Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Israel

  • Utambulisho wa kigaidi wa Israel wabainika zaidi baada ya tishio la kuwaua makamanda wa muqawama

    Utambulisho wa kigaidi wa Israel wabainika zaidi baada ya tishio la kuwaua makamanda wa muqawama

    May 24, 2021 05:36

    Benny Gantz waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametoa tishio la wazi la kutaka kuwaua kigaidi makamanda wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, HAMAS.

  • Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada

    Baada ya kushindwa katika vita vya Gaza Wazayuni wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Wapalestina kufanya ibada

    May 23, 2021 06:54

    Hali ya wasiwai imetanda tena katika viwanja vya Msikiti wa al Aqsa huko Palestina kutokana na hujuma ya walowezi wa Kizayuni wanaowashambulia raia wa Palestina wanaoelekea eneo hilo kwa ajili ya ibada baada ya jeshi la utawala katili wa Israel kushindwa kufikia malengo yake katika vita vya siku 12 huko Gaza.

  • Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

    Hasara za kiuchumi zilizosababishwa na vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza

    May 22, 2021 22:20

    Vita vya Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza vimemalizika baada ya kusababisha hasara kubwa za kiuchumi hususan kwa utawala wa Kizayuni wa Israel wenyewe.

  • Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza

    Waandishi habari 170 walijeruhiwa katika vita ya Israel dhidi ya Gaza

    May 22, 2021 22:20

    Mwenyekiiti wa Jumuiya ya Waandiihi Habari huko Palestina amesema kuwa waandishi wa habari wanaokaribia 170 walijeruhiwa katika mashambulizi ya karibuni ya Israel na kwamba jumuiya hiyo itawasilisha mashtaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuhusiana na suala hilo.

  • Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC

    Palestina kuushitaki utawala wa Kizayuni katika mahakama ya ICC

    May 21, 2021 07:44

    Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani wa Palestina amesema kuwa, mamlaka hiyo itaishitaki Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, kwa jinai zake za kuua watoto wadogo na wanawake wa Wapalestina wasio na hatia.

  • Shambulio la kinyama la Israel laua mume mlemavu, mke mjamzito na binti wa miaka mitatu

    Shambulio la kinyama la Israel laua mume mlemavu, mke mjamzito na binti wa miaka mitatu

    May 20, 2021 23:06

    Shambulio la kinyama lililofanywa na ndege za kivita za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa kulenga nyumba ya familia moja katika Ukanda wa Gaza, limewaua shahidi mume mtu ambaye ni mlemavu, mke wake mjamzito na mtoto wako wa kike mwenye umri wa miaka mitatu.

  • Mpango wa wawakilishi wa Kongresi ya Marekani wa kuzuia kuuziwa silaha mpya Israel

    Mpango wa wawakilishi wa Kongresi ya Marekani wa kuzuia kuuziwa silaha mpya Israel

    May 20, 2021 21:44

    Kuendelea himaya na uungaji mkono wa kila upande wa Marekani kwa utawala wa dhalimu wa Kizayuni wa Israel licha ya jinai zote unazotenda dhidi ya wananchi wa Palestina hususan mashambulio ya anga na mizinga dhidi ya Ukanda wa Gaza na kuua wakazi wake, ni jambo ambalo limekabiliwa na ukosoaji mkali hata ndani ya Marekani kwenyewe

  • Kikao cha tatu kisicho na tija cha Baraza la Usalama kuhusu Palestina, kuendelea ukwamishaji wa Marekani

    Kikao cha tatu kisicho na tija cha Baraza la Usalama kuhusu Palestina, kuendelea ukwamishaji wa Marekani

    May 17, 2021 04:09

    Kwa mara nyingine tena, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeshindwa hata kulaani jinai za utawala wa Kizayuni kutokana na ukwamishaji wa dola la kibeberu la Marekani.

  • UN yashindwa tena kulaani jinai za Israel huko Gaza, yatosheka kwa kueleza masikitiko

    UN yashindwa tena kulaani jinai za Israel huko Gaza, yatosheka kwa kueleza masikitiko

    May 16, 2021 02:13

    Sambamba na mashambulizi makali na ya kinyama yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya makazi ya raia wa Ukanda wa Gaza, na mauaji ya raia katika eneo hilo, Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena umeshindwa kuchukua hatua ya maana ya kusimamisha mashambulizi hayo au hata kulaani kwa maneno hujuma na ukatili huo wa Israel.

  • Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal

    Zarif afuta safari yake Austria akipinga kuwekwa bendera za Israeli kwenye majengo ya serikal

    May 16, 2021 00:02

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amefuta safari yake rasmi nchini Austria akipinga hatua ya nchi hiyo ya kupeperusha bendera za utawala haramu wa Israel juu ya majengo ya serikali katika mji mkuu wa nchi hiyo Vienna, huku Israel ikiendelea kuwaua kinyama raia wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS