-
ICJ yapokea rasmi ombi la UN juu ya kughusubiwa ardhi za Wapalestina na Israel
Jan 21, 2023 23:01Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) imepokea rasmi ombi la Umoja wa Mataifa la kutaka maoni ya ushauri kutoka kwa chombo hicho juu ya taathira za Israel kughusubu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Israel yashadidisha ukatili wake dhidi ya Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jan 19, 2023 06:56Wanajeshi makatili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameshambulia kambi ya wakimbizi ya Wapalestina katika mji wa Jenin, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu, na kuua shahidi Wapalestina wawili.
-
HAMAS: Jinai za kila uchao za Israel hazitapita hivi hivi
Jan 14, 2023 00:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) sambamba na kusema kuwa imesikitishwa na kitendo cha kuuawa shahidi vijana wawili wa Kipalestina na utawala haramu wa Israel, imeonya kuwa, jinai za kila uchao za utawala huo wa Kizayuni hazitapita hivi hivi.
-
Imarati yajikomba zaidi kwa Israel, shule za nchi hiyo kufunza 'Holocaust'
Jan 10, 2023 03:47Umoja wa Falme za Kiarabu unaendelea kujidhalilisha na kujipendekeza kwa utawala haramu wa Israel, na sasa shule za nchi hiyo zinazatamiwa kuanza kufundisha 'ngano ya Holocaust' yaani mauaji ya halaiki ya Wayahudi yanayodaiwa kufanywa na utawala wa Kinazi wa Ujerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.
-
Iran yalitaka Baraza la Usalama la UN lilaani jinai, hujuma za Israel dhidi ya al-Aqsa
Jan 07, 2023 07:58Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali kitendo cha Waziri wa Usalama wa Israel mwenye misimamo ya kuchupa mipaka cha kuuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa.
-
Yemen: Israel inastahili kusambaratishwa na kufutwa katika eneo
Jan 05, 2023 03:30Balozi wa Yemen mjini Tehran amesema kila mtu ana jukumu na nafasi katika harakati ya muqawama, na jukumu lenyewe ni kutia nguvu jitihada za kuitimua Marekani katika eneo hili la Asia Magharibi, na kuufuta utawala haramu wa Israel katika eneo.
-
Netanyahu: Azimio la UN dhidi ya Israel halina umuhimu, linakirihisha
Jan 01, 2023 03:54Waziri Mkuu wa Israel amesema azimio jipya lililopitishwa dhidi ya utawala huo haramu katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa halina maana wala umuhimu wowote.
-
Israel yawaweka mamia ya watoto wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani
Dec 27, 2022 04:02Kamisheni ya Wafungwa wa Kipalestina imesema utawala haramu wa Israel umewaweka watoto zaidi ya 600 wa Kipalestina katika kifungo cha nyumbani, tokea mwanzoni mwa mwaka huu hadi sasa, huku utawala huo wa Kizayuni ukiendelea na kampeni yake ya kuwanyanyasa na kuwatia mbaroni Wapalestina.
-
Pigo jingine kwa Israel; Chile kufungua ubalozi wake Palestina
Dec 22, 2022 23:42Rais wa Chile, Gabriel Boric amesema nchi hiyo inapanga kufungua ubalozi wake huko Palestina kwa shabaha ya kuongeza kiwango cha uwakilishwaji wake rasmi katika taifa hilo linalokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Muqawama: Tutalipiza kisasi cha mauaji ya Wapalestina Nablus
Dec 18, 2022 07:10Makundi ya muqawama ya Palestina yamelaani mauaji ya mandugu wawili wa Kipalestina katika mji wa Nablus, kaskazini mwa eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan linalokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.