenye serikali iliyochaguliwa na waliowengi.
-
Rouhani: Uhuru wa kujitawala na usalama wa Iran na Iraq vinafungamana
Jul 22, 2020 02:30Rais Hassan Rouhani wa Iran na Waziri Mkuu wa Iraq, Mustafa al-Kadhimi wamesema uhusiano wa Tehran an Baghdad unavuka mipaka ya nchi mbili hizi jirani, na kusisitiza kuwa: Uhuru wa kujitawala na usalama wa Iran na Iraq vina mfungamano mkubwa.
-
Zarif: Iran na Iraq zinapaswa kuwa macho na tayari kukabiliana na ugaidi
Jul 19, 2020 11:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Iraq daima zinapaswa kuwa macho na tayari kwa ajili ya kukabiliana na njama za magenge ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
Ijumaa, Julai 17, 2020
Jul 17, 2020 02:34Leo ni Ijumaa tarehe 25 Dhulqaada 1441 Hijria sawa na 17 Julai mwaka 2020.
-
Jumanne, Julai 14, 2020
Jul 14, 2020 02:27Leo ni Jumanne tarehe 22 Dhulqaada 1441 Hijria inayosadifiana na Julai 14 mwaka 2020.